JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Nina Toyota SIENTA ya 2004. Wakati nainunua miaka 7 iliyopita ilikuwa inatumia Lita moja ya petroli Kwa. Kilomita 9/10. Ghafla tangu mwezi mmoja na nusu uliopita, ulaji wa mafuta umeongezeka hadi...
0 Reactions
2 Replies
963 Views
Naomba Msaada gari langu Aina ya Toyota Townace new model, nikisha park na kuzima gali pia kuzima taa zote na kuchomoa funguo, baada ya nusu saa gari linajiwasha taa kubwa. je tatizo ni nini.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Miaka kadhaa iliyopita ilitangazwa Landrover Defender zisingetengenewa tena. Watu walisikitika hata kuna kampuni zilitaka zinunue hatimiliki ya kutengeneza hizi Land Rover ili ziendelee...
2 Reactions
15 Replies
4K Views
Habari, Kuna jamaa yangu ana Nissan Xtrail new model t31 inampasua kichwa. Vitu vingine vyote viko poa ila kuna mlio wa kugonga unatokea nyuma akipita kwenye rough road ambao yani inakita kwa...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Captain/Master Huyu ni baharia au mfanyakazi wa meli mwenye leseni kubwa ya uendeshaji wa meli. Ndiye msemaji na kiongozi mkuu mwenye kutoa amri katika meli. Pia ni anamuwakilisha mmiliki wa meli...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Kuna gari imepaki nyumbani muda mrefu hivi kama miezi miwili bila kuguswa likiwa na mafuta kidogo sana. Leo nikasema ngoja nijaribu kuliwasha nikapige nalo misele. Nikazungusha funguo mpaka pale...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau, Nahitaji software au SD card yenye software ya kuweza ku unlock hii redio ya gari ya Panasonic Strada CN-S300D, kama ionekanavyo katika picha niliyoambatanisha. Naomba kujuzwa jinsi...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Hii ni ishara ya nini inasababishwa na nini? Solution yake nini?
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Habarini za muda huu ndugu jamaa na marafiki..... Tunamshukuru Mungutunaishi. sasa ndugu zangu naomba ushauri kuhusu ni gari ipi nzuri ya kununua nimejichanga nimeona nipate usafiri hapa nina...
0 Reactions
18 Replies
6K Views
Wadau ninamiliki toyota rav4 j , tatizo ambalo limejitokeza baada ya kubadilisha cylinder head gasket, con belling, spark plug cable, yaani ukiwasha inawaka na ukiweka gia, ninamaana driving...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu kwema?kuna vitu sijafahamu ni nini naomba kujua vina kazi gani kuna hii kitu inaitwa etc sijaelewa ni nn na pia kuna hii kitu sijaelewa kazi yake nimeambatanisha picha
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wakuu!!! Mwenye kujua mazuri na mabaya juu ya hii gari hasa ya mwaka 2006 au 2007 aweke hapa tafadhali, baada ya kutumia gari ya chini ya kwa mda mrefu nataka kuhamia sasa kwenye gari ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani samahani naomba mtu anayejua gharama za kusoma udereva veta na mda anisaidie.
1 Reactions
6 Replies
29K Views
Wakuu Kwema? Hope mnaendelea Poa Na Majukumu Ya Kila Siku. Nataka Kununua Gari, but nataka Kujua Kati ya haya magari ipi Iko vizuri katika ulaji wa mafuta, Durability ukizingatia barabara zetu za...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakubwa ni wapi kwa Dar naweza fanya diagnosis kwa gari yangu?
0 Reactions
0 Replies
832 Views
Guys Naitaji kununua pikipiki kwa ajili ya bodaboda, sitakua naendesha Mimi nitamkabidhi MTU kwa ajili hiyo, je ni pikipiki IPI nzuri, imara? Affordable cost (Mimi sio mzoefu sana )
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari ya weekend wakuu, Ni takribani miaka miwili nilimuazima ndugu yangu gari. Tunakaa mikoa miwili tofauti. Sasa tangu nimeanza kumuomba gari yangu, inaonyesha ni dhahiri moyo wako umekengeuka...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Wanajamvi habari ya jioni kwenu!? Samahani wanajamvi, binafsi nina garage kubwa tu na tunadeal na kutengeneza magari aina zote sasa nahitaji kujisajili na Toyota katika garage yangu ni vigezo...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Heshima kwa kila mmoja wenu, Wajuzi wa magari, naomba wenye uelewa zaidi ya hili gari dogo la Mitsubish Galant Fortis...Zipo za mwaka 2008, 2009, 2010 na kuendelea. Nyingi zinakuja na injini ya cc...
3 Reactions
31 Replies
4K Views
Jaman naombeni mnielekeze nin maana ya hzo hapo juu na vipi znafanyakazi effect zake pia asanteni.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom