Wataalam naombe mnijuze ni kwann Suzuki carry yenye cc650 inatumia Lita 1kwa km14-16 , wakati huohuo ist yenye engine cc1500+ inatumia petrol Lita 1 kwa km 19-20?.
Mwanzo nilivyojua mm ni kwamba...
Salam,
Kumekuwa na hii ya askari wa usalama barabarani kusimamisha gari kwa ajili ya ukaguzi na kumvizia driver akiwa hajazima gari na kuchomoa ufunguo wa gari ya aina ya Mitsubishi hasa Canter...
wakuu, kama kichwa cha habaru kinavyoonyesha. ipi kati ya hizi gari ni bora kuliko zingine in terms of ulaji mafuta, spare parts and durability. thanks.
Habarini,
Nahitaji ushauri juu ya gari BMW X3 kwa waliowahi kuitumia au wenye marafiki wanaoitumia ili mwisho huu wa mwaka niweze kutimiza ndoto zangu baada ya kutekeleza ushauri mwanana wa rais...
Salamu kwa wote.
Nimeingia katika mitandao maarufu ya kununulia magari toka nje kama bforward na sbtjapan. lengo langu ilikua kuangalia bei ya gari kubwa kama Scania lakini sijaona magari hayo...
Habari za humu ndani,
Kwa yeyote mwenye uzoefu kuhusu gari vipi ubora na spare parts za Nissan X-trail.I mean durability and availability of spare parts za hizi gari kwa ambaye ana uzoefu nazo...
Ni gari gani inaongoza kwa ulaji mdogo wa mafuta kati ya hizi zifuatazo..?
Ist cc 1300.
pajero min cc 660.
Terios kid cc 660.
Suzuki jumny cc 660.
Toyota Alex cc 1500.
Bandugu amani na iwe nanyi,
Ninaomba ufafanuzi wa gari aina ya Toyota Passo
Ninatarajia kununua gari dogo kwa ajili ya safari fupi fupi, kuendea sokoni na kanisani, kwa makadirio weekly inaweza...
Hello Gentleman and ladies,
Natafuta Gari tajwa hapo juu .Hata kama umelipark uani halitembei kabisa .
Au kama unajua mtu taasisi , shirika, dayosis,NGOS wanalo ambalo wanataka kuuza tuwasiliane...
Habari,
Naomba kuuliza
Je,ni kweli wakati gari Toyota wish unapokuwa kwenye mteremko na ukaweka Neutral inakuwa NO FUEL CONSUMPTIONS kwa muda ule gari inatembea ikiwa kwenye neutral??
Je ni...
KaribuAutoservices located at Mwananyamala
Ni garage inayojishughulisha na
1.Car body works mfano.kunyoosha na kupiga rangi sehemu iliyopata hitilafu ama gari nzima..
2.Mechanical...