JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Salaam wakuu.... Kwa bajeti ya 15.5M nitaweza kupata toyota harrier old model kwa kuagiza toka Japan? Hapa namaanisha niwe nimelipa kila kitu naliingiza barabarani. Pia naomba kujua hizi old...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
natafuta gari used ya kufanya taxi.. budget 3m...automatic transmission/four clinders. whatsapp me 0627929219. machaguo: corona corolla carina ti starlet asante. Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
43 Replies
10K Views
Afe kipa afe beki ndoto yangu ni kuja kumiliki Range Rover kali hata ya 200M other dreams remain constant. Vorgue
11 Reactions
52 Replies
6K Views
Habari wadau, Kuna rafiki yangu anaishi South Africa nilimpa wazo la tufanye partnership ya yeye kuwa ananiagizia spare za magari Tanzania, kwa magari ambayo vipuri vyake kwa Tanzania ni ghali au...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habar za muda wakuu, Mimi nina shida. Nimeagiza IST yangu soon inafika. Naomba kufahamishwa gharama nitakazolipia hadi kupokea gari, nje ya zile za kikokotoo cha TRA kwa sababu hizo nazijua...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu Natarajia kuhamia Arusha kutoka Dodoma baada ya mwezi na nataka kusafiri na vitu vyangu...nina vitu vya chumba kimoja cha self tu! Nahtaji kupata information ya watu wanosafirisha vitu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu, Kama unamiliki bodaboda, bajaji na daladala, karibu tujadili changamoto tunazopata kutoka kwa watu tuliowaamini na kuwakabidhi vyombo wasimamie. Pia kama wewe umewahi kuwa dereva au ni...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Naombeni ushauri. Ninahitaji gari ya 25M lakini napendelea gari nzuri na iwe nzito barabarani inayotulia isihame, maana nilizoea magari mazito ya chini ila sasa hivi nahitaji gari la juu kidogo...
2 Reactions
40 Replies
7K Views
Kati ya Toyota Spacio na Toyota Wish ipi ni imara na inafaa kwenye mazingira yetu ya barabara mchanganyiko (tembea kidogo kwenye rami na kidogo kwenye vumbi) Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
23 Replies
11K Views
Naomba kuelimishwa kama utumiaji wa AC kwenye gari kuna uhusiano na utumiaji wa mafuta.
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Wakuu Habari Personally nimenunua babywalker Daihatsu Terios Kid cc 660 na hivi ndivyo nlivyoviaona mpaka sasa; Gari: kwanza lina turbo(bila Intercooler), max speed 140kph, tank capacity ni...
10 Reactions
126 Replies
19K Views
Nakaribisha maswali yote yanayohusiana na Malori aina ya Scania kwa tatizo la kiumeme tu.
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Hii gari, mzungu Mark Thomas Bush anasema inazinduliwa Tarehe 1 mwaka 2020. Itakuwa hata ikitaka kuvutwa gari lingine itavutwa kwa wireless, yaani bluetooth au any wireless app. Kwa hiyo hii gari...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau naomba kuuliza kuna Trekta aina ya Telefunken-X-Germany, limeshatumiwa na mkulima Kaburu kama miaka 8 hivi, nimeipenda utendaji wake, niko hapa South-Pretoria ni nzuri sana. Ngoma inakuja...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
Wakuu gari yangu GX100 Cresta imefutika mileage kwenye odometer. Leo ndio nimeshtukia mpaka sasa hivi ina 256,000km. Kuna mwenye uzoefu na tatizo hili? Mrejesho:Nimewasha gari Leo asubuhi,readings...
0 Reactions
45 Replies
7K Views
Kuna jamaa yangu anaitafuta hii pikipiki anataka kuinunua aina kama hii ila anataka iwe mpya. Anayejua wakala wake hapa Tanzania tusaidiane anuani. Brand name ya pikipiki hiyo ni SELFIR. Hata...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Heshima mbele wakuu, Nataka kununua used Freelander, lakini watu wengi niliowauliza wanasema eti ni gari mbovu. sina utaalamu wa magari hivyo naomba ushauri kwa mtu yoyote anayeijua vizuri...
0 Reactions
53 Replies
19K Views
Wadau gari langu ni rav4 Toleo la uingereza, yaani injini ni 3s G.E twin cam, sasa nataka nibadilishe niweke injini ya kijapan lakin ni rav4 iyo iyo, naombeni ushauri wa kitaalamu
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Salam wana Jukwaa. Rejea kichwa cha habari. Gari ni chombo cha usafiri kinachomwezesha mwanadam kutoka sehem moja kwenda nyingine kwa haraka. Chombo hiki kikitumiwa ndivyo sivyo kinaweza...
17 Reactions
32 Replies
8K Views
Back
Top Bottom