JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
wadau amani kwenu jana niliamka mapema asubuhi nikaamua kufanya usafi kuzuunguka nyumba yangu kabla ya kufungua biashara yangu duka Baada ya kufanya usafi mama watoto akaniambia chai na mihogo...
5 Reactions
43 Replies
4K Views
*Kinacho udhi kwenye kazi ya uwalimu ni pale unapo kuwa darasani unafundisha, anakuja mwalimu mwenzako anakuambia* *KUMBE UPO PERIOD, endelea kwanza nitakuona baadae*
2 Reactions
10 Replies
2K Views
1.Paka akiwa mnene na manyoya mengi ni paka wa kizungu lakini paka aliyekondeana mchafu ni paka wa kiswahili. 2.kuku anayewekwa mahali safi ,analindwa ni kuku wa kizungu ila wale wanaorandaranda...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
.....Salama wakuu, mimi naomba kuwauliza SWALI, je, ikitokea siku moja umeamka ile unatoka nje HUKUTI MTU HATA MMOJA, UNAJARIBU KWENDA KATIKATI YA MJINI HUPISHANI NA MTU YEYOTE YULE.. HAKUNA...
11 Reactions
273 Replies
15K Views
Wandugu Habari Jaman mim ni kijana mtanashati na msomi wa masters. Nilishawishika kujiunga jf na kufurahia maisha ya humu kweli ni Mazur na matam sana. Lakin wandugu mim Nina kasoro gan mbona...
6 Reactions
107 Replies
6K Views
Tazama change alivyozungumzia hili kwa kuingia moja kwa moja youtube inayoonekana chini ya video ukishafungua
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nikikumbuka nilivyo saidia kubeba mahari bila kujua kuwa zilikua zinaenda kwao na mpenz wang..kumbe alikua ana poswa siku hyo.mwili hua una sisismuka kwa hasira ila ndo basi tena yalishapita. We...
0 Reactions
83 Replies
6K Views
jamani hapa nyumbani umeme unakatika katika ovyo kiasi kwamba ukija tuu naweka kwaya japo Mungu aingilie kati :(:(:(:(
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Binafsi kuna kosa ambalo laiti kama ningehojiwa Leo basi ningepata Taabu sana kujitetea. Kuna Fundi nimebeba kichwa cha cherehani kisa deni LA 50000 ila amekomboa Pamoja na hayo nikakumbuka kale...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Naamini nyote mu wazima na mnamatumaini tele na hizi pesa za makinikia. Wengi wanasubiria Noah zao pale. Tafadhali naomba kila mmoja aseme atapenda kuzitumia vipi pesa zake za makinikia,maana...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wapendwa, Baada ya kuwa member wa muda mrefu hapa umefika wakati ni me nimeamua kujitoa, hii ni kutokana na muongezeko wa majukumu. Hapa nimepata marafiki ambao ninaweza kusema ni wa kudumu...
35 Reactions
164 Replies
11K Views
majirani zetu wamejaribu kusubiri mema ya nchi wamejipanga kwa kununua passport. Wengine wamekwenda mbali zaidi mpaka kupata hati ya mahakama kutumia ubin wa Nyerere.
6 Reactions
16 Replies
2K Views
Eti kamuomba "Magufuli mchanga wa makinikia akajengee Nyumba":D:D :oops::oops: Your like plz
2 Reactions
2 Replies
749 Views
Hali hii ilivyombaya......duuh yaani hadi panya wameamua kunikimbia...hapa nimebakiwa na shingtano ya mwinyi Nawaza sijui magufuli . aseme RUKSAaaaaa tuuuuu,
0 Reactions
4 Replies
701 Views
Niko upset jaman!! Nipen ushaur wa buree nifanyaje...Najifeel bored na kila kitu!!.. Wanaoweza kunirudisha kwenye mood mapinfuzi ya fikra yaendelee nisaidien Chochote kinachoweza change my mood
0 Reactions
11 Replies
735 Views
Sasa hivi ukitaka kupiga sound demu unatumia maneno haya yanayokwenda na wakati Vita ya kutazama uzuri wako haijawahi kuziacha hisia zangu salama. Nipe makinikia ya moyo wako. Naahidi kulipa...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
*Vijana wa Leo* *Suruali 40,000/=* *T-shirt 35,000/=* *Saa 25,000/=* *Simu 500,000/=* *Sadaka 500/=* *Halafu Unataka Pepo !!* *Mungu mjomba Ako?*...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari za Jumapili Ndugu Zangu WanaJF. Ni Tumaini Langu kuwa mpo sawa na Mnaendelea vema na harakati za kila siku za kutafuta Riziki na Mkate wa kila siku. Mwenzenu mimi Kiufupi Nilikuwa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Back
Top Bottom