JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wakuu, salaam!!!.. Ninahitaji Landrover 110 - 300 Series, iwe station wagon, van, pickup n.k ili mradi iwe katika hali nzuri. Mwenye nayo ani-cheki inbox au kwa namba hii +255788246790...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu zangu.Naomba kwa wenye utaalamu na ujuzi wa magari zaidi muweze kunipatia ushauri gari gani itanifaa zaidi.Nahitaji gari ambayo itakuwa imetengenezwa kuanzia mwaka 2015 hadi...
2 Reactions
31 Replies
6K Views
Wakuu, Nina hizo baby walker mbili (spacio na ist) nahitaji kubadilisha radio zilizopo na kuweka android radio. Kwa bahati mbaya radio hizo gharama yake ni 550,000 kwa hapa bongo lakini nina mtu...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Mwenye nazo tuwasiliane haraka,iwe size 15 ya rim Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
813 Views
Habarini, Ni wazi nyakati za kujuana kupitia kusoma pamoja,kabiba moja,intake moja na mengineyo umepitwa na wakati. Takukuru ni chombo kinachohitaji mabadiliko ya kiuongozi hasa kuondoa uongozi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Angalia mfumo wa breki kwenye Gari lako Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Friends, I have seen new bus models and engines from China. Sweden special, Japan special(Isuzu and Nissan diesel) zilikuwepo sana. Nimesafiri safari ndefu mfano Dar - Mwanza and Mbeya - Arusha...
8 Reactions
240 Replies
68K Views
Wakubwa nimetoka ubungo hapa hali ni mbaya gari zimejaa na mimi lengo langu jumatatu niamkie Dodoma.. Tusaidiane kwa mwenye lolote.. tutachangiana. NB: Nipo mwenyewe tu na kibegi cha mgongoni. Pm...
0 Reactions
2 Replies
914 Views
Mwenye uelewa naomba anifahamishe kuhusu pikipiki iz ndogo aina za vespa, kuhusu uimara na ulaji wa mafuta Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jana baada ya mizunguko yangu, nikazima gari vizuri tu, sasa Leo naweka ufunguo kuwasha hata hauzunguki, Nikajaribu kuzungusha steling nasikia kama imebana haitoki, nikajua hapa steling imeloki...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Tafadhali naombeni ushauri kwa wote wanaomiliki au waliowahi kumiliki moja kati ya gari hizi: Toyota Vitz, Toyota Duet, Toyota Allex, Toyota RunX na Suzuki Swift. Nataka kununua gari yenye...
1 Reactions
81 Replies
51K Views
Nauza gari ndogo Nissan Model BlueBird Year 2004 Cc 1497 Bei 3.5 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu, Nimejibana bana hapa kwa usawa huu, Nimetunza akiba ya mill 8 kwa ajili ya ka usafiri....na Nimevutiwa sana na premio new model Kwanza nishaurini kuhusu ubora wa hii gari, stability yake...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Leo nimesafiri kutoka Mwanza kuelekea Dodoma na bus moja. Kwenye hilo bus nilikuwa nasikia mlio maeneo ya dreva nikisikia huo mlio naona kama speed ya bus inapungua. Sasa nimeshindwa kuelewa...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Wadau, naomba kujua wapi ukarabati wa aina hii ya gari Prado TX 1997 unafanyika ili kuirudisha katika hali yake karibu na upya, yaani Service kamili ya kuanzia Engine, Transmission system...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kati ya carina ti yenye ingini ya cc 1754 na ile yenye injini ya cc 1454 ipi itamfaa mtu mwenye kipato cha chini. Ukizingatia i) ulaji wa mafuta. ii) uimara wa injini. Matumizi ya kawaida hapa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu habarini za mihangaiko, kama title inavyo jieleza hapo juu ningependa kujua utafauti uliopo kati ya Carina ti na Carina si katika vigezo hivi:- I.Fuel consumption/ matumizi ya mafuta...
1 Reactions
16 Replies
7K Views
A picture showing this ranking is available below... A copy of the WEF report on all other national indicators can be found at http://www3.weforum.org/docs/WEF_GCR_Report_2011-12.pdfangalia
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Wadau naomba kujua tatizo ninini, gari aina ya nissan vannete ukishika breki inavuta kushoto kiasi kwamba ukiwa na speed zaidi ya 80 inaweza kuanguka, nimejaribu kupuliza zile pipe za mafuta kuona...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wazee ninakapesa fulani Mungu amenipatia lakini nataka kuwekeza kwenye biashara ya basi za abiria. Hivyo wapendwa wangu naomba ushauri 1. Bei za marcopolo ni TSHS ngapi? na bei ya YOUTONG ni kiasi...
12 Reactions
201 Replies
146K Views
Back
Top Bottom