JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nyie [emoji4] Nahitaji kuwajua wasichana wote mlokuwa "single" humu Jf Kama upo single, comment kwenye huu uzi. Kuna Project kubwa inakuja humu. Sawa???.. Sasa wew ole wako uwe single alaf...
1 Reactions
214 Replies
8K Views
WATANZANIA Kuna mambo muhimu matatu hatuyajui ndomaana hatuendelei kama wenzetu ulaya,,, tumekuwa tukiyafanya mambo haya kwa mazoea, MAMBO yenyewe hata mimi siyajui kwa sababu na mimi ni...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Mwanaume ni nani?? Mwanaume ni yule ambaye anatangulia hotelini na kumwambia muhudumu, nikija na demu wangu sema imebaki chai na maandazi tu :rolleyes:
9 Reactions
6 Replies
2K Views
Jaman naomba msichana yoyote aniPM kwa kuniambia chochote tu jamanii ntafurahi mie hadi basii,, si mmenielewa? [emoji4][emoji4]
1 Reactions
33 Replies
2K Views
Nauliza utatoa , hutoii??
1 Reactions
7 Replies
4K Views
*Demu anatakiwa kuwa mshamba kiana......* _Sio demu anamjua mpaka Cheki Noris,Anord Shozniga,Michael Dadkof....huna hata cha kumdanganya?...._ _Inatakiwa ukimuuliza "baby unamjua Lukaku?"...
19 Reactions
45 Replies
5K Views
Mwanaume wa kweli ni yule ambaye yupo na mpenzi wake zaidi ya miezi 3 bila ya kumuuliza au kumshawishi kufanya mapenzi, huyo ndio mwanaume wa kweli, ambaye ni mimi tu nimebaki peke yangu duniani...
0 Reactions
21 Replies
8K Views
Huyu dada yangu naye anaweza kuwa topic, Mara zote bosslady huyu amelalamika kuwa anahitaji kugegedwa...! mara kadhaa amekuja na hoja ya kutamani muhogo, ingawa nahisi hajawahi kuwinda mtu live...
5 Reactions
322 Replies
14K Views
Wengi wetu hatujaonana ana kwa ana... but tunaweza jieleza hapa tulivyo ili angalau kila mmoja apate taswira ya muonekano wa mwenzake...(Nafikiri si mbaya). . Sina shaka kuwa mara nyingi ukimjibu...
2 Reactions
141 Replies
10K Views
*Matokeo kidato cha nne,* div 1=1 div 2 =1 div 3 &4 =0 div zero = 200. Afisa elimu: mkuu wa shule mbona wanafunzi wengi wamefeli Mkuu wa shule: tumewaandaa wawe wakuu wa Mikoa Na wilaya Akili...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
za asubuhi wapendwa ! nimewaza kwa sauti tu. hivi ikatokea maajabu ya dunia siku members wanaingia jf, wanakuta kwenye ID zao mbele kuna jina kamili, lile lile mtu analotumia kama official name...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa upande wangu IFM ndio kiboko.
1 Reactions
56 Replies
6K Views
Tuamke na bwana muumba wetu, amen
1 Reactions
1 Replies
408 Views
Habari yenu wakuu Nani yupo nyama choma hapa Leaders club? Njooni tuyajenge. Kwa wale wanaotaka kukutana na mtu mzima mimi huu ndo wakati. Hina haja ya kuja PM. Just nielekeze umekaa wapi nije...
0 Reactions
3 Replies
785 Views
kwa baridi hili unawezajikuta unaomba msamaha hata kwa kosa la badae ili mradi tu msikosane hii baridi itakuwa imejiunga halichachi bando #WapostPumba
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimekaa hapa natafakari sehemu na viungo vya binadamu vinavoishia na herufi 'O' katika lugha adhimu ya kiswahili; Mkono Mdomo Sikio Kalio, Kojoleo, Jicho, Kiwiko, Ugoko, Unyayo, Kisigino...
2 Reactions
23 Replies
1K Views
1,Should I write about politics? -Base on leading party? -Base on opposional paties? 2, Should I write about relationship and sex affairs? - Looking for the ckicks, some body's wife...
4 Reactions
76 Replies
3K Views
3 Reactions
23 Replies
16K Views
eti mtu anakuuliza unaweza kuchoma cheti chako cha form six kwa sababu ya bilioni 2, nini cheti mimi nitachoma shule kabisa, tena nitamnyofoa mguu mwalimu kabisa #WapostPumba
4 Reactions
3 Replies
991 Views
tuanze na ki definition hiki cha form two.... misimu ni aina ya maneno yanayo ibuka au kuzuka na kutoweka kwa kipindi fulani, kibongo bongo tuna mineno mingi sana amabayo ina zukaa na kupotea...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Back
Top Bottom