JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wandugu, rejea kichwa cha uzi hapo juu, ninahitaji Engine 5L, ya hilux double cabin, mwenye nayo tafadhari ajitokeze tuyajenge.
0 Reactions
0 Replies
685 Views
Habari wakuu, Samahani, nahitaji kununua touareg ya petrol naomba msaada kwa wenye uzoefu nazo kujua uimara wake, upatikanaji wa spare, utengenezaji wake, uwepo wa mafundi na mengine mengi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
habari nina kagari kangu 'TOYOTA CAMI' naona kananisumbua Gear box, tafadhari naomba mwenye mawasiliano ya mafundi wazuri wa gearbox, au garage nzuri anisaidie, Napatikana Dar es Salaam
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu mnaomiliki au ambao mmewahi kutumia hayo magari lipi la ukweli kwa mizunguko ya hapa mjini? In terms of: 1.Status/Pride 2. Fuel consumption, 3. Servicing cost 4. Spare parts reliability 5...
0 Reactions
40 Replies
16K Views
Salute ,naitaji control box ya jeep popote ilipo naifata,iliopo imegoma kufanya kazi,naitaji haraka iwezekanavyo,gari ni jeep grand chorokee mwaka 1996 petrol 4.0ltr, lkn pia kama kuna mtu anaweza...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Habarini wana jamvi nna shida na gari japokua bajeti yangu kidogo ni ya mashaka mkuu mshana jr na RRONDO naomba mnisaidie maana nmeona kidogo nyie mna ideas na magari...gari zenyewe ni spacio au...
3 Reactions
72 Replies
9K Views
Hawa jamaa salute sana...
3 Reactions
2 Replies
4K Views
Wanandugu naomba msaada nini hasa kinapelekea gari kuwa na mis. Fundi wangu kaniambia nimebadili plug nimebadili petrol filter lkn mis bado imo tena ya ukweli.
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Battle ya magari kama unavideo za battle kama hizi tupia hapa tuone who is a king of road,,wengi tunajiulizaga mfano range Rover na land cruiser ipi bora? Sasa huu uzi ni special kwa kushindanisha...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
mambo vp wadau, naombeni ushauri wa kitaalamu na uzoefu wenu ktk hili, nataka kununua gari dogo, yenye CC ndogo kwa matumizi ya nyumban, ndugu yang anafanya kaz, bosi wake wa kike anagari aina...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nianzie hivi, hebu tuzungumzie kuhusu fuel consumption ya hizi engine za J series especial hii 20A ambayo ina ujazo wa 1995Cc, Engine hii kwa kifupi tu ninavyojua drivetrain yake imedizainiwa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Baada ya kuwepo na thread nyingi znazozungumzia usafiri wa ndege, leo nikataman kujua yafuatayo..... 1. Ni mechanism gani inatumika ndege kupaa na kutua, zaman mwalim wangu aliwahi niambia ili...
2 Reactions
9 Replies
5K Views
Habar wakuu, Nataka ninunue pikipiki aina ya boxer bm150 kwa malengo ya biashara, Jana nilienda mjini k/koo kuulizia bei nikaambiwa ni Tsh 2,150,000 .So kabla sijanunua nimeona bora nije humu...
4 Reactions
45 Replies
9K Views
kama kichwa kinavyojieleza.... je wadau hiz gari zina matatizo gani ikiwa yapo maana nimeiona moja nikaipenda na nimetamani kuiagiza. as soon as nikiambiwa hazina tatizo. ni ya mwaka 2007 inasoma...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nataka kujua nitapata wapi genuine pamoja na bei
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu nina Noah nimeweka juu ya mawe msaada wa bei na kuipata
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hii gari naiona nzuri sana, kwanza ni gari kubwa sana, na ina muonekano mzuri. Lakini najiuliza kwanini sio gari maarufu, hasa hapa bongo. Je zina sifa gani hizi gari? Kwanini watu...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Nataka kununua gari kwa njia ya mtandao kutoka kampuni moja iliyopo Japan. Je usalama wa manunuzi kwa njia ya mtandao upoje. Pia vipi gharama za kutoa gari bandarini. Gari ninayotaka kununua ni Noah.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Naweza pata haya magari manual? 1. Noah 2. Rave 4 3. Mitsubishi gd (Min pajero) 4. Suzuki Escudo
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hello Ladies and Gentlemen, Naombeni kuuliza kama Kuna mtu ambaye ameshawahi kuagiza gari kutoka kwenye hii website magarijapan.com Anijulishe please kabla sijatuma hela wakuu wangu please. Thanks.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom