JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Mara kadhaa tumekuwa tukianzisha mada mbalimbali zenye lengo la kutoa elimu, dhumuni likiwa ni kupeana uelewa zaidi na kukumbushana mambo mbalimbali kuhusu uagizaji wa magari. Leo tungependa...
0 Reactions
4 Replies
518 Views
Habari wakuu ninaomba msaada wa kuzijua hizi gari za nissan bluebird kwenye ulaji wa mafuta na upatikanaji wa spare parts nimeona bei inaridhisha nikaona nije kwa wataalamu kwa ushauri zaidi...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Mara kadhaa tumekua tukianzisha mada mbali mbali zenye lengo la kutoa elim dhumuni likiwa ni kupeana uelewa zaidi na kukumbushana mambo mbali mbali kuhusu uagizaji wa magari Leo tungependa...
0 Reactions
0 Replies
200 Views
Habarini wana jukwaa, Ipi gari nzuri kati ya Harrier kichogo na Subaru Forester?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu habari ya muda huu! Naomba msaada wa kujuzwa Engine gani ni nzuri kwenye hizi Gari Townace au Liteace truck maana nimeona kuna engine nyingi sana kama 2Y,3Y,2C,4K,5K na 7K carburated na 7K...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Habari wakuu,, Weka top 5 yako ya magari (saloon car) yanayotamba kwa sasa ukianza na lakwanza hadi la 5, Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari za mchana wanajamvi. Gari yangu ni automatic na lina tatizo ambalo bado sijalielewa, kila ninayemuuliza ananipa majibu yake. Tatizo lenyewe ni hili: Ukiingiza gia (D) au ( R) inatoa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ndugu! poleni na maangaiko Nafikiria kununua gari, Toyota Nadia, ebu naombeni ushauri juu ya aina hii ya gari. Binafsi nalipenda kwa sababu ya gharama yake kuwa ndogo maksio ya milioni 7,ikiwa...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
#REPOST Goefrey madafa RAV 4 MAANA YAKE NINI? Walitumia maneno haya kiingereza RAV4" --Recreational Active Vehicle with 4-wheel-drive, Ukichukua herufi hivo za mwanzo utapata RAV 4. Generation...
4 Reactions
17 Replies
14K Views
Habari za majukumu wanajukwaa. Kuna hizi gari ambazo zinakuwa na freezer/jokofu kwa nyuma zinaitwa Freezer Truck/van , nimeangalia katika mitandao ya wauzaji wa magari na kukuta aina nyingi za...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Nawasalimu wakuu, Nimefanikiwa kujichanga na kupata kakiasi fulani, bado niko na sintofahamu ya gari ipi niichukue kati ya hizo mbili. NB:Nahitaji ushauri wa nichukue gari kati ya hizo na sio...
5 Reactions
29 Replies
42K Views
Wadau naombeni ushauri wa kubadilisha engine, Naomba watoa ushauri wawe wanazijua vizuri engine siyo wagaga gigi koko. Gari ina Engine ya 1JZ GE kavu Nafikiria kuitoa na kuweka 1JZ GE yenye vvti...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Gari yangu ina cc 1300 na kwa maelezo ya kwenye manual yake inasema kuwa Engine oil inayotakiwa kununuliwa ni 5W-30 Yeye ananambia kuwa kwa kuwa gari yangu engine yake imeshatembea zaidi ya kms...
2 Reactions
27 Replies
5K Views
Wadau, Mimi ni mpenzi wa Nissan. Natafuta hiyo Engine hapo juu (TURBOCHARGER SYSTEM NISSAN PATROL 4.2L TD42T3) DIESEL
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Salaam! Nina gari aina ya Toyota Vitz 2NZ-FE(1.3L) 4WD ya mwaka 2000 ambayo nilinunua Show Room hivo sikujua kabisa kama ni 4WD mpaka nilipo google chasis number nkaona hilo gari huko beforward na...
1 Reactions
44 Replies
17K Views
Hivi ni kweli gari hata kama ni mpya, ukimwagia chumvi kwenye engine eti engine inakufa (kuzima), yaani haliwaki tena? Je, kuna ukweli wowote, na kuna mahusiano gani hapo? Naomba kujuzwa.
0 Reactions
55 Replies
14K Views
Habari. Naombeni msaada wa gharama ya hilo gari ni shilingi ngapi?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hello Wana GT. Naombeni msaada wenu Kwa mtu anayeishi South Africa. Nilikuwa nahitaji horse ya scania 6× 4 kutoka South Africa, kama Kuna mwana GT anayejua wapi naweza kupatana hii Horse ,MSAADA...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu naombeni mnisaidie nataka kununua gari, sina uzoefu wa aina yoyote wa magari. Ushauri wenu muhimu sana.
0 Reactions
35 Replies
6K Views
Back
Top Bottom