JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Ndege ya aina ya Boeing 787-8 ina uwezo wa Kubeba Lita ngapi za Mafuta?
0 Reactions
2 Replies
922 Views
Ndugu zangu naomba msaada, nimenunua gari kwa mtu Hiace Super Custom nzuri sana, alikuwa anaitumia kwa safari za hapo Dar binafsi. Sasa nataka kuibadili kuwa ya biashara. Je; 1. Kubadili kadi...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Leo nataka kuambia dawa ya kuondoa ukungu au Taa kufubaa ni raisi sana chukua koroget nyeupe kisha pakaa taa baada ya dakika 5 uanze kusugua na kitambaa cha raini chenye pamba utaona mabadiliko by...
4 Reactions
10 Replies
5K Views
Digital music changer ni kifaa kinachokuwezesha kutumia media kama USB Flash drive na 3.5mm audio jack kwenye radio ya gari lako na kupata muziski mzuri bila kuibadilisha radio inayokuja na gari...
2 Reactions
5 Replies
6K Views
habari wadau!! Nahitaji kununua toyota cami so munijuze kama ni gari mzuri au la kwa ambao mushawahi kuitumia.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Members naomba kuuliza hiyo gari hapo Nissan March sura kama kobe, Je inaweza kufaa kwa biashara ya taxi ? au hata uber ? hasa kwa Dar Nimeamua kuuliza kwa sababu sijawahi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Msaada:jinsi ya kutumia ethernet. njia zipi unaweza kuzitumia iwapo ethernet cable inashindwa kusoma kwenye computer?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nahtaji vitz outmodel aliyenaye ani Pm tufanye biashara location dodoma/dar es salaam Naomba kuwasilisha.
0 Reactions
0 Replies
603 Views
Pale unapoendesha gari ya manual ile gear lever inawezekana ikawa kama kitu kigumu kwako, lakini unapoizoea ni kitu cha kufurahisha na starehe kucheza nacho hasa unapokuwa barabarani. Kuna baadhi...
28 Reactions
65 Replies
22K Views
assume pikpik inatembea 80km/h, gari nalo linatembea 80km/h...Je, kuna uwezekano qari likafika mapema au kuiacha pikpik? note: safar si ndefu mfano urefu wa 10km. wataalam naomben majib mana...
0 Reactions
114 Replies
11K Views
Jamani wanajamvi naomba kuwakilisha kilio changu cha muda mrefu kwani naamini hapa ni sehemu maalumu ya kupata msaada. Nikwamba nina gari aina ya Suzuki Escudo CC 1,500 cc ya mwaka 1997. Hii gari...
2 Reactions
13 Replies
6K Views
Suzuki escudo inakula mafuta kupitiliza 1lit kwa km 3.3 tu nikifanya kupita high way naweza kwenda km240 kwa 21lit tu lakin nyumban ni km5 kwenda na kurudi zinakuwa 10 hivyo nikiweka mafuta hizo...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Niko hapa kujua bei na ubora katika matumizi ya kibishiara wa hiz piki piki kwa mwaka huu. Nawasilisha
0 Reactions
35 Replies
30K Views
Gari ipo katika Hali nzuri.haijawahi kupata ajali bei Milioni 8 (negosiatable) Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Nimekuwa nikijiuliza sana wengi wetu humu tunabadilisha Oil na spare nyingine za gar kwa kufata km ilizotembea je mfano Oil huwa inaendelea kufanya kaz hata gar isipokuwa kwny motion mfano kwny...
0 Reactions
14 Replies
11K Views
Ndg kumbe haya magari ya automatic ni hatari tofauti na tunavyojua.Gari ikakatika Belt(kuna mkanda fulani wa kuzungusha injini) inagoma ku-function chochote kunzia moto,break na usukani. Option...
0 Reactions
42 Replies
12K Views
Hii ni thread maalumu kwa watumiaji wa Subaru Legacy B4 Tunakutana hapa kwa lengo la kubadilishana mawazo kuhusu gari zetu, mfano; Sehemu nzuri ya kufanyia service mkoa wowote ule ulipo, spare...
1 Reactions
27 Replies
10K Views
Wadau kuna Gari nataka kuagiza kutoka Japan lakini ajenti ameniambia litakuja na tairi mpya zikiwa zimepakiwa ndani ya gari, sasa swali langu ni kwamba, Je kuna ushuru wa ziada kwa zile Tairi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
wakuu najua hapa nimahali sahihi ambapo watu wanashauriwa na kupewa ufafanuzi wa matatizo ya vyombo vya moto .hivyo ingekuwa si vibaya sana kwa wale mafundi au wenye ujuzi katika sekta fulani...
2 Reactions
48 Replies
12K Views
Hiki ndiyo kizazi cha 3 cha VW touareg, cha kwanza kilikuwa 2002, cha pili kuanzia 2010 na sasa 3. ukiangalia wameboresha sana hasa kiteknolojia! Siyo tu Matairi ya mbele bali hata...
5 Reactions
27 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…