JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wakuu kwema humu. Naomba mwenye kujua gari nzuri kwa rafu road aina yoyote na ambayo spea zake za kutosha lkn pia matumizi mazuri ya mafuta. Nitashukuru sana
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Helo wana jf habarini za muda huu. Mtu kaniachia gari lake kwa kua tu najua kuendesha. Ila sasa nimeendesha mpaka limeishiwa mafuta. Nataka kwenda kuweka mafuta ila sijui ni petrol /aina gani...
2 Reactions
30 Replies
4K Views
Baada ya kuishi na bby walker miaka kadhaa sasa nmeamua kupata gari ya offroad na safar kwa budget yangu naona nissan xtrail itanifaa sana, kwa mwenye experience nayo hasa katika fuel consumptions...
2 Reactions
16 Replies
4K Views
Kwema hapa. Naomba kujuzwa kuhusu engine ya Toyota ti kuingia na kufanya kazi kwenye hiace . Asante.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu! Katika pita pita zangu za mtaani nilifanikiwa kununua Harrier 3.0 FOUR kwa rafiki, gari ni nzima kabisa ilikuwa ya kuwasha na kuondoka. Changamoto ni kwenye fuel consumption...
2 Reactions
42 Replies
16K Views
Habari wana JF!!..... kama title inavyojieleza, nimepata gari aina ya Pajero (old) naomba kujua kama spear zake bado zipo, pia uzur na ubaya wake.............karibu wajuvi wa mambo ya magar...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habarini wadau Mwenye uzoefu na hii gari naomba maelezo. Kuanzia vifaa vyake,ulaji wa mafuta na vingine. Nawasilisha.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nahitaji kununua pikipiki ya kutembelea ila siyo mtaalamu wa hizi mashine na sijawahi kumiliki hiki chombo lakini nimepata ushauri na mtu flani kuwa angalau HERO ina ubora ukilinganisha na BOXER...
2 Reactions
8 Replies
5K Views
Wadau wa magari na vyombo vya moto mtakubaliana na mimi kwamba kwa sasa kasi ya engine za magari na machine kuharibika kutokana na tatizo la oil fake limekuwa kubwa na likiongezeka kwa kasi kila...
5 Reactions
29 Replies
5K Views
SALAAMU WANABODI, NAOMBENI USHAURI KWENYE MAGARI HAYO MATATU YAANI LADA NIVA,ISUZU TROPPER,DAIHATSU ROCKY.KWA BARABARA MBOVU ZA VIJIJINI AU SEHEMU AMBAZO NI NYIKA HAKUNA BARABARA RASMI. PIA...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Wajuzi leo plate namba mpya magari zinasomekaje!? Lini kwa kasi hii tutaanza T111EAA
1 Reactions
2 Replies
3K Views
waku naomba wenye ujuzi na hivi vitu waelezee wanayoyajua kwa faida yetu sote,,nimeona nianzishe uzi huu ili tupate elimu ya hayo mambo 1,,kampuni gani nzuri inayotengeneza mashine imara pia...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari za jioni wakuu Nipo Safarini kwenda Songea nimepanda kampuni ya Newforce,,tumekwama hapa Madaba ni umbali wa saa 2 kufika Songea tairi zinataka kuwaka hii ni mara ya pili sasa na kumekuwa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kwa mwenye uelewa juu ya hizi engine naomba msaada hususan kulinganisha matumizi yake katika magari yanayofanya shughuli za Daladala. Ningependa kujua na kuzilinganisha juu ya Uimara...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari wakuu... Naomba mwenye uzoefu na gari tajwa hapo juu tushirikishane juu ya mambo yafuatayo: 1. Uimara wake (Reliability & durability) 2. Ulaji wa mafuta(fuel consumption) 3. Gharama za...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Natafuta sehemu ntayoweza pata viti vya magari hiace yangu haina viti ipo dar es salaam..help
0 Reactions
10 Replies
4K Views
SALAAM WANABODI NINA NISSAN CARAVAN AMBAYO NI AUTOMATIC NA INATUMIA PETROL NA IMEKUA IKIPIGA KAZI ZA DALADALA . KUTOKANA NA UZEMBE FLANI INJINI ILIPATA TATIZOIKAZIMA GAFLA ...FUNDI AKASHAURI...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu habari? Mda umefika sasa na mimi nataka kuvuta ndinga. Sina uzoefu wa magari ila nimepitia forums na site nyingi na pia kuuliza uliza kwa watu angalau nipate mwanga. Nimefika conclusion ya...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Habari wanabodi, Kama heading inavyojieleza, nahitaji msaada wa fundi mzuri wa Suzuki, Hapa Dar, kwa mwenye jina, alipo na contacts za fundi, please post here
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Meli kabla ya jina lake kuna kuwa na kifupisho kama MV, MT, RV, SS na MFV na kisha kuandikwa jina la meli husika. Hizi ni maana ya vifupisho hivyo MV-Motor Vessel MT-Motor Tanker RV-Research...
3 Reactions
9 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…