JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mi nlimwambia ipo siku utajua nilikupenda na kweli sahizi ananiomba msamaha ila ndo nishapata girl mwingine wewe ulimwambiaje mpenzi wako mlivyoachana?
3 Reactions
162 Replies
24K Views
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Leo tuangalie aina tatu za pilau 1. pilau mjazo: hii ni pilau yenye wingi wa nyama haina haja ya kuvaa miwani kutafuta nyama pilau imejazwa nyama kuliko mchele, pilau ya hivi utaikuta ushuwani tu...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
*MISSION IMPOSSIBLE NIN???* *NI PALE UNAPOENDA DUKANI NA DEM WAKO WEWE UNANUNUA CONDOM ALAFU DEM ANAAGIZA PEDl* [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Duuh Mimi nimeona bora tuhame Tongwez.... Màaana Leo nimeota vibaya Had sasa natafuta wanajimu wa kutafsili ndoto yangu......but hollaaaah Nimeota '''nipo kwa exam room na swet vibaya sana tena...
0 Reactions
2 Replies
863 Views
Eti kisukari ni Ugonjwa na kipilipili ni Nywele daah... weka maajabu Mengine twende sawa..
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mara zote huwa najiita nna nyota mbaya ya mahaba ,mim ni form six ila nmeshanasa Mke ya wenyewe kama 4 naomba radhi sitowapenda nilinusurika, ukija hivi videmu fresh asee nimezoa ila napunguza...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Tweet ya Trump The Democrats have become nothing but OBSTRUCTIONISTS, they have no policies or ideas. All they do is delay and complain.They own ObamaCare! Majibu aliyopewa Wow. What an...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
[emoji12]
0 Reactions
4 Replies
790 Views
Mimi: nipe maoni yako juu ya msichanana akipata mimba shuleni ? Jk wa 4.) "Ukikubali kula kubali na vyako kuliwa " T.I nenda(in englsh) " Jaza Ujazwe" M.K.P.pinda "Wapigwe Tu" J.P.M "sitosomesha...
0 Reactions
1 Replies
749 Views
Habari wadau! Asubuhi nimepigiwa simu kwamba kuna mtu kazimia ghafla alikuwa anapata chai!; tukampeleka Hosp. Fasta katundikiwa drip. Lakini cha ajabu nimekaa hospitali mpaka sahivi mchana huu...
0 Reactions
4 Replies
877 Views
Nimefanikiwa Kukutana Na Mwana Jf Mmoja Wa Kiume Tumeongea Mengi Sana Kuhusu Changamoto Za Jf Na Mambo Kadhaa Ya Nchi It Was A Wonderful Day Nikamchokoza Kuhusu Id Yake Akacheka Sana Mpaka...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mkuu X-paster kama bado upo nakuomba ujitokeze hapa ile 'ishu' tulijadili naona sasa ni muda muafaka wa kuifanyia kazi, ni muda mrefu sasa sijakuona kabisa hapa JF mpaka ninapatwa na wasiwasi kuwa...
0 Reactions
0 Replies
552 Views
Jana Mchepuko wangu kanipigia simu na kuniambia ameibiwa simu yake ya laki8 nikamuuliza wapi? kaniambia ameibiwa mjini, nikampa pole! halafu akaniambia nimpe laki4 na yeye analaki4 akanunue simu...
8 Reactions
11 Replies
2K Views
Kuna wakati Mtu unaweza kuchapia mbele ya kadamnasi mpaka ukajishtukia hasa ukizingatia watu wametega masikio wote wanakusikiliza wewe kisha likakutoka neno hata usijue kama limetoka mdomoni...
1 Reactions
7 Replies
822 Views
Yaani hiki kivuli cha jioni kina madharau sana yani nakatiwa sukuma wiki kwenye kibanda chenyewe kimesimama kwenye bucha..
3 Reactions
5 Replies
922 Views
Mwalimu wa shule yetu huwa anapenda kutumia kiswaEnglish kwenye somo lake la geohraph..... Juzi kauliza swali???? Teacher: " nani anajua Dalili za kuanguka kwa CLOUDS " Tukanyoosha mikono wengi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Unamchapa mtoto wako alafu una mbembeleza kwa biskuti unamuuliza nani amekuchapa..? Mtoto ana mpoint mtu mwingne hivo ndivo rushwa inaanza...tz
3 Reactions
13 Replies
935 Views
Back
Top Bottom