Isichukuliwe kama umbea bali ni kutaka tu kufahamu huyu mtu anayeitwa AFANDE CHAMA DOLA ni nani hasa naona huko mitandaoni anavuma sana na Miss Kimambi akiwa kamshikia bango hasa
Just out of...
Mbibi mmoja alikuwa anaenda kwnye mcba,kwa bahat mbaya akakoxea nyumb akaingia nyumba ya Maxela alivyofka akaulizia nyumba yenye mcba....wale maxela wakamwambia hum ndo kuna mcba....wale maxela...
Mkimwona Charty popote mpeni taarifa nimemmiss sana.Ni zaidi ya miaka 3 sasa sijasikia sauti yako na uandikaji wako my wife.Njoo rudi nyumbani Charty tulee watoto wetu.
Yaliopita si ndwele...
Kuna moja nilichange usiku , kuamka asubuhi nimeisahau,
Hii ni moja ya password zangu
</h.b.s.z2[zuu&h]%_mk13njb910hvg731asdf12!?21>
Kuanzia herufi ya kwanza hadi ya mwisho ni story kamili...
Hakuna mtu mwenye
ndugu wengi kama
konda wa daladala. Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO
MBELE,
MJOMBA
KULE MWISHO.
MA-MDOGO
UNAENDA?, NGOJA ASHUKE BIBI.
HAYA SHEMEJI
UMEIKUTA YA
KUWAHI.
Babu njoo ukae...
Wasalaam.
Suleman alipo pewa na Mungu nafasi ya kuomba chochote yeye aliomba hekima.
Je kwa haya maisha ya sasa Mungu akikupa nafasi uombe chochote utaomba nini chenye manufaa...
SIKU HIZI UKINUNUA VITU HIVI LAZMA UINGIE JIKONI MWENYEWE
asali
ukwaju
unga wa dengu
parachichi
matango
vitunguu maji
viazi
ndimu
limao
KWANINI UFANYE HIVYO?
[emoji116]
wanawake...
Unajua hakuna stories za kusisimua na kuogopesha kama watu waliokufa wakiweza kuamka na kukusimulia the way walivyokufa kuna waliokufa Maji,waliokufa porini na wanyama wakali,waliouwawa na...
wakat naendelea kukata gogo kama unavyoelewa uswahilini tena bonge la folen watu wanapiga kelele unatuchelewesha w ganataka kuwahi kazini wengine wanatukana mm kama siwasikii ndio naziid...
Kichwa cha habari chajieleza .
Katika pita pita yangu nmekutana mada zinazoeleza njia za kukuza uume bila madhara, moja ya njia hizo ni pamoja na :
- kuufanyisha mazoezi uume kwa kuupaka Jelly...
Utamchukua kutoka kwao kijijini, kumleta mjini hana ndugu wala hamfamu mtu, mbaya zaidi ajui lolote si ajabu....akachukua viatu akaweka ndani ya fridge, na mkeo akawa anamfundisha kupika mapishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.