JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Jamani nataka kuagiza kati ya Gari moja wapo kati ya hayo hapo juu... Yaani Harrier au Escudo au RAV4 au RavJ used..Naombeni ipi ni Bora??
0 Reactions
26 Replies
8K Views
Wadau, ninagari yangu nataka kurepair na kurudishia rangi.Naomba msaada wa kujua gereji nzuri kwa kurudishia rangi ya gari kwa dar es salaam.
0 Reactions
23 Replies
20K Views
Wakuu poleni na shughuli.. Naomba kuukiza swali kuhusu hizi taa za magari wanaziita projector system with Angel eyes.. Kwa ambao wameziweka kwa magari yao haoa Tanzania.. Je zina mwanga mkali...
1 Reactions
13 Replies
8K Views
nimeleta huu uzi ili uweze kutatua matatizo madogo madogo ambayo unaweza kuyatatua kwenye gari yako pindi linapo leta hitilafu upande wa umeme na kuwasha taa za tahadhari kama taa ya CHECK ENGINE...
17 Reactions
43 Replies
25K Views
kwa wataram wa magari kati ya hizi gari ipi ni zuli hata ulaji wa mafuta ist new model wish raum noah old model kwa matumizi yakawaida
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Habarini wadau, Nilikuwa naomba msaada wenu wa kimawazo nina gari aina ya Gaia inayotumia engine ya 3S sasa hii gari inakula mafuta sio kawaida, tumejaribu kuweka lita moja ya mafuta ikatembea...
0 Reactions
18 Replies
7K Views
Kuna gari nimeipata hivi karibuni inawasha taa ya check engine. Hii inaweza kuwa ishara ya tatizo gani?
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wana jamii wenzangu naomba kufahamishwa juu ya usafi wa nozeli za gari yangu (rav4 kili tyme) maana inakula mafuta sana na nilienda kwa fundi akaniambia nozeli za kusafisha nikamuuliza una...
1 Reactions
6 Replies
8K Views
Wakuu rodi license na bima ya gari vinaelekea kuisha siku si nyingi zijazo.gari si biashara. Hivi ni kweli saivi nitatakiwa kukata bima tu? na wala sihitaji tena kuwa na rodi license? mbona naona...
0 Reactions
2 Replies
877 Views
Wakuu kuna ka gar flan hapa nipo kwenye ku negotiate,.namba C ila sasa mile age ni 70000,body nzuri,.ila sasa mmh,..na bei sio kivile sana,kawaida,na sio yard...msaada puliz
1 Reactions
50 Replies
9K Views
Ndugu wana jf gari yangu aina ya Toyota mremio imegoma kupiga honi nimepeleka kwa mafundi lkn bado ngoma iko vilevile haipigi. Kwahiyo nachoomba ni msaada kwa yeyote mwenye kuyafahamu haya mambo...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Naomba kufahamishwa bei ya Rossa kununulia yard kwa Dar es salaam nataka kwa ajili ya kulifanya liwe daladala mkoani mby
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jaman kuna mtu anataka kuniuzia suzuki,sasa sijui mapungufu ya Gari hii kwa wajuzi wa magari mnisaidie... Je yafaaa kwa safari ndefu? Gharama Za service je? Ulaji wa mafuta na spare upoje? Thanks...
0 Reactions
15 Replies
9K Views
Nimepalangana hatimae na mimi leo nimenunua gari Ila kuna kadude hapa kwenye seat ya mbele ya abiria kwa chini kana rangi nyekundu,ni nini? Kazi yake nini? Naweka picha pia Sent using Jamii...
1 Reactions
34 Replies
6K Views
Wakuu nimedhamiria kusafiri kutoka DAR kwenda MBEYA kwa kutumia TOYOTA IST, lengo ni kufika MBEYA kabla ya saa saa moja jioni. Naomba kujuzwa vitu vya kuzingatia ili kufanikisha safari hii kama...
3 Reactions
91 Replies
20K Views
Hello wakuu kuna kitu kinanichanganya sana... Hivi ni nini hasa huwa kinafanya thamani ya gari kuwa kubwa mpaka kufikia mabilioni...mfano buggati cheron mpk bilion 10 na lina kaa watu wawili tu...
4 Reactions
22 Replies
5K Views
WAKUU NIMEWEKA MASAHIHISHO KUTOKA KWA MDAU HAPO CHINI Kuna aina zaidi ya mbili ya petrol ila common kwa Tanzania ni unleaded pamoja na Super 1.Super hii ni aina ya petrol ambayo ni nzito na...
10 Reactions
45 Replies
13K Views
nahitaji kioo cha mbele cha vox wagon(golf 4) kipya au used na duka vinapopatikana kwa dar es salaam
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Gari hii ina Horse power (hp) 5000 ambayo ni sawa na CC 162500, Maximum speed 300kmph Video-->
0 Reactions
23 Replies
10K Views
Habari wanajf na wataalamu wa magari, kuna kitu kimoja kinanitatiza sana na kwa utaalaku wangu wote sijui effect yake ni nini. - Ni nini kitatokea endapo kipande cha mbao au plastic kikaingia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…