Habari wana JF,
Kwendana na tathmini yangu binafsi ninaona kwa hii hali ya ugumu wa Ajira na ugumu wa mzunguko wa Pesa, kuna vijana wengi mno wako mitaani ambao hawana kisomo wala vyeti wala...
Nimetafakari na nikatamani kukumbusha na wewe hasa wakati huu ambao maisha ni magumu kwa watu wengi na tunapita kwenye upepo unaohitaji matumizi makubwa ya akili na ufahamu. Kwa Kiasi kikubwa...
Ombi kwa moderator wafutwe nyuzi za kutafuta wachumba humu maana wengi wao wapo kimasihara zaidi na kuchezea akili za watu
Utakuta mtu ni me lakini anajifanya ni ke kutafuta wachumba kwa nia ya...
Sasa ni rasmi serikali imetangaza ajira mpya kwa watu wote waliyomaliza vyuo kwa ngazi zote tena zoezi hili litafanyika kabla ya May .1. 2017
pia serikali imetangaza kuongeza mshahara kwa 45%...
Leo ndio mara yangu ya mwisho kuchati humu jf nitakuwa naingia mara moja moja sana kusoma mada mbaalimbali niambie neno lolote lile unalojiskia kwa mara ya mwisho
Na wale wapenzi wangu namba...
1-Msichana mwenye ndoto za kuolewa na mtu
mwenye mafanikio wakati yeye anamiliki lipstiki
& wanja tu anahitaji maombi
2-
Bora kupendwa na mtu mwenye tabia za
kimalaya, ukimfumania unamtema kama...
Binafsi huniwia vigumu sana kujibu haswa ninapokutana na swali kama hili "kupenda ama kupendwa" watu wengi husema kupendwa raha na kwa upande wa pili husema kupenda shida maana sio kila utakae...
Jamani Amanda Poshy tangu ni post ina maana hujasoma au ndo kiburi?! Nakupenda we mdada jamani mwaga manyanga huko uliko mwenzio nateseka. Dah! MUNGU fundi
ingekua kufanya mapenzi inaonyesha last seen
kama WhatsApp, messenger ama badoo! nadhani
kuna watu wangekua inasoma online wakati huu!!
tena na haka kabaridi nafkiria kuna watu unaona
last seen 1...
Wengi wetu tuna shughuli nyingi za kufanya katika siku na masaa 24 yanaweza yasitoshe kufanya shughuli zetu zote. Je ukapewa masaa 3 ya ziada kwa siku, utayafanyia nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.