JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari wakuu, Nimejikusanya muda sasa kuweza kumiliki gari la ndoto zangu. Tatizo ni budget yangu kwani nimefuatilia kuhusu my dream car naona mfuko haujajaa linapokuja suala la TRA. Je, waweza...
1 Reactions
29 Replies
11K Views
Wakuu, naomba mlolongo wa kufuatilia mpaka kupata leseni kwa mtu ambaye amemaliza chuo na amepata cheti. Sifahamu chochote kuhusu hilo hivyo kwa yeyote anayefahamu naomba anieleweshe kistaarabu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna alama iliyojitokeza karibuni kwenye dashboard. Nilimpa dreva gari ampeleke mtoto shule Geita lakini aliporudi ndo niligundua alama hizo yakwanza (ABS) yapili ([emoji3504][emoji3505] )kama...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Huyu hadi 2020 miezi kama hii ntakuwa nalo home. Kikubwa afya na uzima basi!
1 Reactions
27 Replies
5K Views
Wakuu kwema? Naomba anaye jua aniambie ipi bora ninunue? Je bora SHOWROOM au niagize Natanguliza
1 Reactions
5 Replies
2K Views
habar wadau , habari za sikunyingii hatimae JF yetu imerudiii [emoji28][emoji28][emoji28] twende kwenye mada wakuu. binafsi nimekua nina interest kubwa ya kumiliki trector walau 2 tu while...
0 Reactions
76 Replies
18K Views
Mama yangu ni mwalimu na anastaafu mwaka huu, na alikuwa anafikiria kununua gari. Kati ya haya lipi unaona linamfaa kwa budget isiyozidi 18M?. Mimi nilikuwa nafikiria haya, unaweza kuongeza...
1 Reactions
119 Replies
18K Views
Habari za weekend wakuu. Natafuta fundio mzuri wa kutengeneza Nissan Patrol ST kama iliyopo hapa chini, ni Auto 3000 cc, Diesel. Kwa anayemefahamu tafadhali DM.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nina Toyota SIENTA ya 2004. Wakati nainunua miaka 7 iliyopita ilikuwa inatumia Lita moja ya petroli Kwa. Kilomita 9/10. Ghafla tangu mwezi mmoja na nusu uliopita, ulaji wa mafuta umeongezeka hadi...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Salam wana jukwaa. Sasa tunakuletea mijadala ya kushirikishana na kuelimishana na ndugu zetu watanzania masuala mbali mbali yahusuyo tasnia yetu ya uagizaji wa magari kutoka nje ya nchi badala...
0 Reactions
0 Replies
331 Views
Wadau nilikuwa naomba msaada mtu anayejuwa alteza 4 inakulaje mafuta
0 Reactions
24 Replies
10K Views
Wapendwa natamani kubadilisha gari, hii nilonayo (Toyota Cami) simply nimeichoka japo haina shida yoyote. Natamani ku-upgrade nipate Prado TX diesel engine au Toyota surf new model. Yard gani...
3 Reactions
57 Replies
5K Views
Hivi inawezekana kuongeza madaraja kwa leseni ya udereva ambayo haijaisha muda wake ,kwa anayefahamu naomba anifahamishe
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mambo vp wazeiya wa JF?! Nimekuwa nikifuatilia kwa kiasi fulani mashindano ya magari kwny TV hasa Azam TV, karibu ya asilimia 98 ya magari yanayotumika ni Subaru tena Subaru yenyewe Impreza na...
5 Reactions
31 Replies
7K Views
Salaam, Nina shida ya kuweka navigation system ya Tanzania kwenye gari iliyokuwa na navigation system ya Ulaya. Kama kuna mtaalamu humu ama mtu anayemfahamu mtaalamu, anisaidie. Wasalaam,
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu kumekuwa na mtimdo sasa hivi wa kupimp gari na kufunga taaa taa nyingi sana za urembo kwenye gari..ikiwa pamoja na kutoa taa kubwa original za kuja na gari na kufunga zingine ili gari iwe na...
42 Reactions
33 Replies
14K Views
Abar za um katika pitapita zangu za kutaka kununua kausafil kangu nimekutana na gar aina ya jeep naiman um mnawajuzi kuusu ii gar naombeni ushaur wenu
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu habari za kazi, Jamaa yangu gari linamsubua baada ya kusafisha / kuosha Injini ya gari. Tatizo ni indicators zinasumbua, mara ziwake mara zisiwake. Naomba kama kuna fundi mweledi aliyeko...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kwa kweli watu wanaonunua brand new cars (wengi tunaziita 0 km) wanafaidi saana. Yaani unakuta gari ni safi, kila kitu kiko on point, miguu imekaa vizuri, seat ni safi, rangi imetulia hakuna...
11 Reactions
92 Replies
15K Views
Jaman samahani naomba kuuliza unaweza vipi kupata lesen class C kavu au C1 hata kama hauna cheti cha driving
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom