JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari wapendwa,,nakumbuka niliwahi kuona uzi humu jamaa alipost juu ya kuuza spear za magar ambapo watu walikuwa wakimuuliza maswali na anawajibu vizur kwa kuwatajia bei ya spear wanazozitaka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu, heshima kwenu, Nafahamu kuwa technolojia inabadilika na kuboreshwa kila leo. Kuhusu Security Systems za magari, ni ipi ambayo ni current and the best?Ahsanteni.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hello guys, natafuta RHS side mirror cover ya nje ya Subaru impreza. Nipo Dar.
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Waagizaji wa magari wa kitanzania kwa jina Kimomwe Motors, wanapenda kuwakaribisha wastaafu wote kuja kuagiza gari zao kwa gharam nafuu zaidi kwani watapewa punguzo maalumu ili kuwawezesha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba msaada aiwaki asubuhi paka jua liwake ndio inawaka nisaidieni
0 Reactions
1 Replies
881 Views
Naomba mnisaidie gx 100 six aiwaki asubuhi paka jua liwake ndio inawaka nisaidie tatizo nin?
0 Reactions
1 Replies
995 Views
Pikipiki katika kuwasha unaweza ukatumia njia ya Kick Starter, Electric Starter na kusukuma. Swali langu lipo katika njia ya kusukuma ambapo mtu anayewasha anaweza akakaa katika pikipiki wakati...
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Wadau Kuna gari nataka kununua imeua injini td5 vilivyokufa ni piston rings, crankshaft, oil pump, hapa lazima nibadili head gasket na vifaa vingine vidogo vidogo kwa kifupi overhaul full, Sasa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Miezi mitano iliyopita nimenunua gari aina ya Corolla 111 kutoka mikononi kwa mtu,mwezi uliopita ilipata tatizo la kuchemsha na kuchanganya oil na maji baada ya kukikimbia umbali mrefu kutoka Dar...
2 Reactions
47 Replies
10K Views
Msaada wakuu, naomba kuelekezwa yard ambayo nitapata huduma kwa uaminifu, gari ninayohitaji isitoke nje ya spacio new model, runx, carina au raum. Sio wale jamaa ambao wanauza zinashatembea bongo...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Wakuu habari,tafadhali naomba ushauri wa mahali naweza kupata turbo ya Landrover 200TDI. Pia ningependa kujua na bei zake. Akhsanteni sana na Mungu awabariki.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Heshima mbele wadau Nina gari dogo aina ya toyota corolla kama inavyoonekana kwenye hii picha Hivi karibu imekua na tatizo la kuwaka kwani betri yake imeisha. Sijawahi kubadili betri tangu...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Msaada kwa aliyewahi kutana na fortuna haipigi res ama exleter haimalizi inanisomea code ya P0045
0 Reactions
0 Replies
1K Views
1jz GTE ni injini yenye nguvu sana ya Toyota ya kwenye gari ndogo hasa utaikuta kwenye Toyota Aristo na hasa ukitaka kuipatia zaidi ifungwe kwenye Toyota Artezza na ukute yenye twin turbo ni...
3 Reactions
159 Replies
33K Views
Naomba kuuliza wadau kati IST na Runx IP gari imara kwa mazingira yetu Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Habari wana jukwaa. Gari yangu RunX 2002 yenye engine 1NZ-FE VVTi nahisi kama imepungua performance kidogo ingawa sio easy ku-notice. Mimi na-notice kwakua nimekua nikilitumia kwa muda si naona...
0 Reactions
36 Replies
8K Views
Kwa wwny uelewa na uzoefu wa toyota allex na runx, nini tofaut ya hizi gari, na kama kununua ipi the best, maana hapa nilitaka kuagiza runx 2WD white. Kupitia SBT, Naombeni advice ya kitalamu
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Nahtaji kufungua karakana ya magar mkoa wowote. Naomba kushauliwa ni mkoa gani ntaweza kuiendesha karakana yangu kwa kipato kizur.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Clouds na Startime ndoa yenu imepata talaka? au mpo kwenye mazungumuzo siku ya tatu Leo,na Leo sitaona sport bar
0 Reactions
1 Replies
937 Views
Back
Top Bottom