JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wadau, salamu kwenu. Naomba ushauri toka kwenu. Mimi ni mgeni wa magari ila nayapenda haya magari, sasa je gari gani kati ya Nissan X-tail na Subaru Forester ni bora zaidi kwenye: 1. Uimara 2...
1 Reactions
46 Replies
49K Views
Nahitaji kununua xtrail 2003 yenye engine ya SR20VET, Nanunua modeli yenye engine ya SR20 kwa sababu engine hiyo inasifika kwa uimara duniani kote na ni nyepesi kwa mafundi kuirekebisha endapo...
3 Reactions
58 Replies
22K Views
Nawaomba msada wenu wadau. Nahaitaji gari ya familia ya watoto wanne na mke, kati ya Spacio new model au Wish new model, au nyingine yenye muelekeo huo ila isiwe ya kufunguka kama Noah, mfano...
1 Reactions
46 Replies
5K Views
Wakuu mwenye cd au iso file ya kurest redio ya gari "please insert correct disc map" anisaidie. Namba ni kama hapo juu.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu, Tujuzane hapa kwa nini pikipiki au baiskeli zina uwezo mkubwa wa kutembea kwa matairi mawili tu tena wakati huo inakua imebeba watu wa 2 mpaka wa 3 na haianguki. Kuna physics au...
3 Reactions
29 Replies
9K Views
Habari za hapa kwei haiaribu taa baadae kweli na ni kweli taa inarudi kama mpya au ni story tuu?
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Hbr zenu humu ndani. Naam swali langu hivi tunaweza kutambua gari ya V6 bila kuangalia huko kwenye engine Mfano ukiwa online unaagiza harrier unayaona mengine ni 2360Cc, 3000Cc, 3600Cc...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Habari wakuu Nataka kununua gari used, 1. Escudo ya 1999 cc.1950 2. Au gari yeyote yenye injini ndogo ISIYO TUMIA MAFUTA MENGI NA SERVICE ZAKE ZA KAWAIDA naomba utaratibu na vitu vya kuzingantia...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Wadau mwenye kujua mitsubish pajero ubora wake na changamoto zake naomba anielimishe
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Dhumuni la hii mada ni baadhi ya upotoshaji au chumvi zinazowekwa na wanazi wa haya mabus kila mtu akivutia upande wake! Ni ukweli usiopingika kwa ishu ya durability scania yupo vizur zaidi Ila...
5 Reactions
166 Replies
28K Views
Habari wanabodi Nna Nissan X-trail, haijawahi kuniletea shida yoyote kabisa, ila mwezi mmoja kabla engine ili-heat kwa uzembe wangu mwenyewe, nikabadilisha head, gari ikarudi sawa, nikatembelea...
1 Reactions
20 Replies
7K Views
Je unafahamu kazi ya Neutral gear kwenye gari? Wataalamu wa mambo wanasema kazi ya neutral gear ni kusaidia kusimamisha gari wakati wa emmergence hasa pale accelerator inapostuck ukiwa kwenye...
2 Reactions
29 Replies
8K Views
Natafuta forklift 30 to 42ton kwa kuazima very urgently check me inbox if u have it.
0 Reactions
0 Replies
543 Views
Wakuu polen na majukumu!! Naomba ushauri wenu ... nichukue gari gani kati ya gari tajwa hapo juu... {subaru forester, Bmw 3 series au x3... ushauri huo naomba ulenge kwenye >>> ulaji wa mafuta...
1 Reactions
86 Replies
22K Views
Husika na kichwa hapo juu. Hii gari used kutoka japani hadi naingia nayo barabarani inaweza gharimu shingapi? Hasa ikiwa 4wd Kuanzia mwaka 2007 na kuendelea. Nataka niandae mpunga kabisa.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Used kama ipo bongo itapendeza zaidi.naomba msaada
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Roboat ni mradi wa utafiti uliofanywa ndani ya miaka 5 ili kutengeneza chombo kitachojiendesha chenyewe. Huko nchini Uholanzi na Chuo cha Amsterdam Institute for Advanced Metropolitan Solutions...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni aina ya gari ndogo iliyotokea kupendwa sana kutoka kampuni ya Toyota kulingana uimara wake na fuel consumption nzuri....pia inaoneoneka ni gari iliyohongwa kwa kiwango cha juu. .wadada...
0 Reactions
36 Replies
7K Views
Msaada , kuanzia ulaji wake wa mafuta, durability na spea
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu jamaa.. Naomba kujua zaid kuhusu tofauti ya gari hizi.. Honda HR-v.., na CR-v ikiwa ni pamoja na upatikanaji wake wa spare parts.. Uwezo wa kuhimili mikiki kwa kila moja..
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom