Tafadhari sana sana sana wakuu
WAKUU NADHANI MMESHUHUDIA TAARIFA ZINAZOSAMBAA KWAMBA NIMETEULIWA KUWA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI SIO ZA KWELI TUZIPUUZE*
Kazi nyepesi, utaonekana na kila mtu, uwe na uwezo wa kulia vizuri, sio kwa kelele sana, machozi lazima, utapewa historia ya marehemu, uwe unamtaja taja kila uliapo, malipo 20,000/- kwa siku...
ANGALIA HUU MCHEZO WA KUTUMA MESSAGE MARA ZIKATAE KWENDA MARA ZIKUBALI??????NETWORK MBOVU KAMA HII HAIJAWAHI KUKUTA?????
GARLFREND»»hellow sweetheart
BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)...
Poleni na mvua kwa wale mnaokaa bondeni,najua ni kero kubwa kwenu.
Ila hongereni kwa wale mnaofaidika nazo,hasa kwa kutapisha vyoo pindi zinyeshapo usiku.
Straight to the point. Haki sawa kwa...
My birthday is coming soon,
Siku tano baada ya birthday yangu ndio nitatimiza miaka miwili kama member wa JF
Tuliozaliwa siku hiyo hebu tukutane hapa tuulizane kuuhusu mambo ya nyota tuone kama...
Ndugu zangu wana JF,
I salute you in the name of Peace, Love and tranquility,
Ni takriban miaka miwili nimekuwa hapa JF tukishirikishana mambo mbali mbali na namshukuru Mungu maana nimeweza...
Yan leo hii MCHANGA Umekuwa dili namna hiii[emoji30] [emoji30] [emoji30]
Yan MCHANGA umekuwa maarufu kuliko hata baadhi ya wabunge na madiwani[emoji30] [emoji30] [emoji30]
Afu mbona mchanga...
Habari Wana Chit-Chat,
Naomba kuuliza Wanawake wenzangu, Nilimuona Shogangu kasuka zile nywele za kimasai nikazipenda sanaa sasa nikasema niende na kwakweli sijasuka nna miaka kama 10 sababu mr...
ndugu mteja, acha usumbufu wa kuangalia salio mara kwa mara kwan unaweza kusababisha mshahara kuingiaa kwenye account ya mteja mwingine. Tafadhali hakikisha vyeti vyako kabla hujaangalia salio...
Hello wakuu
Mzigo mpya huo Umeingia Nimeona kabla sijautawanya
Nianze Nanyie Open Shoes za ukweli Warembo wa Jf
Najua Mna jipenda Jipatie kwa 15,000 tu
Kwa dsm tunafanya delivered
Mikoani...
Habari zenu waungwana, kiukweli bado kuna vitu hapa Jf vinanipa wakati mgumu kidogo kuvifanya na kuvitekeleza.
1. Followers ( inakuwakuwaje ?)
2. Following (inakuwakuwaje?)
3.trophy points...