Nimemuuliza "WIFE"..fedha za matumizi zimebaki kiasi gani? As per this morning, ameniambia hakumbuki, mpaka amuulize "DADA wa KAZI"
Jioni nitampangia kazi nyingine! Hawezi kunijibu mm...
Boss: kijana unataka
nini ndani ya ofisi yangu?
Jamaa: Samahani
naomba kazi ya ulinzi
ndugu.
Boss: Umesoma mpaka wapi?
Jamaa: Mpaka form
four.
Boss: Unajua
kiingereza?
Jamaa: Kwani hao wezi...
Kuna picha zimesambazwa mitandaoni zikinionyesha napokea milioni 100 kama mshindi wa BIKO..Taarifa hizo si za kweli naomba mzipuuze...
Mnaonidai endeleeni kunivumilia..
Wadau,
Kuna mtu alikuwa hajui kuvaa yaani kila akivaa anavaa mibwanga bwanga. Huyo MTU alikuwa anavaa misuti ya kushonesha kwa FUNDI pale kkoo kidongo chekundu.
Huyo MTU Leo kapata ulaji anavaa...
Nimepambana Na hali yangu lakini sisadiki kwa. bkaribu week. Hadi mwezi Na nusu nimekuwepo katika maeneo. Ya Kagera lakini nastaajabishwa Na kutokumuona paka hapa Bukoba Na Haya MULEBA paka...
Naomba mtuambie hapa, wanajukwaa haswa sisi wanaume walaji wa mapishi yenu, kwenye mchuzi wa chachandu, mpaka mnapotuandalia, maini na vipaja vya kuku, raha zake na vitumbua, mix nyanya hata...
Nimelizwa kama mara tatu hivi. Mbaya zaidi hata baada ya kula na kumwambia unakuta bado muuzaji anabisha. Utasikia ni 'kienyeji sema ni majogoo wakubwa kutoka Singida, Sumbawanga etc'. Pia wauzaji...
Yani kila id ya ajabu ajabu naambiwa ni mimi ivi kwa nini?
Nimefananishwa na id ya deo kisandu,lemutuz,beirababy boy,alosto,gentamycine, na kuna moja meisahau kidogo
JOB VACANCY..
Je, unatafuta ajira nzuri inayolipa?
1.Mshahara Tsh 900,000/= kwa mwezi.
... 2.Mda wa kazi kuingia saa 8.30 asubuhi
hadi saa 4 jioni.
3.Allowance 300,000/= kwa mwezi.
4.Siku za...
Haya mashabiki zangu wa ubuyu nipo live now, uliza chochote kuhusu mimi nitakujibu ,kipi nakufuraisha au kukuboa, its a serious Talk, uwarumi tuuache pembeni kidogo, nakaribisha maswali ,maoni na...
KISA CHA LEO
Mwanamke mmoja alikuwa akifanya kazi katika kiwanda cha kusindika nyama.
Siku moja baada ya kumaliza kazi zake pale kiwandani alienda katika chumba chenye freezer (cold room)...
Dah! Hivi majuzi bwana alikuja dem wangu wa village town kunitembelea.sasa kinchofanya niandike Uzi huu ni kwamba dem nilimwambia ashukie sehem flan atakuta nimemsubili, sasa aliposhukia pakawa...
Sugar mamy kanogewa kwa serengeti boy anagawa kila kitu, hili kumridhisha serengeti boy wake, mpaka mumewe machale yameanza kumcheza, na wapambe nao awapitwi na kitu, washamshika masikio baba wa...
Rais Mugabe aachia ngazi
Katika hali ambayo haikutarajiwa na wengi, Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ameamua kuachia ngazi.
Taarifa za kuaminika zinasema ya kwamba Rais Mugabe aliachia ngazi leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.