JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
jamani naombeni ushauri wenu hii engine ipo kwenye gari ya toyota progress ya mwaka 1998 please naombeni ushauri wenu nisije ingia kichwa kichwa, hii gari imetembea 45000 kilometers ipo bado japan
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Naomba kuuliza mwenya uzoefu wa Toyota Wish toleo 2005 adi 2008 Nimetokea kuipenda saana hii Gari Nataka kujua matatizo yake pia na ulaji wa mafuta Je inatulia barabarani vizuri.engine...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wanajamvi, napenda kujua kama vyombo vya moto vinavyomilikiwa na serikali, iwe vya nchi kavu au majini kama hukatiwa/vina bima ya ajali/moto au aina nyingine ya bima. Pia gari za jeshi.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu watu, Naomba ushauri wenu,ninatafuta tairi 195/65R15 na mpaka sasa nimepata blacklion,sunfull na boto kwa budget yangu. Blacklion na boto n 100 000 na 105 000 respectively sunfull...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wadau wa magari heshima iwe kwenu naulizia hizi taa pichani zinapatika maduka gani hapa bongo na kwa bei gani?
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Naomben msaada. Juu ya utambuzi wa kugundua kuisha kwa vitu hivi, plate clutch Na valve kweny injini Timing chain Piki piki inakosa nguvu kabisa haikimbiiii, mliman ndo kabisa
0 Reactions
10 Replies
2K Views
NDUGU ZANGU WANA JF, NAOMBENI UZOEFU KWA MWENYE UELEWA WA MAGARI YAFUATAYO, 1.. NISSAN PATROL YENYE ENGINE TD42 2..TOYOTA PRADO YENYE 2700 CC 3RZ ENGINE 3..LANDROVER DEFENDER TDI 2500 CC...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Habari ndugu zanguni.Naomba kujuzwa aina nzuri ya Toyota Hiace iwe kuanzia mwaka 2005 hadi 2008 diesel na showroom gani nitaweza kuipata pamoja na bei kwa hapa Dar es Salaam.Naomba kwa atakayekuwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Subaru Forester:Toa Maoni yoyote kuhusu hili gari..naona yanazid kuwa mengi mtaani hata huku mikoani
0 Reactions
22 Replies
11K Views
Fundi na mshauri kuhusu umeme wa magari anapatikana posta dar es salaam, huduma kwa bei nafuu. Kwa yeyote mwenye uhitaji karibu tuwasiliane.
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Habari zenu wakuu... Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Naomba mawazo yenu katika hili. kwanza kabisa mimi nimefanikiwa kumaliza chuo mwaka huu (water institute) diploma ila mpaka sasa nipo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu habari za mida hii. Niende moja kwa moja kwenye hoja,kuna jamaa wangu wa karibu sana anataka kuagizia gari Japan kupitia kampuni tajwa hapo juu. Katika kuwasiliana nao wakamtumia invoice...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa wataalamu na wazoefu wa kutumia magari na kuyatengeneza anaomba msaada juu ya haya nagari. Kuna ndugu yangu anataka kuagiza gari aina ya townace truck na liteace truck, ametafuta ushauri kwa...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Wakuu hali gani? Naingia kwenye mada tajwa moja kwa moja napenda kupata usaidizi wa kitaalamu hasa katika biashara ya bajaji. Nimeona fursa mahala ila kuna miinuko kama ile ya Mbezi ya Kimara na...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Kuna gari tajwa hapo juu inauzwa na mm nahitaji gari naomba uzoefu juu ya aina hyo ya gari.Year of manufacture 2000. Naomba kujua ubora/uimara wake,fuel consumption etc
0 Reactions
16 Replies
9K Views
Katika series zote za conjuring, THE NUN ndo movie pekee niliyokuwa dissapoint nayo, Movie haitishi hata kidogo nimekereka mno wasting my bando.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu, salaam!!!.. Ninahitaji Landcruiser 1Hz Series iwe katika hali nzuri. Mwenye nayo ani-cheki inbox au kwa namba hii +255788246790 Bajeti/Pesa niliyonayo mkononi ni Millioni mbili na nusu...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Habarini Wana jamii forum. Ni wapi mbeya ninaeza pata fundi mzuri anaepiga rangi (metallic) na kurekebisha bodi, bodi yangu imesagika kidogo chini. Natanguliza shukrani.
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Natafuta muffler ya mbele(silencer) ile inakuwa na unga Pm au comment post hii soon
0 Reactions
0 Replies
923 Views
Wakuu, salaam!!!.. Ninahitaji engine ya Landrover 110 - 300 Series. Mwenye nayo ani-cheki inbox au kwa namba hii +255788246790 Bajeti/Pesa niliyonayo mkononi ni Millioni moja na nusu...
0 Reactions
0 Replies
608 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…