JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu habarini tena, Nataka kujua kwanini ukiaota umekojoa kitandani unaamka umekojoa kweli, wakati huo huo unaota umeokota pesa unaamka empty, umeokota dhahabu unakuta hamna kitu au umeoa...
2 Reactions
34 Replies
11K Views
Nasema angalia ya kwako tu ...Hawa ndiyo watanzania bhana [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] UKIWA...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Nadhani wote ni wazima wa afya, napenda kuchukua nafasi hii kuwafahamisha kwamba leo ni kumbukumbu ya siku yetu ya kuzaliwa mimi pamoja na twin wangu charminglady . Kwa pamoja tuna mshukuru Mungu...
4 Reactions
32 Replies
11K Views
Kuna dem nimemtongoza miaka miwil na miez miwl sasa nilikutana nae mbeya, aliniambia akimaliza shule atanijibu haswa akiwauliza wazazi wake walioko pwani,... Juzi kanitext "mpenzi uwezi amin mama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Help me please
0 Reactions
14 Replies
8K Views
You CANNOT give a woman everything she needs. If God Himself gave them eyebrows, they shave and draw their own. God gave them nails, they cut it off and fixed their own, God gave them hair, they...
6 Reactions
25 Replies
3K Views
Rais Magufuli anaendelea na ziara yake mkoa wa Pwani na muda mfupi baadaye, atazindua kiwanda cha matunda kwenye Kijiji cha Msoga, alikozaliwa rais mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete. Mkewe, Mama...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
*Hata uwe na bahati vipi huwezi okota nyumba* *Ni vile tu sipendagi kuulizwa na babamkwe/mamamkwe nafanya kazi gani wakati jobless so huwanga nawajibu "mjasiriamali"*
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba kuhoji, ni kwa nini hii mitandao ya simu wanatuwekea call back ringtone ambazo mwenye simu hata hana habari. Nyimbo zingine zinakera kweli unapompigia mtu harafu inaanza kuimba. Haki za...
1 Reactions
4 Replies
692 Views
Wanaitwa Ayara na Jayara Ratun wana umri wa miaka 41 wamezaliwa Barsirat,Bengala nchini India wana mume mmoja kwa muda wa miaka 22 sasa kwa kuwa wana UKE mmoja tu,miguu mitatu,mikono ndio...
1 Reactions
37 Replies
14K Views
: Kama ukiwa mwanamke wangu, me ni aina ya mwanaume ambae siogopi kufanya lolote kwa ajili yako. Unahitaji nikakununulie ped? Nitakununulia. Unataka nibebe pochi yako? Bila shaka nitaibeba...
4 Reactions
41 Replies
4K Views
Kichwa cha habari chahusika.
2 Reactions
136 Replies
9K Views
Uzuri wa Mwanamke ni....?? a- tabia njema b-urembo c-papuchi d-umbo e-a na b yote sawa? Tiririka
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Kuwa Mimi ndio wa kwanza kusoma thread hii??? Sorry mwenzangu mmegundua nn Tafadhali? S H A R E. P L E A S E
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Kati ya Mimi na wewe msoma hii thread nani mjinga????
0 Reactions
2 Replies
791 Views
Nchini Uingereza mwanaume mmoja aliyegundua ticket yake ya lottery imeshinda aliwapigia simu Camelot na kuambiwa apeleke vitambulisho vyake wahakikishe kuwa ni yeye. Aliwajibu mbona mnazengua...
1 Reactions
29 Replies
2K Views
Jazwa ujazwe na Tigo shimeee tuitumieeeee Hivi Marketing and Promotion team ya Tigo mmekosa maneno mpka muanzishe hyo kauli mbiu? Ki ukwel mmetupa sana ukakasi wateja wenu maana hakuna...
4 Reactions
26 Replies
4K Views
Wadada wembamba wakienda kulala kitandani Alafu wakajifunika mashuka mwili mzima kwa mbali wanaonekana kama matuta....
1 Reactions
48 Replies
5K Views
Back
Top Bottom