JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari kaka na dada zangu. Kama kichwa kinavyo jieleza. Ninaomba msaada kwa yoyote anae fahamu website ambayo naweza kupata PAR yaani Psychometric Assessment report. Nimejaribu web moja ya South...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Heri ya mwaka mpya wana jamvi,funguo ya gari imeharibika aina ya suzuki splash,nimejaribu kwenda kwa maduka mawili matatu wote wameshindwa sababu ni suzuki na Kuna duka posta barabara ya samora...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kwenye masuala ya Technology China inakimbia kwa kasi ya mwanga. Yafuatayo ni makampuni makubwa ya Electric Vehicles in China 1. Xpeng 2. NIO Haya ndio makampuni makubwa yanayotengeneza EV nchini...
7 Reactions
55 Replies
5K Views
Habari wadau? Nataka nibadilishe haka ka IST kangu nataka nichuke Ipsum New Model kwa ajili ya uhitaji wa Family Car. sasa kwa wenye uzoefu naomba kujua kama Ipsum iko vizuri ubora wake na hata...
1 Reactions
22 Replies
5K Views
Namiliki babywoka jamii ya IST, Swift, Honda Fit au Passo. Asubuhi napowasha gari au mfano gari nimepaki mahali muda mrefu, nipokuja kuwasha gari si inakuaga P? Okey, sasa nashika gear lever...
4 Reactions
37 Replies
7K Views
Hii gari ina 3UZ-FE V8 engine Ina cc4300 [emoji3][emoji3] hapa tu ndo linatisha maana [emoji618] ni balaa Ina toa power up to 300bhp Wazee wa mwendo kama holyman,Extrovert,Purezeiss etc hii...
10 Reactions
143 Replies
11K Views
Amani kwa wote. Natafuta kununua pikipiki used ya honda 110 kawaida au ikiwezekana ile yenye special gear. Dar au moshi/Arusha. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Kati ya gari hizi. Ungependekeza ipi kuwa ni bora ya nyenzie. Bwana mdogo anahitaji kununua gari ambayo ataweza kuwa anatumia Dar mara moja moja na pia kusafiri nayo mikoa ya Jirani kama...
3 Reactions
23 Replies
8K Views
Heshima zenu wakuu Mara nyingi naona watu wakijaza magari yao full tank kwa kuinua tairi la nyuma upande wa tank ili lijae zaidi ya pale pump ilipokata mpaka yanaonekana karibu kumwagika na...
3 Reactions
21 Replies
6K Views
Wakuu Baada ya kupata bahati ya kuwemo katika magari aina tofauti tofauti, makubwa na madogo lakini kubahatika kuendesha umbali mrefu kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine, kitu kimoja nimekuwa...
4 Reactions
142 Replies
15K Views
Habari za asubuhi naomba kujua kwa wale watajuzi wa magari gari yangu aina ya. Carina 7A inakosa nguvu mliman Ukiweka d kuna sauti inatokea kwa mbele kabla ya kutembea na livasi lia hiyo sauti...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu habari za jioni. Hongereni na pasaka Namiliki Gari Toyota Rav 4 A.K.A Miss Tz Ndugu yake na Vanguard ya 2005 Nilipata Shida ya pump kufa toka hapo hii gari imekua changamoto kwangu simply...
2 Reactions
10 Replies
9K Views
Habari Wakuuu. Hivi karibuni nimeshuhudia magari makubwa kwa madogo yakiwa yamebafirishiwa mfumo wa engine badala ya kutumia diesel/ petrol na kifungiwa mtungi/mitungi ya gas. Swali langu naomba...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Jaman msaada gari yngu toyota rav 4 vx old model 1999 naona haipo sawa kwenye ulaji mafuta Nikashauriwa niendeshe izime then niweke mafuta kidogo kwa ajili ya testing Nikaweka mafuta ya 10,000...
0 Reactions
63 Replies
15K Views
Naomba msaada wa ushauri nataka kanunua gari moja wapo kati ya Suzuki every au Suzuki jimmy, Je! ipi ni nzuri zaidi kwa maana ya matumizi ya mafuta, bei na uimara wa gari. Ahsanteni sana.
2 Reactions
26 Replies
11K Views
Anaefahamu vizuri haya magari anipe fununu je yanafaa kununua? Oil consumption yake vipi?masafa marefu inatoboa? Speed yake ikoje? Na je spea ni rahisi kupata? Sent from my SM-A305F using...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Angalia hii video hapa chini;
4 Reactions
49 Replies
7K Views
Thread ya namba za mafundi magari wazuri kama unasafiri kwenye highway hasa msimu huu wa sikukuu. Naanza na fundi Musa +255782147140, ukiharibikiwa kati ya Nzega na Igunga muendeee hewani...
3 Reactions
21 Replies
4K Views
Ni kwamba badala ya kuzunguka kwa kutumia nguvu ya umeme wa betri, starter hii hufanya kazi kwa kuzungushwa kwa mkono kwa sekunde kadhaa kisha nguvu ya mzunguko huhifadhiwa kwenye spring, kisha...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habarini wakuu, Nina gari yangu coaster, inakula tairi upande mmoja hatari, nimejaribu kufanya wheel balance bado mambo ndio yale yale, mafundi fanya hivi mara hichi mambo ni yale yale naombeni...
1 Reactions
16 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…