JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Hii ni gari ambayo nimekuwa mara nyingi naifatilia tu mtandaoni.... Gari hii inatengenezwa japan na ilianza kutengenezwa kati ya mwaka 2005 hadi 2012 production yake ikasitishwa. Model ya mwaka...
1 Reactions
12 Replies
6K Views
Wakuu, Naomba kupewa ufafanuzi wa tofauti kati ya Leaded na Unlead petrol/Fuel. Na nini tofauti yake katika matumizi ya gari au chombo cha usafiri. Asante.
6 Reactions
76 Replies
12K Views
AIS-Automatic Identification System hiki ni kifaa kinachotumika kutoa taarifa za meli na huwa kinafungwa katika meli au mnara wa mawasiliano au kuongozea meli (Vessel Traffic Services). Ufanyaji...
5 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba kujua ulaji wa mafuta wa gari aina ya Toyota Land Cruiser V8 kwa upande wa injin ya disell na petrol per KM. Toyota Land Cruiser V8
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Wasalaam Wanajamvi, Sina Mengi naomba mwenye Kujua kuhusu gari aina ya Belta Kiujumla Msaada kwa Ufafanuzi. Je, Belta na IST ipi gari bora katika kila Nyanja? Nawakaribisha kunitoa Tongotongo...
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Habarini wana jamvi, Naomba msaada wenu kujuzwa ni wapi naweza kupata spare za pikipiki aina ya mahindra. Kwangu imekua changamoto kupata spare za pikipiki hii hivyo kwa yeyote ambae anaweza kua...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Wanajamii kuna ufanano gani kati ya CC za gari na ulaji wa mafuta? === Majibu Kiasi cha mafuta kitumikacho huendana na kiasi cha CC. Gari yenye CC kubwa huchoma kiasi kikubwa cha mafuta...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Wadau, gari yangu exhauster inapiga kelele kama imetoboka. Nimefungua fundi gas alipoiona na kukagua kote akasema haina shida yoyote. Anasema sababu ya hiyo sauti ni kwa kuwa haitatembea muda...
0 Reactions
1 Replies
719 Views
Miezi kadhaa nilienda pale Azam Tazara, nika weka gari sawa nikazima . Ile nafunga mlango na “remote” naona haikubali nika angaika mpaka nifangua remote ndani labda “battery” imekaa vibaya wapi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari, nahitaji Porte CC kuanzia 1280, plate number ianzie D ofa yangu ni milioni 5 cash, nione inbox kwa maongezi zaidi. Isiwe imerudiwa rangi wala kupata ajali.
1 Reactions
34 Replies
3K Views
Wakuu naombeni mnijuze kuhusu uzuri na changamoto wa hiki kigari, nataka ninunue ka kutembekea mjin,
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Habari wana jamvi Naomba kufahamu kuhusu Toyota Duet Inafaa kumiliki kwa sisi wa hali ya chini Na kama inafaa ina kipi special Lakini pia kama haifai Tatizo lake ni lipi? Sent using Jamii...
4 Reactions
14 Replies
8K Views
A- Leseni ya kuendesha pikipiki lenye au lisilo na sidecar na ambao uwezo unazidi 125cc au 230kg. A1- Leseni ya kuendesha pikipiki lisilo na sidecar na ambao uwezo ni chini ya 125cc au 230kg. A2...
0 Reactions
14 Replies
14K Views
Nimejaribu kufuatilia ubishano wa gari ipi nzuri kibongo bongo kwa mtu wa kipato cha chini, kati ya Diesel na Petrol. Nimekuta watu wanabishana tu. Wengine wanasema Diesel inatumia fuel kidogo...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Wadau mwenye ufahamu na hii gari atujuze mana nategemea baadaye mambo yakikaa vizuri basi nione mchongo wa kuimiliki. Naona ni gari ya juu halaf cc 1590 tu. Wazoefu na wadau msaada please.
0 Reactions
45 Replies
8K Views
Habari wanaJF Nakuja kweni naomba ushauri wa gari aina ya Mistubishi Pajero Mini. 1.Upatikanaji wa 'spare' 2.Matatizo ya hizi gari 3.ushauri wa bandari bila kuhusisha kodi ya TRA
0 Reactions
12 Replies
8K Views
Habari za leo, Ndugu zangu naamini kuna mafundi wazuri tu humu na wazoefu wa masuala ya magari Nina tatizo ktk gari yangu aina ya Toyota Grand Mark 2 (Gx 110 injini ni 1G kavu). Kwa masiku kadhaa...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Habari. Jaman mwenye kujua gereji au fundi Mtaalam anae repair bodi za landrover kwa Dar es salaam anisaidie Namba yake. CC. MshanaJr
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key).kwa magari aina zote yaani TOYOTA,VW,BMW,FORD nk. Kama unahitaji funguo ya...
0 Reactions
48 Replies
12K Views
wakuu hembu naomba mm mnijuze kidogo nafikiria sana juu ya watu wanao sema kuwa gari yenye cc kubwa ndio hula sana mafuta.kwa mbali na kubali na kwaukubwa nakataaa. kukataa kwangu kuna ambatana...
4 Reactions
66 Replies
32K Views
Back
Top Bottom