JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Naombeni wadau maoni na ushauri
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wadau naomba mwenye link ya groups mbalimbali za magari iwe whatsap au Telegram atupie hapa tafadhali
0 Reactions
4 Replies
7K Views
nimekuwa na sintofahamu juu ya ukweli kuhusu matumizi ya hizi oil kulingala na umbali...mara hii weka inakwenda km3000 mara hiii 5000km naomba kufafanuliwa ni kipi zaidi unatakiwa kujua katika...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Naombeni msaada gari yangu ikikaa muda kama wa masaa matatu nikiiwasha inawaka vizuri tu ila nikikanyaga moto inakuwa kama inamiss na inataka kuzima nikikanyaga sana yani mara nyinginyingi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sehem ya 6 Rangi ya gari na maana yake Sehem ya 7 Ijue dashbodi yako Uzi uliotangulia ktk mfulululizo; Uzi maalum: Madereva wa magari (Sehem ya 4 & 5) - JamiiForums
2 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari zenu wataalam. Nimetembelea jukwaa lenu nikiwa na imani nitapata majibu juu ya hiki nitamanicho kujua. Ni hivii mi ninamiliki gari ambalo linanisumbua sana na limefanya nigombane na...
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Nategemea kufanya safari kutoka Dar kwenda Dodoma mwanzoni mwa mwezi November na gari yangu Subaru Legacy B4 2008 Push to start.. naomba ushauri juu ya mambo ya kuzingatia kabla, wakati na baada...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
mambo vipi wadau hope you are doing Good jama nataka kununua gari moja kati ya hizo hapo tajwa hapo juu jamani naomba ushauri kuhusu the best option interm of reliability and comfortabillity zote...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wakuu, Naomba kujua nauli ya kutoka dar to moshi kupitia kia,nauli ni shilingi ngapi? Kesho kuna dogo langu anatarajia kusafiri Asanteni
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wanajamvi, nimekua nkisikia kuwa tank la mafuta katika gari lina vyumba kwa ndani, nlipouliza nkaambiwa vyumba vnasaidia mafuta kuingia mengi zaid kuliko tank lisilo na vyumba hata kama...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
habarini woote!! kuna kagari fulaani hv kimeingia bongo kinaitwa 'bajaj Qute' nafkiri kina engine kama ya bajaj nimekipenda kinafaa kwa sisi wabahili wa wese... sasa anayejua bei yake atuambie kwa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Jamani kuna kitu kinapiga kelele nikikata kuna naombeni kujua hiyo drive shaft inauzwa shilingi ngapi kulingana na maelezo ya fundi wangu kaniambia ndo imekufa
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu hivi gharama za kusajili pikipiki mtumba cc 125 ni sh ngapi???
0 Reactions
4 Replies
3K Views
kwa mfano gari ya petrol ndogo cc 1300 - 1900 ikianza kblink inamaanisha nna litre ngap za petrol zimebakia? kama kna mjuvi wa kukokotoa hapo tusaidiane
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Jamani nimetokea kuilewa hii gari sana na nina mpango wa kutaka kuimiliki. Naombeni wajuzi kwenye hili jukwaa mnipe abc ya haya magari. Ulaji wake wa mafuta Services na upatikanaji wa spare...
1 Reactions
9 Replies
8K Views
Kumekuwa na malalamiko mengi sana kuhusu watu kuibiwa mafuta kwenye vituo. Sio mbaya kuelimishana nini cha kufanya ili kuepuka wizi huu. Kabla ya kujua nini cha kufanya ni vizuri tujue njia kuu...
16 Reactions
98 Replies
16K Views
Naitaji gari Toyota made isizidi cc1300 bajeti m 4 Whatsup only 0759623402
0 Reactions
0 Replies
923 Views
Wadau gari ipo hapa ila cha kushangaza kila ukifungua mlango haufunguki na ufunguo unaingia mpaka ndani lakini haitaki kwenda clockwise ili ifungue na ni milango yote? Shida nini na ufumbuzi
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Mwenye nayo aje pm na bei
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natoa salamu za heshima kwenu nyote wadau wa jukwaa hili pendwa. Mwaka 2016 niliomba ushauri humu na kusadiwa kuhusu kuagiza gari toka Japan na kufanikiwa kwa asilimia mia, nasema asanteni sana...
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…