JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
JF ni chimbo la maguru wa kila kitu. Watu waliochimba na kuchimbua. Sasa naomba kufahamu maana ya Herufi za gia kwenye magari ya Automatic na matumizi yake. P, R, N, D(1,2,3), L, 2L, M(+,-)...
0 Reactions
9 Replies
19K Views
Huu ni muendelezo wa Cabin Overheat Protection ambao hufanya kazi wenyewe endapo kuna ongezeko la joto kuwalinda watoto au wanyama ambao huachwa ndani ya gari na kuweka joto sawa ambalo...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Ndugu wanajamvi naomba kuuliza maelezo kuhusu gari aina ya starlet 1.ulaji wa mafuta 2. Uimara wake 3.kustahimili safari ndefu 4.upatikanaji wa spea na gharama Ahsante naomba msaada wa...
0 Reactions
23 Replies
16K Views
Tatizo lilianza ghafla, indicators zikagoma kuwaka ,vioo havipandi na gari likazima, nilipojaribu kuliwasha tena taa zikawaka kwenye dashboard kama zinavyoonekana kwenye picha niliyoiambatanisha...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wasalaam wanajukwaa. Hizi gari (Toyota Urban Cruiser na Toyota IST new model ya kuanzia mwaka 2008), naona kama zinafanana sana kuanzia muundo na interior, ila cha ajabu hiyo Urban Cruiser ina...
2 Reactions
19 Replies
8K Views
Habari wakubwa. Nina gari yangu toyota runx. Sasa juzi nilitoa stick ya oil ili nicheck level sasa wakati nafuta na kitambaa imekatika bahati mbaya. Nikaunga na super glue. Sasa niliporudishia na...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Heshima zenu wakuu msaada kuhusu ili gari Honda accord 2000 uk version kwanzia ulaji wake mafuta, upatikanajiwa spare na uimara wa gari kwa baranara zetu asante. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salamu wanajanvi! Nahitaji Noah yenye engine 3s(muhimu hii) iwe kwenye hali nzuri isiwe imerudiwa rangi. Kama ipo nipm tuzungumze zaidi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
925 Views
Hili ni vema likajadiliwa kisiasa, WaEthiopia wamenunua ndege ya kisasa kabisa nje ya Japan na ya kwanza ya aina yake Africa, unaajua trip yake ya kwanza? Kilimanjaro, huwezi kuamini dlegetion ya...
2 Reactions
70 Replies
9K Views
Naomba kujua kwa undani wa Gari hizi ipi ya kununua takes hapo juu .wakuu naomba kuiwakilisha
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nilikuwa naangalia bei ya hizi gari nikakuta milango 2 ni Mil 55, 67, 80 na nyingine Milango 4 nimeikuta Mil 110. Ina nini hii gari kinachofanya iwe na gharama?
3 Reactions
103 Replies
24K Views
Nipo kwenu wajuvi wa mambo naomba msaada ninayo simu ya kampun ya halotel double line kama mjuavyo sim hizi by default lazima utumie line ya mtandao wao ila kwa matumizi yangu situmii halotel kwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu naomba kuliza hili swali, jana nimekaa na dereva mmoja alinishauri nisije nikashuka mlima wowote na nikajaribu kushuka free bila kukanyanga mafuta kwa dhumuni ya kubana mafuta ,ananiambia...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Ni iman yangu wote mmesalimika,polen na mihangahiko ya siku nzima na pole kwa watz wote kwa kupomteza mpambanaji mwingine R.I.P KIBS, Bila kuwachosha wakuu natafuta tires za golf car naambatanisha...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habarini wakuu,ipi kati ya gari tajwa ni nzuri kwa mazingira yetu ya tanzania.Gari zote zikiwa ni used toka Japani,wataalamu naombeni ushauri. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
33 Replies
13K Views
Habari wanajf!! Naombeni ushauri na maelekezo, nataka kununua gari IST new model ya 2007/2008 au rava 4 sijui niite model gani! hizi ambazo hazijaandikwa 'rava4 L wala rava4 J' imeandikwa tu rava4...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wanajamvi! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mwenzenu nataka kununua Mercedes Benz C180 ya 2006. Najua kuna wenye uelewa wa hali ya juu kuhusu haya magari. Kwa upande wa bei yake sio...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Hivi hawa jamaa wa Arusha Tech waliishia wapi na mpango wao wa kutengeneza Helikopta. Mana sioni update yoyote au wameingia mitini. Leo nimemuona kijana mahali anahangaika kutengeneza gari lake...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu kama kichwa habari hapo juu Nina premio yangu ya mwaka 2004 Oddo ilikuwa imefikia km 99,978+ yaan inakaribia laki moja Cha ajabu leo naiangalia naona imejifuta halafu ikaanza upya saivi...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari wakuu cylinder head ya hiace inauzwa nzima kabisa location kibaha bei maelewano MAWASILIANO;0745257991
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom