An old Chagga man was struggling a bit with the English abroad. He walks in to the restaurant and wants to order a chicken, but unfortunately he can't remember what is chicken called in English...
Bwana mmoja nchini Marekani alazwa hospitali hali yake imefika miaka 2 kutembea hawezi.
Chanzo alipata mualiko kwa muafrika katika shughuli ya mtoto wake, kulikuwa kimepikwa vyakula vingi, mgeni...
Ni ka-mchezo rahisi sana ila nahisi wengi watashindwa na matokeo yake wataishia kusoma na kuondoka.
Ka-mchezo kenyewe no hivi kila mtu awake neno moja tuu ambalo lina herufi tatu
Mfano. Saa...
Jamani katika Mitandao Tajwa Hapo Juu nimeona CR7 ana Followers wengi kuliko #Zuck sasa kati ya Hawa nani Mwenye Mkwanja Mrefu na Katika uingizaji wa Hela Nani Anaingiza Mkwanja Mrefu Kuliko Mwenziee!
Za Mchana Wadau Naona Ka mvua Kananyesha Dar Kidogo.Jamani Muda Mwingi Napunguza Ma Stress Kwa Kuingia Jf Yeye Anachukia Nikiwa Jf Nifanyeje Nami Siwezi Acha Kuingia Jf?
1. Mganga wa matunguli tena masikini unamwendea akupe utajiri.
2. Daktari wa kinywa mwenye meno mabovu na kinywa kichafu
3. Baba aliye ajiriwa kama dereva wa medium shool au kampuni yoyote, watoto...
Roho inaniuma mno rafiki yangu kapigwa banned hata sijui kafanya kosa gani, moderate namuombea msamaha kwa kosa alilolifanya pamoja na sijui kafanya kosa maana na km wiki hivi sijsjiusha na...
Kama kichwa kinavyojieleza. Tushuke nao hapa.
*1. VIPWENTE* - _Hawa Ni Aina Ya Wapenzi Ambao Yeye Anaweza Akakumiss Hadi Anahisi Network Zinakatika...Lakini Hakutafuti Ng'ooo Iwe Ni Kwa Message...
Habari waungwana,
Kuna jamaa mmoja anaitwa panju wapanjuani kiukweli mimi huwa ananikera sana kwa kitendo chake cha kubana sauti. Huku ni kuwadhalilisha wanaume kwa kubana sauti , tushazoea...
Rais Magufuli amesema .. MIGODI imetuibia MAPATO ya Tsh Trillion 108.
Amesema hizo hela Tuzidai .. Na kuna tetesi zikipatikana zitagaiwa sawa kwa Raia Watanzania wote million 50.
Hapo kila...
Wasalaam wakuu, hili jambo nimelifanyia uchunguzi wa kina na kwa muda mrefu sana. Na leo nimekuja na hitimisho kuwa ni kweli humu Jf kuna majini. Na ntaziweka ID zao punde. Kama mbwaimbwai tu...