JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habar wana jamvi nahitaji brevis rangi yoyote cc 2500 namba ianzie C ila ikiwa D itapendeza mwenye nayo aje pm ofa ml 5
3 Reactions
88 Replies
12K Views
Habari za "Usiku huu wa Manane" Naomba msaada wa garage makini na ya uhakika iliyopo barabara ya Bagamoyo ambayo naweza kufanya service kubwa ya gari langu nina safari ndefu next week. Ahsanteni.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nahitaji shock absorber used ya left ya toyota IST new model (NCP-110) part no TOYOTA 48520-59425 Mwenye kujua wap nitapata anielekeze au anipatie no ya simu asanteni.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu wana jf,naomba kuuliza ktk matoleo mbalimbali ya toyota vitz 1.3 L,model ipi imesimama zaidi kuliko mengine nazungumzia ktk ubora wake zaidi
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Wadau,kama somo tajwa hapo juu linavyojieleza,naombeni msaada kwa mwenye uelewa;,gari yangu PASSO kwenye dashboard inawasha taa ya EPS na uskani unakua mgumu,naweza nikaendesha hivyohivyo lakini...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Wakuu Salaam !! Ushauri wa kiufundi as far as upatikanaji wa spare unahusika kwa hayo magari tajwa hapo juu, kati ya Toyota Ractis, Toyota Vitz ama Toyota Will VS zote zenye Engine Capacity CC...
1 Reactions
12 Replies
6K Views
Wakuu Nina milion Saba naweza pata Suzuki jimny used from Japan na je naweza kukakanyagia route ya mtwara mbeya?majibu tafadhali
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tafadhali wataalamu na wazoefu wa jukwaaa letu pendwa 1.Gari yangu ilianza kutoa moshi mwingi kama wingu kubwa na ilikuwa inaonyesha engine check baada ya hapo nikabadilisha oil s40 na baada ya...
1 Reactions
33 Replies
8K Views
Wakuu mambo vipi? Natumia BMW E90 2007 (3 Series) sasa nikiwa mjini uwa najaza unleaded ya Total au Puma. Sasa nipo njiani na nilipo sahivi usiku huu hakuna kituo cha karibu cha Puma wala Total...
1 Reactions
1 Replies
854 Views
Nauza rims size 17 ambazo zinafunga kwa Toyota ist,ractis,raum,sienta,porte, na Gari zingine jamii hizo,ni strong nauza 400000/= tu,nipo bukoba ila Monday zitakua mwanza so kazi kwenu,,0689211494...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Msaada wa sehemu naweza pata spare za Nissan Tiida, (bumper la mbele na bearings) zinapiga kelele wakuu, Locatioy: Dar/ Pwani Tuzidi kujikinga na Corona.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wananzengo, ninahitaji kujua aina ya Pikipiki inayoweza kunisaidia kwenye shughuli za shamba (kwa maana ya njia ya vumbi na kubeba mizigo ya wastani kilo zisizozidi 100 (uzito wa dereva...
2 Reactions
40 Replies
14K Views
Habari, naomba kujua naweza kupata wapi vitasa vya milango ya abiria vya sienta, Natanguliza shukrani
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tusaidiane kidogo watalaamu wa magari. Naomba kujua kuhusu hii AUDI.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wataalamu, Naomba mwenye ufahamu anisaidie kutofautisha hizi engine mbili za Harrier ili nifanye maamuzi yaliyo sahihi. ACU35 - hii ni engine ya 4wheel drive. Nachohitaji kujua ni vitu...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Wakuu, Kwanza Eid Mubarak! Naomba kujifunza kutoka kwenu Wakuu kuhusu additives za kuweka kwenye engine au gear box kwenye gari. Kwenye kausafiri kangu, naona kitu kama leakage kwa mbali kwenye...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kama miaka miwili au zaidi kidogo kulikuwa na maswali mengi kuhusu magari ya Nissan X-trail, wengine wakiyaponda na wengine wakisema ni magari mazuri. Kwa siku za karibuni maswali yamepungua na...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu. Naombeni msaada wenu kujua kama upatikanaji wa spare za BMW MIN ni rahisi kama wa gari nyingine za Toyota. Ninavutiwa sana na gari hii, nafikiri siku yoyote naweza kutimiza...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari za majukumu wakuu, Gari tajwa hapo juu ni kampuni ya BMW Mwenye uzoefu atupe maana ina bei sawa na Toyota tu. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…