JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
wadau naomba mwenye gari hii nissan dualis anipe uzoefu wake nataka kuinunua
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Unakuta mtu anaishi Arusha au anaishi Dodoma then anataka atoke alipo aende mkoa tofauti Labda tuseme unataka kwenda kigoma,swali langu ni: Unajuaje njia ya kupita hadi kufika kigoma? au ndio...
4 Reactions
74 Replies
11K Views
Habari wakuu, natumai nyote wazima. Kwa wanaotaka magar kutoka nje, nakununulia Gari aina yoyote na kukusafirishia mpaka dar kwa $690 kutoka UAE. N.B, hiyo $690 ni ya usafiri tu means shipping...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Wadau habari, Naulizia gharama za kuitoa hii gari bandari ya dar es salaam. Bei iliyopo sokoni Japan ni $ 10,659 Nauliza mpaka itoke Bandarini itatumia shilingi ngapi? Type: Nisan condor...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
SIku hizi ni rahisi sana kununua gari, pia ni rahisi kujua kuendesha, lakini ni ngumu kujua nini kinafanya gari yako ifanye kazi. Usijali, tuko hapa kuendelea kufahamisha mambo mbali mbali ambapo...
7 Reactions
2 Replies
3K Views
1. Marcedes Benz? 2. BMW? 3. Toyota? 4. AUDI? 5. Volkswagen? 6. Nissan? 7. Volvo?
1 Reactions
62 Replies
11K Views
Wakuu habari za jioni? Mimi nina rava 4 kili time rangi ya silver number DLN 1zz ingene cc 1794 mpya kabisa nataka kubadilishana na mwenye harrier new model(second generation)kunzia mwaka2003 hadi...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Naomba kusaidiwa gari yangu inakosa nguvu mlimani na inamisi kwa mbali nashindwa nifanyaje mana nimepeleka kwa mafundi lakini tatizo bado lipo aina ya gari NISSAN NOTE
2 Reactions
14 Replies
20K Views
Naomba msaada kwa anayefahamu wapi nitapata spares hizi za Mazda premacy: Civ joints, stabilizer links na bushes.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Teknolojia ni matumizi ya sayansi katika sekta za uzalishaji na sekta nyingine kama vile mawasiliano, hasa hasa kwa madhumuni ya kibiashara. Pia, tunaweza kusema kuwa, teknolojia zinahusisha njia...
4 Reactions
34 Replies
8K Views
Habari zenu humu ndani? Niende moja kwa moja kwenye hoja ya msingi. Nimefikia uamuzi wa kununua gari iliyotumika hapa Bongo. Gari ninayoitaka ni yenye sifa zifuatazo: Aina ya gari: Toyota harrier...
0 Reactions
25 Replies
7K Views
Aman itawale kwenu wakuu Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu Nimekuja kwenu kuomba ushaul wenu maana nyie wana jf ndo wanangu wa kufa na kuzikana Nyie ndo ndugu zangu wa damu...
4 Reactions
39 Replies
4K Views
Baada ya kuhakikisha gari lako lipo makini hasa upande wa kiufundi kwa maana ya safari salama,kuna haja ya kuliweka gari yako kuliweka katika hali ya kimtazamo wa kipekee! Yaani lisionekane kama...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Kuna ist bado mpya toka ianze kutumika Tanzania, tatizo lake ni unapopita kwenye maeneo ya roughroad hasa ikiwa barabara ina yale mashine ya kutumbukia na kuinuka unasikia milio fulan nyuma kama...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Je Matairi yanayotoka na gari Japan 🇯🇵 yanafaa kwa safari ndefu? Msaada please 🙏
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari za jioni wakuu, nipo hapa leo kuomba msaada kwa mjuzi wa hizi gari upande wa utumiaji wa mafuta na mengineyo
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu poleni na majukumu.. Nimeagiza gari (Subaru Impreza) na itaingia mwezi wa 11 mwanzoni, hapa majuzi nimepata dharula hivyo hela ya kutolea imepungua. Nategemea kuweka mambo sawa miezi miwili...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wandugu nna hili tatizo kwenye gari yangu, tangia naigize toka Japan ilikuja ikiwa na hiyo alama. Sasa sijui ni nn na mara zote nimeivumilia ila leo nikaona niwaulizeni wajuvi wa mambo isije ikawa...
0 Reactions
33 Replies
7K Views
Bei ya pikipiki aina ya kinglion na sunLG kwa anayejua pls
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom