JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wadau salama leko Kichwa kinaeleza hapo juu. Kuna malori baadhi yana taa za rangi rangi kama balbu za chumbani kuanzia mbele ya gari nyuma pembeni kushoto kulia juu chini ya gari kuna wengine...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari za jioni wadau, Kijana wenu nimejichanga changa sasa nataka kuachana na dala dala nilikua naomba ushauri katika izo gari mbili nichukue ipi? Nazungumzia zenye cc 1490 kwenye aspects zote.
3 Reactions
52 Replies
9K Views
Wakuu nimebabatiza pesa sehemu nataka ninunue gari kubwa kiasi nayo ISUZU BIG HORN mwenye kuijua vizuri: 1. Ulaji wa MAFUTA; 2. Spea zake; 3. Mafundi wetu wa Kibongo je wanaziwezea?
1 Reactions
98 Replies
25K Views
Msaada Kwa wadau kuhusu ubora wa magari haya, ni nunue Lipi kwanini. Volkswagen Tiguan/touran Honda crossroads Nissan E-Trail Toyota Premio Nissan Dualis
0 Reactions
2 Replies
799 Views
Habari Wanajamvi, nilikuwa naomba msaada kama nitapata steering rack ya BMW 5series
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Hawa jamaa kwa kweli wanajua wanachokifanya aise. Mercedes S Class ni dunia nyingine kwenye ulimwengu wa magari. Japo itatuchukua kama 20yrs kwa jamaa wa mtaani kwetu kumiliki gari kama hizi...
5 Reactions
275 Replies
20K Views
Wadau naombeni ushauri wenu, Nataka kununua toyota rush,kwa matumizi binafsi na kwenda kazini. Vipi kuhusu durability,spea,ulaji mafuta, mwendo barabarani, matatizo yake nk.
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Wakuu Nina miaka 30 now skuwahi kujifunza baiskel Kama vijana wengine kwa sababu za kiumaskin nk. Naomba kuuliza je inawezekana kujifunza pikipiki bila kujua kuendesha baiskel? Kuna aliewahi...
2 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari wakuu, Nahitaji kufahamu hili suala la kuweka tinted kioo cha mbele naona siku hizi imekuwa kama fashion hapa Dar. Swali langu mnapambana vipi na hawa jamaa wanaovaa nguo nyeupe...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Kiukweli huwa nasikitika sana nikikuta mtu anasema speed ya gari kubwa mathalani mabasi huwa ni kubwa kuliko speed ya gari ndogo. Unaweza kupitia comments za post niliyoiweka hapo juu. Hoja yao...
9 Reactions
10 Replies
3K Views
Nahitaji Mwenye uzoefu wa kuagiza tractor China anijuze.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Mama vp wakuu Mwenyewe uelelewa wa hizi gari aina ya Nissan X-trial maana naona watu wanaziuza kwa bei cheap sana?
3 Reactions
64 Replies
10K Views
Habarini wandugu, Je kuna madhari yoyote niki engage Neutral gear kwenye automatic transmission nikiwa nashuka mlima ili nisave wese?
1 Reactions
36 Replies
4K Views
Wakuu msaada tutani, accelerator kuna kipindi inakwama kukanyagika, hasa baada ya kutoka kukanyagia mwendo kiasi, ukiachia ili upige pulling tena inabaki kwa juu mpaka uipige pige na mguu mara...
0 Reactions
1 Replies
864 Views
Naomba kufahamishwa BEI ya COVER (Mfuniko) ya Spear Tairi ya Nyuma kwenue mlango wa RAV 4 (MISS TZ 2007) new model! Na nitapataje.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu baada ya kutumia version ya nyuma kwa miaka10, sasa ninataka kubadili model ninunue hii. Uzoefu upoje kwenye kodi ikizingatiwa ni gari ina miaka6 toka iundwe na costs zake ni$10,000 hadi...
1 Reactions
2 Replies
556 Views
Wakuuu nimejichangachanga nataka kuagiza Toyota Raumu naomba wataalam msaada wa mambo mawili 1. Naomba waliowahi kununua gari kupitia Hizi website mbili Realmotor.jp na Sbimotor.com Nimeangalia...
4 Reactions
21 Replies
6K Views
Wakuu habari zenu, Nauliza kama kampuni gani nzuri ya mabasi kutoka Dar kwenda Kampala Uganda nina taka nisafiri kwa raha bila bugdha. Asanteni
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu, hongereni na poleni na majukumu ya kimaisha. Mimi katika harakati zangu za kimaisha sijawahi kumiliki gari hata siku moja, ila nimejichanga nina kiwango cha kiasi kama milioni 11 ya...
5 Reactions
25 Replies
6K Views
Habari, Wazohefu wa magari gari yangu Jana wakati natoka job imelia paah kwanguvu kwenye engine yaani nimeogopa ata kufungua bord ya mbele. Je tatizo linaweza kuwa nini?
3 Reactions
1 Replies
592 Views
Back
Top Bottom