JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habarini wadau!!! Nadhani muko powa... okk... sasa nilikuwa nina mpango wa kununua kausafiri kwa ajili ya matumizi yangu ya hapa na pale na nikachagua toyota vitz old model...na sijapendelea...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kimwonekana haya magari hayatofautiani sana kwa mtu mgeni na magari hatoweza kuyatofautisha, Je magari haya yana utofauti gani zaidi ya mwonekano?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu naomba kwa wenye uzoefu magari tajwa ,nahitaji kuagiza kati ya gari sasa nipo kwenye kuchagua sijui niagize ipi ,je ipo ambayo ni pasua kichwa yenye tatizo sugu kwa model husika...
1 Reactions
4 Replies
5K Views
Wakuu habari zeni,naomba msaada wenu ,kuhusi hili basi langu,abalo lina tumia pump ya umeme tatizo lake ni kwamba Ukiiwasha gari asubuhi na mapema inawaka vizuri tu,itafanya ruti zaka kama...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, ni namna magari almaarufu kama EICHER yanayofanya kazi katika viunga mbalimbali vya maeneo ya mijini na vijiji. Imekua kero kubwa kutokana na kelele...
2 Reactions
18 Replies
5K Views
Magari mengi ya kisasa yanatumia mfumo wa *smart key* ambayo inakuwa ina programmed key ambayo itatumika kwa gari usika tu mfumo huu unaweka mawasiliano kati ya *Control unit* immobillzer Unit...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani wanajukwaa naombeni ushauri wa kitaalam kati ya subaru impreza V/s audi A3 zote za mwaka Kuanzia 2009 mpaka 2010. Ipi ni mashne nzur na udhaifua wa hzo gar uko wapi? Nataka kuchkua moja...
0 Reactions
3 Replies
953 Views
Habari za jioni wajameni, Naomba kujua kama kuna uwezekano wa kuondoa Flyme old account kwenye simu za Meizu. Simu ni used imenunuliwa online ila inaakaunti ya Flyme, meanwhile siwezi download...
0 Reactions
1 Replies
987 Views
Safari zangu ni ndefu na za mara kwa mara na pia ninapoishi kuna road ya vumbi ya ndefu. Nataka kununua chombo hiki kinisaidiewajuzi nahitaji ushauri.
1 Reactions
42 Replies
19K Views
Wanadau nataka kuagiza gari aina ya Toyota alphard 2002, sasa kwenye mtandao wa tra ushuru ni kama 6.5m, je kwa wenye uzoefu wa kuagiza kutoka Japan je huu ushuru huwa unabaki hivyohivyo au...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Wnajamvi naomba msaada kujua athari inayowezatikea kwa kutumia neutral kwenye gari za automatic unapokuwa kwenye mtelemko.
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Wakuu kwema humu? Naomba kujua aina zote za engine za magari na tabia zake. Mfano gx 100 mara 3l, mara 2R sijui nini yani natamani sana kujua wakuu. Wekeni tu nyingi iwezekanavyo tupate shule...
0 Reactions
31 Replies
29K Views
Katika hii Dunia kuna vyombo vya usafiri vingi tutajie majina ya magari uyajuayo!
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Salam kwa wadau wote. Niko Arusha kwa muda na kari yangu ya kisasa kidogo, Landcruiser Prado 2016. Ni kama km elfu 40 ila a/c naona haina nguvu na ningependa kuifanyia check up na service...
1 Reactions
2 Replies
991 Views
Ni matumaini yangu wote ni wazima ninaomba kujuzwa na watu wenye uzoefu juu ya air conditioning za magari je kuna uwezekano wa kui-tune AC ya gari iweze kutoa ubaridi zaidi ya ule ambao...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Wakuu, kuna mtu anaomba msaada mahali ambapo huduma ya kubadilisha gari au kuvunja na gari nyingine inapatikana preferably Morogoro na Dar es Salaam.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wadau habari, mwenye kujua bei za engine ya IST old model Mpya na used bei zake na ubora wake? je used nikinunua inakua bora?
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Hello wana JF, Nimeagiza gari second hand toka Japan. Ni gari nzuri na inaonekana kutunzwa vizuri, isipokua mmiliki wake inaonekana alikua ni mvuta sigara sana. Kwa mwonekano, ndani ni safi...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Ndugu wapendwa naomba msaada kwa mwenye kuelewa tatizo Nina gari yangu aina ya Premio old model aina ya engine ni 4A. Tatizo la engine yangu nikifanya service ya kumwaga oil nayo iweka inaisha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jaman wadau mm nina hitaji msaada wenu ndoto yangu kubwa ni kujua jinsi ya kufunga mziki kwenye magari,ila sijajua ni chuo gani hapa dar es salaam ambacho wanatoa hayo mafunzo,au kama ningeweza...
1 Reactions
6 Replies
9K Views
Back
Top Bottom