JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mnaikumbuka hii kauli,ni nani aliyeitoa na ni lini? "wanawake wa Tanzania uchumi mnao,mmeukalia[emoji16][emoji23] "
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mkiacha utani kwenye huu uzi, itapendeza zaidi
1 Reactions
74 Replies
6K Views
Jana jioni nikiwa nimetoka kwenye shughuli zangu,ghafla akanikimbilia msichana wa Kazi Wa jirani yangu kuomba msaada .Alikuja mbio analia mtoto katumbukia kwenye chamber ya kinyesi.Watoto wakati...
5 Reactions
51 Replies
3K Views
Wadau Sabato Njema. Leo nimeona niulize ndugu zetu wa Chadema swali, Kwanini hadi sasa hamjampatia uanachama Dr Shika? Ni Mwanaharakati anayekubalika na wengi ndani ya chama chenu. Pia anazo...
0 Reactions
3 Replies
541 Views
Ni Jambo la kawaida na Ambalo kila mmoja lishamtokea yaani kuwa na zile ndoto za utotoni. Ni Ndoto ambazo zilikuwa zinabeba ambition Halisi ya Binadamu! Kwa sababu tofauti za kifamilia, kijamii...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari za jioni wakuu, Mimi ni kijana niliyeamua kukimbia nyumbani na kwenda kuanza maisha, tatizo langu kubwa nashindwa kupangilia ratiba ya chakula. Naomba tujulishane hapa ratiba nzuri, ahsante.
3 Reactions
37 Replies
12K Views
Habari JF members. Mimi ni mwanaume wa mkoani uliza maswali kuuhusu. 1.Umri 2.Relations 3.Education level Na mazingira yanayotuzunguka binadamu. Nikishindwa maswali wamikoani wengine watasaidia.
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Mimi ni mrefu mweusi kiasi ,,nina kifua kiasi cha kuvutia ila sifanyagi mazoezi Nina mwanya ,,macho yangu yamekaa kimapenzi mapenzi Nina sauti nzito kiasi inavutia sana mademu Kwa mawasiliano...
4 Reactions
33 Replies
2K Views
Kwa kweli Leo nimewaza sana baada ya Jana kulala mapema sana nikiwa na mke wangu na mtoto wangu wa miaka miwili pamoja na house girl. Sisi wenye chumba na sebule tuna changa moto sana hasa wakati...
10 Reactions
177 Replies
22K Views
Imefutwa
1 Reactions
12 Replies
892 Views
Adam aliponzwa na Eva Samson aliponzwa na Delila Ngoswe aliponzwa na Mazoea Mugabe kaponzwa na Grace Wanawake Mungu anawaona
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu Tuache utan jaman mapenz ya fujo fujo yenye mikiki mikiki huwa ni matamu sana aisee Jiulize wewe mpenz wako...
2 Reactions
11 Replies
7K Views
KIFO NI NINI? Kifo ni pale Demu wako anapofanya fujo club huku akiwatukana mabaunsa na kusema... "BEBI WANGU HATA HAWAOGOPI" hahahaha "hapo ndo utapoelewa kwanini maji hayalowani"
10 Reactions
16 Replies
5K Views
habar zenu wana jf...hua nikiwaza life langu la shule hua nafurahi sana coz nilienjoy sana hasa O level nilikua nasoma boardin flan hapa dsm bahat mbaya iko karbu na makazi ya watu pia kulikua na...
2 Reactions
39 Replies
2K Views
Inakaa poa sana
0 Reactions
2 Replies
965 Views
Hii mbinu ya kushika kengele a.k.a pu..u kama ni kweli ikifinyika mbwa hawezi hata kubweka,basi hatuna imani tena mbwa kwenye ulinzi.
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari wakuu, Tafadhali naomba msaada kufahamishwa kama mtu atasoma CBG akiwa form 5&6 na akimaliza na kufanya vizuri atakuwa na uwezo wa kusomea kozi gani? ningependa kufahamu orodha ya kozi...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Wakuu kwa moyo mkunjufu kabisa kutokana na story kwamba huyu mzee hakuwa na ajira na wakati mwingine alilala bila Kula, nipo tayari kumpatia huyu mzee ajira Mara tu atakapo maliza maswala ya kesi...
31 Reactions
99 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…