JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
WanaJamii vipi hali? Leo nimeona niwajuze kuhusu kupima kiasi/ujazo wa mafuta kwenye gearbox za automatic. Hii ni kwa miundo ya hapo awali inayokua na dipstick ya kupimia. Cha kustajabu ni kua...
4 Reactions
2 Replies
5K Views
Upangaji wa ndege (flight plan) ni mchakato wa kutengeneza mpango wa ambao rubani anaufuata kuelezea safari ya ndege inayopendekezwa kufanyika ni vitu izingatie ili kufanikisha safari nzima kutoka...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Ndugu wadau Toyota Carina has a Ti zipo juu sana hapa bongo kwa sasa./ Nimezijaribu naona ni gari nzuri pia hasa kwa ugumu na fuel consumption. Nataraji kununua moja hivi siku za karibuni....ila...
1 Reactions
30 Replies
20K Views
Habarini. Nina pikipiki ndogo ya HonLg 110, Kwa Sasa nataka kusafiri kwa takribani wiki 1 au 2. Hivyo nitaipaki ndani, haitoendeshwa kwa hizo wiki, kwani sijapata mtu mwaminifu wa kumwachia...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimeona hii gari Toyota FJ Cruiser, inaonekana ni gari makini saana lakini bei yake ni hatarii....kuna mtu kaishaitumia hii na ufanisi wake upoje?
2 Reactions
22 Replies
9K Views
Habarini wakuu! Bila kupoteza muda naomba tujadiri kwa pamoja juu ya aina izi mbili za mabasi Tuanzie kuanzia performance je neobus anaweza mkalisha 95 scania kwa mwendo? Vipi kuhusu nguvu za...
1 Reactions
28 Replies
8K Views
Habari zenu wana JamiiForums, Nimejikuta nashindwa kuamua kwani mimi nilikua na mpango wa kununua Altezza, lakini najikuta nashindwa kwa sababu ukijarbu kufatilia resale ya hzo gari inakua ni...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wadau habari ya Majukum? Naombeni ufafanuzi juu ya gari hii ya Suzuki swift Old Model, fuel consumption, matengenezo (spair) ipi gharama kuitunza katiya Swift, au vits old model?
0 Reactions
29 Replies
9K Views
Habari wapwa na natumahi tunaendelea kunawa mikono kama ilivyo ada. Kwa thread hii tuzungumzie service inayohitajika kufanyika kwa magari yetu mara kwa mara. Wengi wetu tumekuwa tukitengeneza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Yapo magari mengi yanayouzwa ilakwa siku za karibuni nimeona watu wengi wakiuza Toyota Altezza kwa bei nafuu tena yakiwa ya hivi karibuni. Nini tatizo la hili toleo?
2 Reactions
33 Replies
14K Views
Salam wakuu, Nimekua mtumiaji wa magari yaliyo chini. Nilianza kutumia Toyota RunX na sasa natumia Subaru imprezza. Katika matumizi yake nimekua...
2 Reactions
9 Replies
4K Views
Nahitaji kufahamu bei na sehemu ya kupata jembe la trekta (disc plough) hp 45. Pia na gurudumu (tairi) la nyuma lenye vipimo 13:6-28 on 12" rim. Nipo mkoa wa Kagera. Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wana jamii!, Ni hivi nahitaji kushare uzoefu kwa wale waliowahi au wanaotumia Nissan caravan kwa ajili ya Daladala,sababu nami nataka kuachana na Toyota kabisa!
1 Reactions
15 Replies
6K Views
Habari wakuu! Mimi ni mgeni kwenye haya maswala ya magari na nilitaka nitolewe tongotongo! Kuna hizi Vitz muundo mpya wa kuanzia 2005 nilitaka kujua uwezo wake kwa mizunguko ya hapa DSM na ulaji...
0 Reactions
12 Replies
14K Views
Wakuu nilivutiwa na idea ya kufanya Vinyl Wrap business about 3 years ago ila sikuendelea na hii plan kutokana na mambo kadhaa yaliokuwa nje ya uwezo wangu. So far nataka kufanya comparison kati...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu, Naomba kufahamishwa 1. Je airbag inaweza isifunguke kama dereva hukufunga mkanda wakati ajali inatokea? 2. Je abiria wa mbele nae kama hakufunga mkanda pia airbag haitafunguka? 3. Na Je...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Sana sana yamekuwa left hand au right hand kulinga na nchi husika. Lakini magari kama yale ya shughuli za ujenzi au kilimo steling imewekwa katikati je kwani haya ya kawaida yalishidikana nini...
5 Reactions
26 Replies
4K Views
Wadau wa tunaomiliki hizi gari Toyota Harrier matoleo yote tujuane tuelezane changamoto mbalimbali na faida za kumiliki, ufundi, upatikanaji wa spear na ulaji mafuta. Mi mdau mmoja wapo hii gari...
3 Reactions
29 Replies
9K Views
Inside The New KQ Boeing 777-300ER 4 hours ago Dubbed ‘Masai Mara’, the new Kenya Airways’ first B777-300ER is one of a kind. One of the most outstanding feature...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Ni mara ya kwanza kuuguliwa na kukatika shock-up za mbele HONDA CR-V toka niinunue. Niko Tokyo (Tukuyu) naomba msaada anayejua bei nijipange shs ngapi? Ikiwezekana nielekeze na duka kabisa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom