Leo tarehe 28 Julai 2015 Bwana na Bibi Richard Mugizi wanapenda kuchukua fursa hii kuwakaribisha wana MMU wote kujumuika nao kusherehekea mwaka mmoja wa ndoa yao iliyojaa mapenzi na mahaba niue...
Karibuni jamani Eid ila nimejaribu kupita pita madukani nimegundua mchele ni ule ule wa Plastiki.Ila Kama upo tayari kutengeneza mabeseni chooni natoa mualiko kwa Kila mtu Wasalaam Eid...
Baada ya kumtandika fimbo chumbani akakimbia nje huku akichechemea Mara nikasikia mtu anabisha hodi nilipokwenda msikiliza namkuta mtu flani anachechemea huku akiniambia " uumeona ulivyoniumiza?"...
Huu uzi maalum kwa kupigana matani ..wanawake kwenda kwa wanaume na wanaume kwenda kwa wanawake
1.WANAWAKE NI WATU PEKEE WANAOVUA HADI NYWELE WAKIENDA KUOGA[emoji2] [emoji2] [emoji2]
2.WANAWAKE...
USILOLIJUA KUHUSU TEMBO.
1. Tembo, Pamoja na ukubwa wake, akitembea hana kishindo kabisa. Miguu yake kwa chini ni kama ina sponji hivi.
2. Tembo ana uzito wa tani 7
3. Tembo jike hubeba mimba...
Instagram, sio Facebook au JamiiForums, ni Instagram. Hapa ndipo ambapo kila umuonae yuko very smart kimavazi, pamba kali kali na simu za gharama zipo humo katika maisha ya Instagram.
Ni humo...
huwa najiuliza kwa sauti kubwa!
ikitokea magu akasema kila mtanzania achukue kitu anachotaka hapa tanzania we utawahi kuchukua nini kiwe chako na vizazi vyako vijavyo???
mi kiukweli nachukua mlima...
Asubuhi Alivyojikokota Akajificha Kwenye Dustbin Nimemkuta Nikamaliza Kabisa.Kwa Jirani Aliyesema Nimemuumiza Naona Watu Wanaingia Na Kutoka Kazidiwa Ghafla.Panya Nimemmwagia Mafuta Ya Taa Nataka...
Amani iwe nanyi nyoote..karibuni tupeane kheir na baraq za Eidd Elhaj na vilevile ni vema pia tushukuru tumehitisha mfungo/Ibada hii ya Mwezi mtukufu waRamadhan,na hapa ni itakua vema ikiwa...
Ukiwa unachat na mwanamke wako. Katikati ya conversation akaku SMS"baby nikwambie kitu"..ukijibu niambie..itafuata mlolongo wa matatizoo..na atakuomba hela au aka mzinga.
Wanawake wasio kuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.