JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Mnaopenda pickups, gari yenu hiyo hapo. Specs; 1. Turbocharged V6 Engine Power Output; 246 at 3250 rpm Torque; 600 nm at 1750 - 2250 rpm. 2. Sequential turbo charged 4 Cylinder Engine Power...
9 Reactions
17 Replies
2K Views
Nasubiri comments
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari hapo juu, naleta mjadala je kuna mafundi wa Hyundai Tanzania?
4 Reactions
21 Replies
5K Views
Kuna hii gari nimeiona mahali, naomba anaejua jina la hili gari na ikipendeza naomba kujua Bei yake kwa hapa bongo na wap vinapatikana. Natanguliza shukran
3 Reactions
9 Replies
878 Views
Salaam wanajukwaa, Baada ya kujaza kibubu kwa muda mrefu, hatimae nimeamua liwalo na liwe mwaka huu lazima nimiliki usafiri binafsi. Bajeti yangu mpaka sasa ni 15m. Baada ya upembuzi wa muda...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Angalia mwenyewe hapa, German machine inavyomuaibisha Crown athlete! Jamaa amemaliza sahani kabisa, lakini anapitwa kama amesimama vile! Lakini bahati mbaya jamaa walipoteza maisha mbele kidogo ya...
5 Reactions
82 Replies
11K Views
Wauzaji WA magari wanaangalia demand and supply ya bidhaa saizi Toyota harrier unaweza inunua mpaka Kwa milioni 32 na huku haiko stable Sana barabarani tofauti na gari za dunia ya tatu(mjerumani)...
16 Reactions
148 Replies
62K Views
Hivi mtu unapotaka kusafiri na gari yako (private car ) kipi unatakakiwa ukizingatie (service gani ni ya muhimu kwa safari ndefu )
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu nlikua naomba connection kwa mtu yeyote anayeuza bampa la nyuma ya Toyota Ist second generation ya 2007, nlikula mkenge. Kwa ambaye ataweza niuzia au kunielekeza pakupata bampa jipya la...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mpaka kufikia hatua ya kumiliki gari aina ya PASSO inapaswa ujitoe ufahamu mbele ya kadamnasi. Gari gani isiyoweza kutembea 200 kms bila kuchemsha? Nasubiria tamko/katazo la hizi gari toka ngazi...
42 Reactions
395 Replies
85K Views
Nina gari langu Toyota Brevis, nilikuwa naendesha, speed kama 120km/h lipo vizuri tu. Ghafla naona nguvu imepungua, na ukisimama engine inatikisika mpaka ukiwa ndani unahisi huo mtikisiko...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Ningependa kujua hii device hapa TZ naweza pata wapi? Asante.
1 Reactions
1 Replies
782 Views
Kwa ufupi ni kwamba nimeagiza gear lever EBay kwa pauni za kutosha tu kaa laki 2 hivi ... kumbe inapatikana Tandale kwa wana wa ndinga zilizopiga mzinga. My Take Utafiti ni muhimu sana ktk...
7 Reactions
15 Replies
1K Views
Wapendwa natafuta bampa la mbele la bmw x3 2006 au hata mwenye gari yake amepaki na ina show ile ya mbele yote naweza nunua pls msaada
3 Reactions
33 Replies
2K Views
Habari ,kuna mtu alichomoa betri ya gari,baada ya kurejesha,Radio imeleta hiyo shida,camera ya Reverse haionyeshi,radio inapiga kama kawaida. Aina ni NDCN-W54
2 Reactions
2 Replies
905 Views
pole na majukumu ya kutwa wapendwa, Nyumbani kwetu kuna machine zile za zamani Sana zinaitwa Lister Peter tulikuwa tunaitumia zamani Sana kwa matumizi ya kusaga nafaka. Sasa nimekuwa kijana...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu Jana jioni katika viunga vya Jiji la Arusha , Nilikuwa na jamaa yangu ametoka Dar , sasa kafanya mizunguko yake ya shughuli za kiserikali zilizomleta Arusha , kamaliza jioni...
4 Reactions
43 Replies
5K Views
Wakuu kwema, nina gari aina ya toyota nadia, iko na engine ile ya zamani, na iko juu ya mawe muda mrefu, sasa nataka kuifufua, Hivi naweza kuondoa mfumo wake wa zaman, nikaweka engine na gear box...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Guyz naomba kuuliza tairi za kwenye Sinoray bajaj zinaweza kufaa kwenye TVS bajaj, na vipi ubora wake na changamoto zake.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini za jioni wadau. Nimejikusanya nimepata kama mil 12 - 14. Malengo yangu nahitaji kununua gari kwa ajiri ya shughuli za kawaida kama kwenda na kurudi kazini, kwenda na familia ibadani...
5 Reactions
47 Replies
12K Views
Back
Top Bottom