JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
*I just need a girl friend that goes to church* *When i Cheat, we pray and blame the Devil not me* [emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Hi wapendwa. Kila mtu anaeneo lake fulani kwenye mwili ambalo hapendi kabisa kuguswa,mfano mimi sipendi uniguse ndani ya kwapa zangu maana kitakachofuata hapo ni shida tu msisimko hatari. Je wewe...
2 Reactions
149 Replies
11K Views
Happy Birthday Millan Mayweather [emoji512] [emoji512] [emoji512] [emoji512]
0 Reactions
14 Replies
1K Views
1. Ukiona umerusha mada ikaanza kuchangiwa kwa kuungwa mkono ujue mwisho wake huenda ikaishia kwa kupingwa sana... Hii huenda nachangiwa na kwamba kuna wachangiaji wamejipanga kiitikadi yaani kama...
10 Reactions
75 Replies
4K Views
1 Reactions
5 Replies
972 Views
Kwa tuliopitia primary na secondary enzi za mkapa kurudi chini, ilkuwa kama fashion, Kila mwanafunzi alitamani kumiliki "mkebe" au "compass" (geometry box) Japokuwa wengi wetu hatukuwai kuzitumia...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Ni saa nane kasoro saiz na naona watu bado wapo online najiuliza kinachowafanya wasilale ni kitu gani?
6 Reactions
123 Replies
5K Views
Leo baada ya kutoka kufanya usafi KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo simu umenunua Bei gani? Kwakuwa natoaga sadaka kidogo,na ZAKA ndo sijawahi kutoa,Nikamjibu...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wana Jf! Shukrani Ziwafikiwe Wana Mara Wote Hasa Kwa Ndugu Zetu Wanaserengeti Kwa Kutupokea Vizuri, Tuliandaliwa Chakula " UGALI" wa mtama uliochanganywa na unga wa mihogo na...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Wasalaam wana chit chat hebu twende kwenye mada yenyewe je ni sehem gani ambayo ukiwa hua hupendi upuuzi a.k.a majaribu. Mm binafsi ni chooni.siku moja nikiwa chooni nikasikia mlango ukigongwa...
4 Reactions
50 Replies
2K Views
Umeshawahi kusaidiwa homework na mzazi halafu ukapata ZERO? Hapo ndipo unapojua shida sio wewe [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Halafu mwalimu akwambie...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Nina furaha ilioje tangu barrick wakubali kutulipa mahela yetu. Furaha ilizidi pale nilipopata habari kuwa above 18 tutapatiwa magari aina ya Noah. Hatua nilizochuka ni kuanza driving school na...
9 Reactions
21 Replies
2K Views
*```Status zilizokiki kipindi cha JK```* 1. Nikiwa beach napunga upepo 2. With my kids enjoying the day 3. Wakati nipo na masela tukichafua Meza si mchezooo 4. Nikiwa natoka Airport kwenda home...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Huu ni uzi maalum kwa vile vimsemo vilivyosambaa mitandaoni vinavyoanza na ujinga ni pale.......nk Nawewe tupia hapa ili twende sambamba................ Kwamfano. Ujinga ni pale...
5 Reactions
29 Replies
12K Views
Hakuna ndoto mbaya sana kama kuota upo KIBITI Stendi [emoji1] [emoji1] [emoji1] ...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
*Nimefika uBungo stand ya mabasi wapiga debe wanasumbua sana wananiulza naenda wapi nkajibu ZANZIBAR.* *.nmewaacha nawaskia wanataja sehem za siri za binadamu itakua wanakumbushana biology*...
22 Reactions
34 Replies
3K Views
*"Father Lord, If My Future Wife Is In This Forum Please Direct Her To My pm Now"* [emoji18][emoji120] *Amen*
0 Reactions
36 Replies
2K Views
Hapa JamiiForums nilisoma shairi moja linasema "kunde mmempa wenyewe akijamba mwalalamika, acheni ajambe asafise tumbo". Shairi hili lina mantiki kubwa sana ndiyo maana walikuwapo wa kumkamata...
1 Reactions
3 Replies
772 Views
Back
Top Bottom