Juzi nusura nivunjwe Jicho langu la kulia baada ya kurushiwa ngumi moja takatifu, kilichonishangaza sio kurushwa kwa ngumi hiyo ispokuwa mtu mwenyewe alienirushia hiyo ngumi takatifu.
Kwakweli...
mfano leo wewe ndo ungekuwa bill gates na utajiri wote..au unaelelea kuwa bill gates..
matamanio yako makubwa ni yapi?
mambo ambayo unatamani kuyafanya lakini kikwazo pesa...
your biggest wishes...
Mi nina arrange na thread ndefu especially mambo ya siasa nasubiri tu maoni ya wasomaji.
Kama na wewe upo kama Mimi karibu tusaidiane namna ya kutibu huu ugonjwa
Rejea hapo juu..
kuna jamaa yangu anaplan kuhost dinner after harusi yake..
ana watu kama 100 anataka eneo tulivu lauweza kupata huduma kama ni msosi (Buffet , BBQ,nk)
vinywaji ..
naombeni...
GUYZ KWA ANAEJUA JINSI YA KUPATA KAZI NCHI ZA NJE PLZ ANIJUZE...
.
Wanazengo naitaji kujua jinsi ya kufanya mpaka MTU unapata kaz nchi za njee mana bongo nyoso...bongo balaa maisha popote kujaribu...
Sina mpango wa kuoa maisha, na sidhani kama ni lazima.
Kuishi kwa masharti na kufuatiliana siwezi, nahitaji uhuru na kuishi navyo taka.
Mpango wangu ni kupata mtoto mmoja, nimpe mahitaji yake ya...
Mchaga hata apate kazi bank, ukimuuliza atasema yupo kibaruani. Acha sasa Mhaya apate kazi katika mashine ya kusaga na kukoboa
utasikia "I work as a crucial engineer in a monocotyledon finalizing...
Habari zenu,
Kuna mdada nimekua nikimfatilia sana comments zake na nimegundua nimetokea kumpenda sana.
Anajiita kapeace, haki nampenda natamani awe mke wangu wa ndoa.
Niko tayari kwa chochote...
Jana niliingia library, palikuwa kimya sana. Wakati natafuta mahali pa kukaa, nikakutanisha macho na mtoto mmoja hivi shombe-shombe mkali balaa. Akatabasamu kisha akainamia kitabu chake...
Habari zenu waungwana,
Nina kisa leo kimetokea kidogo kitoe taharuki mtaani,
Nina jirani yangu amekutwa na mkasa,jana alitoka na gari yake,
Akiwa mtaani akapiga demu kwa gari,demu akaacha nguo...
Miaka nenda, miaka rudi nikingia toilet, nakuta kifo cha mende, nikingia sebuleni nakuta kifo cha mende, nikingia chumbani nakuta kifo cha mende, nikingia kitandani loooh salale ndio, majanga...
Km ww ni mtz na umepitia au upo ktk mahusiano na hujawahi kukutana na zawadi za 1;pipi ya kijiti(big bom) 2;apple[emoji2] [emoji3] [emoji2] either ww ndio ulitoa au ulipewa km hujapitia hii stage...
Katika pita pita zangu humu nimekutana na uzi wa Wanawake wa Jf wakutane .
Sasa na mimi nimeona siyo Vibaya na wanaume tukakutana kwenye Uzi wetu dhumuni ni kujadili;
____ Maujanja ya kusaka...
Mara baada ya sirikali ya awamu ya tano kuingia magogoni hawa memba wenzetu waliotikisa hili jukwaa wakati wa uongozi wa awamu ya nne wametoweka kama vile mvua za pwani,tafadhali mwenye taarifa...
Kapeace naomba ukipata off uje nikupikie bilinganya za nazi na hata ukitaka mbichi pia wewe njoo uchume shambani zipo nyingi sana na ni kubwa sampuli hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.