Aisee hili tumbo huwa ni shida na cjui kwanini huwa linahisiana na kijasho chembamba nakumbuka kuna siki nlikuwa kwenye mizunguko yangu likanishika nikiwa mijin alafu sehemu niliyokuepo hakukua na...
Uchoyo ukifikia hapa bora kifo,
mama mmoja alikuwa anapakua chakula ghafla akackia hodi,
akaficha chakula chini ya kochi,
mgeni alipoingia akaona moshi unatoka chini ya kochi.
Mgeni: Moshi wa...
Stress ni pale ulipoamua kusubiri upangiwe ajira tangu 2015, halafu majina yanatoka sasa hivi kuwa umepangiwa kazi KIBITI. [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] ...
Mungu alivyoniumba sijui kakosea huwa nawashangaa hawa wananidiscuss kuhusu nilivyoumbwa wao wanajiona ni wazuri mimi ni wa ARUSHA na Meno yetu yalivyo nashindwa hata kucheka sijui nani...
Matumaini yangu mu wazima kabisa,kwa waliofunga hongera sana,mungu ni mwema karibu mtaanza kula lunch.
Hoja niliyo weka ukumbini jana ilihusu kujisomea vitabu,asante kwa wote mlioshiriki...
Hadi muda huu suala la Iddi kuwa kesho,linaanza kufifia.Hakuna mwezi wala dalili zake kwa hapa bongo.Ingawa inasemekana Dubai umeonekana,huku kwetu umegoma
Mtoto kampigia simu mama ofisini kwake kwenye simu ya ofisi, baada ya mama kusahau simu yake nyumbani.
Mtoto: Mama uwahi kurudi nyumban leo mapema
Mama: Siwezi kuwahi kurudi mwanangu nina...
Hellow Fellas .
Nitumiie neno Wakuu kama Jina lenye heshima JamiiForums, mpo poa wote.
Tunatambua wote wako Mafemous wa JamiiForum njooni hapa tusemazane na mafunns wote mnakaribishwa.
Ni...
Mambo yanabadilika sana kwanini zamani kabla ya kupika dagaa walikua wanakatwa vichwa ila siku hizi hawaondolewi vile vichwa na bado wanakua watamu tu
Nini lengo la kuondoa vile vichwa?
Leo nimepiga pafu zangu 5 za bangi lkn sijaona madhara yoyote:D wanaosema bangi inamadhara wapuuze tu
Sahivi nimekaazangu juu ya TV naangalia makochi badae tena nataka nipige pafu tano nyengine!
MIZANI ; SEPT 23 OCT22
Wiki hii unatakiwa kuwa makini sana na vichochoro unavyopita
Kwani kuna hatari ya kukutana na Mke wako ambaye mmeachana siku
nyingi, upo uwezekano mkubwa wa kukumbusha...
*Baada ya ofa ya Jaza ujazwe ya Tigo nimeona na Mimi nije na ya kwangu kwenye mlango wangu wa ghetto nimeandika Gonga ugongwe naona usumbufu wa mama mwenye NYUMBA umepungua*
Kuna tabia moja mbaya sana akina dada mnaifanya, huwa mnapenda sana kututoa kofia tunazovaa kichwani (hasa kapelo) alafu mnaanza kukimbia nayo ili uonekane upo romantic, just imagine mi nikakutoa...
Leo nilibahatika kutembelea moja ya mgahawa mjini kupata chochote kitu baada ya mihangaiko ya hapa na pale.kwenye mgahawa ule niliagiza chakula ambacho nilikuwa nakihitaji "menu ilikuwa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.