JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Naamini hapa ntapata wataalam wazuri wa magari, Nahitaji gari kwa ajili ya tax na kuwapeleka watoto shule, angalau nipunguze gharama ya school bus kidogo Katika pita pita beforward na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Engine inasukwa mwanzo mwisho kienyeji kabisa hadi inawashwa , Gari la umeme pia likiundwa kienyeji
1 Reactions
17 Replies
7K Views
Wakuu, Mi napenda sana kujifunza kupaka rangi magari, naomba kufahamu ni sehemu gani wanatoa elimu hii ambapo nikitoka nitakuwa nimeiva. Natanguliza shukrani wakuu Sent using Jamii Forums...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
App kwajili ya kupata usafiri wa Taxi, Boda Boda na Bajaji Mjini. Download hapa https://play.google.com/store/apps/details?id=com.xebusinesshaven.havn
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina Millioni 8, naweza pata gari gani?
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Habarini wanajamvi nimejichanga nataka kununua moja kati ya gari hizo hapo mbili naomba mwenye kujua ipo bora anifahamishe zote ni toyota Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
43 Replies
9K Views
Wakuu, salaam!!!.. Ninahitaji used Landcruiser Hardtop, Pickup, Station wagon au Van, iwe na engine ya 1Hz, (engine tofauti na 1Hz tunaweza angalia uwezekano wa mazungumzo pia), iwe katika hali...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Habari wakuu, Hivi unaweza kugundua engine inayo misfire kwa kusikiliza mlio wa gari? Specifically ambalo hujawahi kuliendesha
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Guys please help me get genuine spark plugs in Dar. Engine is 6 cylinder 1G . ASANTENI.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimeagiza gari ila nataka nitumie redio itakayokuja na gari na niiunganishe na sub woofer ya kosyni..je inawezekana..? na kwa mwanza wap naweza pata mtaalam wa hyo kitu Sent from my iPhone using...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana-jamii forum?.Naomba msaada,..Kuna gari hapa imekuja kutoka JAPAN (ni NOAH TOWNACE) imekuja na maandishi kwenye kioo cha mbele,pembeni kwenye bonet na nyuma. Ni maandishi yaliyo...
1 Reactions
23 Replies
7K Views
Habari wana jf Natafuta kazi ya gereji nipo mwanza elimu yangu ni kidato cha nne na umri wangu ni miaka 19 Natanguliza shukurani kwenu
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wakuu!! Kichwa kinajieleza, kama kuna mtu anamiliki garage anaweza kushare experience.
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Wapendwa naomba msaada jinsi naweza pata engine ya gari yangu make iliyopo inanisumbua sana. Aina ya engine ni 4A. Naomba na mahali napowezapata pamoja na bei yake. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wataalamu Naipenda sana Volkswageni Touareg 2.5 Diesel Engine especially ya mwaka 2004 (maana latest Kodi yake siiwezi). Naomba kupata reviews kwa wataalamu kuhusu ubora wa gari hii...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Wapi naweza kuiangalia gari yangu matatizo yake kwa kutumia computer sijui diagnostic, Nissan xtrail 2005, na utagharimu kiasi gani, maana nahisi iko na shida. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu Naomba kama kuna mtu ana uza engine au anajuana na wauza engine za magari anisaidie... Mimi natafuta engine ya Toyota harrier Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
8K Views
Heshima zenu wakuu. Kuna gari aina ya toyota RAV4 short chasis engine 3s 1990cc nataka kumvua mtu. Naombeni ushauri kuhusu uzuri wake , mapungufu yake na unywaji wake wa mafuta ndugu zangu...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Wadau, Naomba mwenye kujua gereji nzuri ya Subaru kwa hapa Dar, Kasubaru kangu kanafuka moshi sana wakati wa kuwasha, Unatoka moshi mweupe kibao hasa inapokua imekaa kwa muda kama masaa 3, Pia...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Back
Top Bottom