JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Natumaini muwazima wa afya njema, Ni katika suala ambalo mwanamume analichukia kupita maelezo. Mwanamume ukimgusa ama kumshika sehemu ya makalio hakika hamtoelewana kabisa. Hata kama ni...
4 Reactions
59 Replies
6K Views
Wee nichunge tu niwapo mitaani ila usisahau kunirudisha zizini...[emoji23] [emoji23] [emoji23] mapenzi bana[emoji6] [emoji25] [emoji6]
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Back in days uko ndo tumeanza first year LL.B moja, huku na huku nakutana na msichna mmoja mzuri dunia nzima, yaani kila jicho lilikua linamtazama mule class wote ndo hatujuani juani iv, na mie...
15 Reactions
66 Replies
8K Views
Enzi za skuli unatoka katika chumba cha mtihani wa hesabu nje unakuta magwiji wa namba wanabishana...mmoja anasema jibu ni 3 na mwingine anasema jibu -3 wakati huo wewe umepata jibu 41987 hapo ndo...
7 Reactions
19 Replies
2K Views
Naona uzi wenu unakua kwa kasi sana,sijui huwa mnaongelea nini kule..
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Kuna jamaa wa Iringa kitambo hicho alitoa song moja kaliiii akapotea mazima,song lilikuwa linaitwa Jackiline Wimbo ulikuwa na kiitikio hiki "Mtoto ameumbika,Jackline sura kama malaika, jackiline...
0 Reactions
4 Replies
894 Views
Jux alikuwa anasomea nini maana nimeona amegradueti na wachina.
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Huyu shost nilisoma nae form three na four yeye alikuwa kule ambako phyisics na chemistry ni msamiati. Shost wa ushuani lakini huko mkoani. Amekuja mjini kuchukua passport na visa anataka kupanda...
3 Reactions
43 Replies
4K Views
Naishi Tanga Jina kamili Abdulqadir Hassan nina miaka 21 nahitaji rafiki Jinsia zote. Vigezo;- 1.awe mwenye akili ya kushauriana kwenye mazuri 2.asiwe mshari na awe mcheshi yan kutaniana wakati...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Kauli kama hizi 'wa kunikamata yupo wa kunipeleka mahakamani hayupo'' 'watuhumiwa wa madawa wanaishi gerezani kama wako peponi' je. malengo yatafika??????
0 Reactions
4 Replies
626 Views
Nilipokua nasoma darasa la tatu nilisoma hicho kitabu lkn sikukielewa vizuri Kila nikitazama zile picha nilikua naona manahodha wanakula mua wa kawaida kweli. Kwa ambaye anaweza kukipata please...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Kweli nyakati daima hazifanani, mpaka ninavyoandika hapa sijapokea mwaliko wowote wa Sikukuu toka kwa ndugu, jamaa na rafiki zangu! Je ni kweli vyuma vimekaza kiasi hiki? Come on!!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna Mtu Sina Mazoea Nae Sana Leo Kaja Inbox Baada Ya Kusoma Baadhi Ya Thread Zangu Sijui Jiwe Limempata?
2 Reactions
41 Replies
3K Views
Unaweza usielewe kwanini nauliza hivi au ukaponda tu kama ilivyo kawaida ya wengi lakini jibu lako ni la muhimu sana. Hivi kila mtu anahaki ya kupata anachokihitaji/kipenda?? Kama...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Habari wana JF Mkuu Joseverest hivi unatumia mbinu gani mpaka unapata mpaka 89% za wewe kuwa ni member wa kwanza ku comment asilimia hizo ya threads? Ni kweli kitanda, gari, nyumba na kazi yako...
4 Reactions
45 Replies
3K Views
Wadada wengi huwashobokea kina kaka au wababa wenye magari.Ni kwanini?
0 Reactions
31 Replies
2K Views
Katika maisha yangu jambo ambalo sitalisahau milele ni siku nilipofanya mapenzi na binti wa ajabu kimaumbile! Jirani na kijijini kwetu nilipata binti alikuwa anaitwa Kamunde! Kwa kweli ilinichikua...
8 Reactions
106 Replies
24K Views
Habari zenu wanajf ,kama kichwa cha habari kinavyosema ni hivi.. Jumatatu apo kuna majina mawili juma na tatu,juma linafaamika sana na tatu linafaamika pia nilakike katika zunguka yangu...
0 Reactions
66 Replies
10K Views
Kwa wale watumishi wanaotumia Nmb Mgodi umetema kesho mapema kachukueni vyenu.Thanks
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Mapenz ya kale yanarudishwa na Sikukuu ya Eid..... Wiki hii kuweni makini sana, usije ukaona calls nyiingi ukadhani unapendwa....
12 Reactions
214 Replies
14K Views
Back
Top Bottom