Utakuta pale Mtu Umeme unapokatika tu Nyumbani Kwake ikiwa ni usiku basi utaona anakimbilia ama dirishani au nje kuangalia kama kwa Majirani zake nao upo au umekatika kama Kwake AU kama ukikatika...
Habari wana JF
Nimejaribu kufuatilia na nikagundua kuwa aina ya movie unazozipenda ndivyo tabia yako ilivyo. Maana unapofuatilia zile movie kuna vitu unachukua na kufanya kwenye maisha halisi...
Leo tuzungumzie mazingira ambayo huleta utata katika mahusiano ambayo huweza tokea mfano;
Simu ya mwenza wako inapata tatizo ambalo kinasababisha simu kutofanya kazi siku zaidi ya nne, unaamua...
Chukua mwaka aliokufa Nyerere 1999 kisha toa na mwaka uliozaliwa wewe ongeza na miaka 18 ya kifo chake, utapata umri wako sahihi hapo ndio utajua alikuwa baba wa TAIFA,
IKIJA NAMBA TOFAUTI WEWE...
Wana jamvi yani mimi nimenunua King`amuzi ili niweze kufatilia vita mubashara alafu Trump analeta woga wake anakimbia uwanja wa mapambano ...!!
Sijui kule Pasific alifata nini??
Mwenye parachichi...
Hivi ushawahi kukutana na hii kitu ,
Mie ishanikuta kitambo hichooo,
Unajikuta umemzimia bint flani ila unakosa ujasiri wa kumtokea,
Na ukute hapo ww ni cocha mzuri wa kuwapika wenzako ila...
JE!!!?
1:una chunusi,harara,vipele ama tatizo la ngozi?
2:Umepasuka miguu (magaga)?
3:unapata miwasho sehemu za siri,harufu mbaya na UTI ama FUNGUS za mara kwa mara?
4:una jasho kali,harufu...
Akyanani mtaniua nyie watanzania!
Kaja demu m1, demu tuuuu demu kanitoa faceboook yangu, kaja inboboooo, dada penny dada penny, my one and only 911, i need your heeeeeeelp!
Money Penny: haya...
Tangu nimeanza kazi sijawahi kutumiaa Kigawo Kikubwa cha Shirika(K.K.S) na Kigawe Kidogo cha Shirika(K.D.S)
Sijui shule nilisoma vyanini[emoji20][emoji19][emoji19][emoji19][emoji19] kuchoshana...
Wakuu leo nilikua najaribu kukumbuka baadhi ya matukio ya kijijini wakati wa sikukuu kama Nane nane, mwaka mpya, Christmas, Eid, Pasaka n.k
Kuna mambo nikikumbuka nacheka sana[emoji23]
1. Siku...
Umewahi kuwaza kwamba vipi kama matumizi ya id yako humu ndiyo yataamua bei utakayoiuza id husika? Yaani ukiangalia id yako na kuona namna unavyopanga hoja, namna unavyojamiiana na wanajf...
Wapendwa binafsi nimegundua usipokuwa mwangalifu utajikuta unaingia jehanam kwa ajili ya simu hizi. Hebu kila mmoja aseme alilowahi fanya baya kupitia simu yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.