JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wadau poleni kwa pilika pilika za kutwa, Mimi naomba msaada Nina gari langu aina ya Isuzu trooper , nimepatwa na tatizo la accelerator peddle haipigi race , ina maana ukikanyaga peddle inavutia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Yaani nasemea kwa haya magari yanayofanya shughuli za kubeba mchanga,kokoto,au kifusi kwenye huu mradi wa upanuzi wa badabara kuanzia kimara mwisho kwenda kibaha ukifika maeneo yao yanayopaki...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Wasalaam Mimi ni kijana mjasiriamali nina mipango ya kujiajiri kwa kuanzisha garage. Nilikua naomba msaada wenu kwa wajuzi wa mambo ni taratibu zipi za kufuata ili upate udealer. Vigezo wanavyo...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Natafuta engine ya pajero. Namba mwnye kuweza kuipata anitafute fasta number hyo hapo chini 0758295004 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
793 Views
Je ni kweli kwamba kutumia mfumo wa Gesi kwenye Gari ni bei nafuu kuliko kutumia petrol au diesel? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kwa yoyote mwenye gar pajero au toyota surf manual gear ambaye yuko tayar kuliweka sokoni tuwasiliane napatikana Dar es salaam No 0716505153 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
954 Views
Natafuta ingine ya pajero,number hyo apo chini, anayeza kuipata tuwasiliane haraka nu.0758295004 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
551 Views
Car service 15,000/= +free car wash Car diagnosis 30,000/= car general service 50,000/= + free car wash tupo Dar Tabata magengen opposite na CRDB branch Tabata kwa mawasiliano piga 0716505153...
2 Reactions
5 Replies
930 Views
Hizi gari naziona wilaya ninayoishi na automatically nimejikuta nipo interested kufahamu kuhusiana na hiyo mishe na hata pia nifuate procedure gani ili na Mimi niweze kuwa mmoja wa madereva hao...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Gari hili nalikubali sana vp ubora wake hasa utafunaji mafuta..spare zake n.k.. Kuna moja naziona ona chache cc 1400 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Jamani naweza pata spea za gar hyo audi a3 hatchback... Hpa tanzania?... Nataka kuinunua ila cjajua uhakika wa kupata spea zake Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Juzi kati nilikuwa najadiliana na fundi mmoja kuhusu catalytic converter ya gari kama kuna namna ya kuisafisha ili kupunguza carbon.. Fundi akaniambia hiyo dawa yake ni kuiondoa mazima na kuna...
5 Reactions
24 Replies
4K Views
Baada ya kuumiza kichwa mda mrefu nahitaji kuchukua mojawapo kati ya hayo. Ipi ni gari bora zaidi hapo overall?
1 Reactions
114 Replies
50K Views
Wakuu nilikuwa naomba msaada kuna mdogo wangu kamaliza degree ya Mechanical mwaka uliopita, lakini mpaka sasa hajafanikiwa kupata ajira .Nilikuwa naomba kama panaweza patikana garage nzuri aje...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari za weekend wana JF Nilikuwa nahitaji pikipiki iliyotumika mwezi uliopita, nikamuagiza jamaa yangu anitafutie maana yeye yupo DSM na mm nipo mkoan. Akanitaarifu Kuwa amepata na akaniambia...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Amani na iwe kwenu wadau. Natafuta spare za gari yangu Nissan Liberty 2001 Engine SR 20 Spare nazotafuta ni:- 1. Ring 2. Men and cone (standard) 3. Transwashel 4. Head gasget Nb: samahani kama...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Asanteni sana wadau mlionipa ushauri kwa post yangu ya nyuma iliyopita kuhusu kuomba msaada wa gari hii LEGE ulinishauri nashukuru sana,, katika kujaribu kila hatua niliamua kupeleka kupima kwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Husika na mada Naomba kujua gari aina ya bjc bj212 wengine wanaziita baw 212 je zinaingiliana vipuli na aina gani za gari za kijapan hasa injini na gia box. Asante
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani naomba kuuliza hapa. Hivi nini kinasababisha Gari kukausha Oil kwenye injini na wakati Injini haina demeji yoyote kusema labda inavujisha sehemu? Naomba kama kuna mwenye jibu anisaidie...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Back
Top Bottom