JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Serikali na watu binafsi wanazitumia hizi gari. Binafsi naludia binafsi zinanivutia machoni japo sijui chochote kuhusu hizi gari Napenda mnijuze sifa za hizi gari ziwe mbaya au nzuri zote kwa...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Hbr za humu ndani wanajamvi poleni kwa majukumu mbalimbali mm ni mpenzi sn wa pikipiki kubwa. Kuna pikipiki nimeiona eBay nimeipenda ningependa kujua gharama za kusafirisha hadi inanifikia ni...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
IPI INAFAA FOR PERSONAL USE BEI NAFUU JE? BUDGET NI 2M MPAKA 3M Matumizi hapa hapa Dar na daily rote kazini na kurudi..mfano Segerea to Kinondoni na Masaki? Rough road na lami pia. NOT FOR...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Tatizo limeanza kitambo nilionana na mafundi ila huku bariadi gari hizo ni chache na mafundi wanafanya kama kubahatisha tu. Ni wiki mbili nilipitia mitandao mbali mbali ya nagari walishauri...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Habari wandugu! Naomba niende moja kwa moja kwenye swali langu. Nimekuwa nikisikia kuwa ukinunua gari ambalo lina miaka zaidi ya kumi kuuoka nje. Kunakuwa na kodi ya uchakavu (Excise duty due to...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Napenda kujua kuhusu Toyota Vitz Clavia old model ikiwa full fuel tank Lita ngapi na pia ina reserve lita ngapi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
681 Views
Wakuu mimi sio mtaalam sana wa magari ila hua naona kuna haya magari ya harrier 240 na Lexus rx 300 kama yanafanana kwa kila kitu. Ila kwa kua hili jukwa lina wataalam wengi wa magari ningepemda...
1 Reactions
20 Replies
7K Views
Wakuu samahan kwa kuandika huu uzi usiku usiku... Nina jamaa yangu Kapatwa na matatizo ya Kuyumba kiuchumi. Anataka aniuzie Brevis yake ambayo kimsingi engine yake ni 2.5L na mimi kwa kweli Hapa...
2 Reactions
55 Replies
9K Views
Habari wakuu, Nimebadilisha engine kutoka 1GFE na kuweka 2JZGE non VVTI. Hii nimeitoa kwenye lexus gs300. Sasa tatizo lilokuwepo ni kwanza, engine imekuja juu zaidi, yaani inakaribia kugusa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari wandugu, Niende moja kwa moja kwenye mada, Nina uhitaji sana wa usafiri na nimefanikiwa kupata milioni 4 hivyo nataka kununua gari.Kuna magari mengi naona yanapostiwa mitandaoni kama vile...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Nimevuta huyo mnyama Mark x Zio ...wenye uzoefu vipi mnyama hana usumbufu (2Az engine ,cc2360
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za asubuhi, Je, hii gari nani mwenye uelewa nayo atupe detail na je kwenye showroom za hapa utakuwa na ngapi na ukiagiza itarange kiasi gani? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari Wana Jf Leo katika pitapita zangu nimekutana na chombo cha usafiri aina ya piki piki hii wauaji wanasema ni made in korea Nataka kujua upatikanaji wa Spare, ulaji mafuta ukoje na Je...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wadau Kuna taa imekua ikiwaka kwenye dashboard ya hii gari yangu corola runx na muda mwingine inazima. Nimeuliza kwa baadhi ya mafundi wanasema hizi gari ndo huwa ziko hivyo...
0 Reactions
39 Replies
7K Views
wakuu kwema? jamani nahitaji ushauri juu ya hizi ndinga, nataka kuichukua,mwenye uzoefu naomba anipe ushauri anazionaje? itanifaa kwa misele ya mjini na vijijini?naihitaji as a family car...but...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salamu wana bodi, Nina shida na gear box ya nissan caravan. Natafuta used. Msaada tafadhali. Hata kwa asiye nayo ningeoenda nipate mchango kuwa bei zake zikoje. Asanteni
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana JF nilikuwa nahitaji kununua noah yenye engine ya 1AZ naomba kujua inakuwa na matatizo gani mara kwa mara wakati wa kutumia. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Hello wakuu. Ninahitaji spare part - housing ya redio ya Carina SI. Je, huwa zinapatikana kwenye maduka ya spare parts? Bei yake? Naambatanisha na picha ya sehemu husika hapo chini. Aksanteni sana.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba kuuliza hii button ina kazi gani kwenye gari!!? Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
11 Replies
4K Views
Every year, the Los Angeles Auto Show hosts a challenge among automotive designers to concoct far-flung ideas about the future of transportation. This year's theme asked what the law...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…