JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Salam kutoka Kimomwe Motors waagizaji wa magari kutoka Japan na Ulaya! Watanzania tulio wengi tumekua tukiamini na kuaminishana kua gari zenye Cc ndogo kama vile Pajero Mini na Terious Kid...
7 Reactions
71 Replies
11K Views
Habari zenu ndugu zanguni? Mimi nataka nihamie Tabata Segerea karibu na kituo cha Oil Com. Ofisi zangu zipo Posta Ohio Street. Nina gari Toyota Crown nataka iuza ninunue Toyota Brevis. Matumizi...
3 Reactions
47 Replies
8K Views
Habari wakuu, Naombi msaada wa jinsi au mtu anayeweza kuondoa error ya kwenye redio ya gari aina ya eclipse avn-g04. Ambayo inaonesha kama vile inataka sd card [UPDATE] Kulingana na mawazo ya...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Samahani wakuu gari yangu inanisumbua sana ina tatizo ukiwasha inaandika EPS kwenye darshboard alafu steering inakuwa ngumu sana na huwa inatokea mara kwa mara sometimes ukizima ukatingisha...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wakuu Nina gari yangu ilipiga mzinga Run Aux ikaharibika rejeta,show airbag na bull joint ya upande was dereva ilikatika.. Sasa mafundi wakatengeneza gari ikakaa sawa gari ikatembea mwezi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tuambie chochote maana zinakimbiliwa sana nyakati hizi kwasababu ya utumiaje wa mafuta ila je nini udhaifu wake ? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
39 Replies
12K Views
Wakuu nina gari aina ya suzuki carry caburator kila baada ya miezi 8 hadi kumi lazima iue dif ya nyuma cjui tatizo ni nn
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu heshima kwenu, Nahitaji kununua hili gari,mwenye uzoefu au taarifa zake anishauri, Ina matatizo gani hasa na spea zake zinapatikana?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wakuu naomba kuweka kwenu huu mjadala mtu anayetumia cc 2000 lakini four cylinder na anayetumia cc 2000 lakini six cylinder. Hapo tofauti ni nin
2 Reactions
165 Replies
37K Views
Nauza compressor yenye motor 3HP, bei ni 1,500,000/=. Compressor ipo Dar es Salaam. Maelezo zaidi PM.
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Guys Nina gari aina ya HOWO kipisi Kuna liquid pembeni ya tank ya mafuta imeandikwa Adblue Only na imeisha iko empty kwa Dar hapa ntaipata wap maana gear tayari zimeanza kua ngumu tofauti na...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Imezoeleka wakati mwingine kwenda benki ukiwa umeshachenji hela zako kuw amadafu (USD). Sasa kama nina hela kwenye akaunt ya benki CRDB, nikihitaji niende kwao wanibadilishie (waniuzie dola) kwa...
0 Reactions
33 Replies
6K Views
Habari za humu ndugu zangu Baada ya kujikusanya kwa miaka kadhaa hatimaye na Mimi nitaanza kutembea nimekaa Kama wengine Nimefikisha million kumi net Nataka ninunue gari ,Ila Sina kabisa idea...
2 Reactions
139 Replies
25K Views
Wakuu wakati nauliza uliza kuhusu kampuni gani niitumie kuagiza gari, nimekutana na shutuma kuwahusu hawa jamaa! Wapo wanaodai jamaa huwa wanaleta magari mabovu au muda mwingine unaletewa gari...
0 Reactions
23 Replies
39K Views
Wadau nawaletea huu uzi kwa mambo mawili,kwanza elimu na kujua kinachoendelea kwenye ulimwengu wa magari,wajuvi wa mambo tunaomba mtuletee mnachojua na fact kamili ikiwa na picha itapendeza zaidi.....
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Wakuu habari, exhaust ya gari yangu inapumua kwa pressure kubwa sana ya upepo, pia mafuta inatafuna sana kuliko kawaida, ranging 5km/litre na gari ni honda cr-v 1998, tatizo linaweza kuwa kwenye...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wakuu ninataka nianze mafunzo ya driving ( usafiri wa kawaida, sio mabasi wala magari makubwa) hapo VETA chang'ombe mwezi wa saba mwishoni, je gharama zake zikoje na muda mpaka kuhitimu? Na je...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Leo alfajiri wakati natoka kwangu kuelekea kibaruani niliona Benz aina ya saloon lime-park pembeni huku dereva akifuta ukungu uliokuwepo kwenye windscreen. Yawezekana aliamua kufanya hivyo kwa...
4 Reactions
3 Replies
5K Views
Nimenunua spark plugs mpya lakini bado gari ina- miss tu. Naomba wale watalam wanisadie sababu zingine za misfiring .
0 Reactions
7 Replies
935 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…