JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Kati ya RAV 4 NEW model na VANGUARD ipi Iko; A) imara zaidi B) economic katika fuel consumption
0 Reactions
62 Replies
19K Views
Naombeni maelekezo ya kina juu ya torque, lakini pia juu ya Power,namna zinavofanya kazi katika gari,kipi kinamtegemea mwenzie zaidi na vinamaana gani katika kuelezea uwezo wa injini katika gari...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Ndugu zangu habari za mihangaiko. Nimekuwa nikifanya utafiti juu ya ulaji wa mafuta kwenye gari toyota allex na nimegundua kuwa gari inatumia lita moja katika km 11 (/l). Route zangu ni kisiwani...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habarini za usiku wakuu. Ninahitaji vifaa vifuatavyo vy scania kwa anayejua mahali ninapoweza kuvipata na bei zake chondechonde naomba asisite kunipa mwongozo. Item No. Description of items...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini wakuu! Niende moja kwa moja kwenye mada, ipo hivi; Gari yangu nikiwasha AC inakuwa nzito kidogo tofauti na ilipokua sijawasha, yaan kama vile kuna mzigo nimebeba. Nimeshindwa kujua...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za usiku wandugu? Naombeni msaada kwa anayejua mahali ambapo naweza kupata vipuri vya scania na bei zake naomba anipe mwongozo. Item No. Description of items PRICE 2. Fuel filter...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu. Nimeamua kutumia mfano wa IST na RAUM katika hili swali langu ambalo kimsingi linajikita katika maswala ya UTUMIAJI WA MAFUTA (fuel consuption) Swali. Je kuna utofauti wowote...
2 Reactions
6 Replies
6K Views
Watu wananunua Magari used Japan kwani hakuna nchi nyingine ambayo unaweza agiza gari kwa bei nafuu? Sijaelewa kwanini Magari mengi used yanatoka Japan!
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari wakuu, nimeona watu wengi sana wanaisifia hii gari lakini najiuliza kwanini haitumiki kwenye uber na Bolt ijapokuwa inatumia mafuta kidogo
4 Reactions
171 Replies
20K Views
Wakuu natumaini mko poa Nampango wa kusafiri kutoka Arusha kuelekea Mwanza leo mida ya jioni kuanzia saa moja usiku, hivi naweza tumia usafiri gani kuelekea huko leo jioni, kama kuna gari za...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Yangu/yetu ilikuwa poa sana. 1. Ilianzia 07 Dec 21 alafajiri sana kwa kutoka Namanga via Arusha, Kilimanjaro, Pwani to DSM (was so smooth) 2. Baada ya wiki hivi asbh saa nne j2 fulani baada...
16 Reactions
33 Replies
6K Views
Habari Wakuu, Mimi sio mzoefu sana na sjui chochote kuhusu Magari hivyo ninaomba kuuliza kati ya Toyota Belta,Toyota Platz na Toyota Vitz zote zenye engine ya 2NZ(1290cc) ipi inafaa zaidi kwa...
3 Reactions
23 Replies
6K Views
Wakuu naomba ushauri wenu. Nataka kununua gari mojawapo na machaguo angu ni kati ya Toyota LC prado ya 2018 diesel engine,Mercedes benz G class ya 2015 au 2016 ya diesel, na Toyota LAND CRUISER...
8 Reactions
34 Replies
5K Views
Habari JF Ninahitaji kujua taratibu za kupata TIN number kwa ajili ya kupata lesseni ya udereva. Mwenye kujua taratibu naomba anisaidie NB sina namba ya NIDA Nimefatilia nimeambiwa ntapata...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Katika website za magari discover 3 ina bei rahisi Sana tofauti na discover 4 wakati kila kitu kipo Sawa na discover 4?
6 Reactions
61 Replies
8K Views
Wajuzi wa mambo naomba kuuliza, kwanini hii Event (World rally Champion) haijawahi kufanyikia hapa nchini kwetu, au ilishawahi ni mm ndio nilipitwa na kama haijawahi kufanyika sababu ni zipi? Kama...
2 Reactions
8 Replies
520 Views
Habari wakuu, Naomba kujua je ni kosa kisheria kuweka bendera/kupeperusha bendera kwny gari binafsi?
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Ni Mwishoni mwa mwaka 2021 Kipindi cha sikukuu Kabla hatujaupokea mwaka Kimario alinipigia simu asubuhi asubuhi akaniambia kuna issue very sensitive anahitaji msaada wangu, Nilijaribu kudadisi...
16 Reactions
36 Replies
5K Views
Kwa anayejua bei yake tafadhali. Used na mpya, bei za zote.
5 Reactions
28 Replies
8K Views
Katika gari ambazo lazima nije nimiliki ni pamoja na Scania, hizi gari hata zikipita mbele ya macho yangu naona fahari kweli afe kipa afe beki, SCANIA FOR LIFE. Sent using Jamii Forums mobile app
7 Reactions
79 Replies
24K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…