JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
*METHALI* utaweza kutambua methali hizi ni zipi? Hemu chemsha akili kidogo. 1. [emoji122][emoji90] 2.[emoji60][emoji83][emoji149][emoji381] 3.[emoji124][emoji100] 4...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
KINDLY NOTE: Utamu wa hao viumbe ni directly proportional na Miaka Utakayoenda jela
9 Reactions
146 Replies
16K Views
[emoji53][emoji53][emoji53]
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu, hii nimeiona kwenye Face book kwenye Page ya Mtalii mmoja ambaye yuko nchini kwetu kwa matembezi: So and so is a bit baffled by the priorities in this country; though there is no...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Hivi humu jf kuna mtu ambaye hajawahi kufungua nyuzi zangu kweli?
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Habari zenu wanaJF? Humu ndani kuna mashushushu na makada wa chama cha babu, threads zao zimejaa uchochezi ambao haunatofauti na huu unaotumika kuhadaa wananchi juu eti ya Uhain wa kutaka kupindua...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Za leo! Za saa hizi,! Jamani mwenzenu hata sielewi tunakoelelea, hivi kama kweli Tanzania kuna mgodi (sijui ndio mgodi au nimekosea) wa gesi asili (sijui nimepatia?) inakuwaje tunakosa umeme? Au...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Alikuwepo jamaa mmoja kijijini aliyekuwa mwema na kupendwa na watu wote. Aliwajuwa watu wote. Alimsaidia kila mtu kwa uwezo wake. Watu wote walimjuwa. Alikijijuwa kijiji chote, kila kipembe, kila...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Am sor 4 ma mistake.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wauza madafu nao wamekuja na promosheni yao "KATA UKATIWE..ukimaliza UCHOKONOLEWE" mwaka huu atuponi
1 Reactions
9 Replies
925 Views
Wakuu Wale wote tuliachiwa kila kitu na Wazazi wetu kwenye Tumbo la Mama zetu Njoo tuongee yetu Huku.. Miongoni mwa Hayo yetu.. All Singles wajisemee All Frastrate na Mahusiano wajisemee Na...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu huyu shemeji yenu Shunista au Shunie tangu nimvimbishe tumbo amekuwa akinikasirikia sana sasa nataka nimkomeshe nimletee mke wa pili Haya sasa madada wa JF milango ipo wazi kwa anayetaka...
5 Reactions
139 Replies
8K Views
Rafiki zangu,ndugu zangu na wapenzi wangu wote wa JF nahitaji dua zenu maana hali si hali naumwa sana siwezi hata kula,macho yanafifia fifia ,mwili wa moto kila ninachofanya kwangu nakiona kibaya...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Kwa wale ambao ndoto yao kubwa ilikuwa kuonana na mimi waje hapa Durban au Kangaroo Night Club , njoo tupate bia mbili tatu huku tukiburudika na muziki mzuri na warembo wakareeeeeeee Yani...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Watch the video bellow and provide the most correct answer and if no answer like and give chance to others to provide the most correct answer.
0 Reactions
6 Replies
983 Views
Salaaam Sanaa Mkuu Poleni na majukumu,Yakutwa Naimani ramadhani inasonga vyema kabisa Niende kwenye mada Aisee Nina Bwashe (shemeji) Yangu Alie Niolea Dada Yangu Ananitia jazba Nahasira kiasi...
1 Reactions
64 Replies
5K Views
Miaka ile ya siasa za Ujamaa na Kujitemea, hakukuwa na shule nyingi za private, matokeo ya darasa la saba yakitoka na kama hujafaulu ulikuwa ni mzigo mzito kwa wazazi kukusomesha. Mama mmoja...
0 Reactions
11 Replies
988 Views
Kama kichwa cha habari kijielezavyo naombeni msaada wa dawa ya mbu kuna mtaa nimeingia kama wiki mbili zilizopita hapa Tanga yaani natamani kutoa damu kwa hiari niwape kuliko hiki nachofanyiwa na...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimeumbuka Leo... Me c House boy Mtoto wa mama mwenye nyumba Leo katembelewa na rafk yake uyo rafk yake Mimi ni rafk yangu Fb kanikuta naosha vyombo... Tumegongana macho ngiiiii. ...
2 Reactions
30 Replies
2K Views
Najua Kuna Freemason humu hebu mtuambie ndio ibada ipogo hivi?
0 Reactions
31 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…