JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Naomba kuuliza Uzuzr wa gar hiii katika soko hasa kwa matumizi ya apa mjini
0 Reactions
39 Replies
9K Views
Habari za jion, naomba kupewa ufahamu juu ya hili, Leo nilienda garage flani kwa ajili ya kubadilisha shockup gari ni crown athlete na ni shockup za rear wheel, sasa baada kumuelezea fundi na...
4 Reactions
33 Replies
9K Views
Hizi Toyota Noah za namna hii watu wamekuwa wakilalamika sana kuhusu body yake kuwa si imara. Actually hii ni gari ya mizunguko ya town si ya kwendea shamba. Ukiacha malalamiko ya kuwa Body...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Mabingwa Salama? Naombeni msaada wataalamu; nina Rav4 "mpya" (Kili Time ya 2005 ODO reading 63K) inakaribia miezi miwili tangu niitie mkononi kutoka Japan. Ni 4WD; haina gear ya 4WD ila naambiwa...
4 Reactions
34 Replies
4K Views
Wakuu mambo vipi naomba mnipe sifa za hii gari ya toyota ist 4 wheel drive kwenye spea, utumiaji wa mafuta, service na ubora wake barabarani. Je na kati ya ist 4WD & 2WD ipi ni best?? Wajuzi wa...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wataalamu wa pikipiki ninaomba kujuzwa je ni service gani ambazo natakiwa kuzifanya mara kwa mara kwenye pikipiki ili kuhakikisha chombo kinakuwa salama muda wote. Moja ya mambo unayohitaji kujua...
1 Reactions
6 Replies
6K Views
Wakuu Habari. Nimetembelea tovuti za kampuni maarufu za kuagiza magari kutoka Japani kama Beforward, SBT, AUTOCOM na AUTOREC. Kote huko nimeona miongoni mwa magari ya kampuni ya BMW (X3 naX5)...
4 Reactions
46 Replies
14K Views
H1 toleo la kwanza la hammer ( Mwaka1992 - 2002) chini ya kampuni ya kimarekani AM General baadae GM. Gari hili lilitengenezwa mahususi kwa matumizi ya kijeshi, pia zilitoka models kwa ajili ya...
5 Reactions
44 Replies
8K Views
Nimeona mahali haka kagari kanaitwa daihatsu mira. Kako na Cc 660 ila kama body shape kali sana kama porte flank hivi au Toyota aqua. Naomba kujua kuusu hizi gari maana nadhani ni same like terios...
4 Reactions
20 Replies
7K Views
Naombeni utafiti wa hizi oil toka Castrol. Faida, Hasara na Matumizi yake. Wataalamu mwageni data.
3 Reactions
16 Replies
3K Views
Juzi fundi aliniuliza mara ya mwisho kufanya service gari langu. Nikamwambia mie tangu niagize nikaanza kutembea nayo sijawahi kufanya intensive service mpaka ipate tatizo ndio naileta kwako...
18 Reactions
185 Replies
27K Views
Wataalam wa magari, naomba kuuliza maswali machache. Nasikia watu wanaweza kuchezea Odometer reading za magari kwa kurudisha nyuma ili gari ionekane iko na mileage chache Ukikuta gari kwenye...
2 Reactions
31 Replies
5K Views
Wakuu, naombeni mwenye uzoefu na hicho kigari. Nimeangalia beforward nikaona kwa mazingira ya sasa ambayo nahitaji kufanya heavy investments, nahitaji kuwa na gari ndogo yenye gharama ndogo za...
2 Reactions
32 Replies
7K Views
Kwema wakuuu. Gari yangu ni toyota corsa tatizo ni kuchelewa kuwaka asubuhi au ukiipaki kwa muda mrefu,nimefanya engine overhal, nmebadili plug, nmebadili, idle control valve lakini hakuna...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Ndugu wadau naomba kwa wale wenye uelewa juu ya aina hii ya magari, ubora wake, matumizi ya mafuta, na chochote kizuri kuhusiana na magari haya. Pia naomba kujua mapungufu yake kwa wale wenye...
1 Reactions
40 Replies
24K Views
MercedesBenz EQS VISION....!
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Hbar zenu .. Naomba ushaur wenu juu ya gar hizi mbili katk uimara consumption na vitu vingine .. Ahsnten
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Kumekua nakamsemo mtaani haka kamsemo kamezoeleka sana Et V8 ni gari za Serkali hapana hata wewe unaweza kumiliki tutafute pesa wakuu Siku moja moja unaingia Showroom unaupiga mkwara umskini...
6 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wanajukwaa naomba kufaham pikipiki nzuri mpya kwa matumizi binafsi ya kwenda ofisini na mizunguko ya kawaida weekend. Hasa pkpk za kijapan ambazo nadhani ni durable bajeti yangu ni 3.2-3.5...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…