JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Mjini kila mtu dereva ila kuna mashine ukiwekewa ndio utajua wengi sio madereva.
7 Reactions
9 Replies
978 Views
Muishi milele wanagarage Mifumo ya break, power steering na hata clutch inatumia haudraulic kwenye gari ndogo,, wakati kwenye trucks breaks najua zinatumia gas, vpi mifumo ya power steering na...
1 Reactions
3 Replies
429 Views
Eti wakuu nikiweka lita 1 ya petroli kwenye pikipiki itaisha kwa kwenda umbali wa kilomita ngapi? Nataka nijue ili nijilipue. Nataka nitoke na pikipiki kutoka Dar es Salaam mpaka Mwanza. Dar es...
5 Reactions
20 Replies
6K Views
Habari wana jamvi Naomba kujuzwa kuhusu izi pikipiki za kubebea mizigo zenye tairi tatu maarufu kama TOYO ni aina gani ni bora zaidi bei usizidi 5M
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Wadau napenda kujua battery nzuri ya gari. Nilinunua TOP POWER hata miezi 7 haijafika inazingua mara asbh igome kuwasha gari. Msaada kwenye tuta
2 Reactions
22 Replies
7K Views
Habari wataalamu, Nina tatizo lina nisumbua kwenye gari yangu grande mark2 (gx110) na linaninyima raha kwakweli, wakati wa kutoka P kwenda D na R nasikia mkito unasikika sehemu ya nyuma...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu, Binafsi ningependa kwa wale wote ambao wamewahi kumiliki au wanamiliki na wale wenye ndoto za kumiliki magari ya kampuni ya NISSAN tukutane hapa tubadilishane uzoefu...
11 Reactions
407 Replies
127K Views
I have Grand mark ii gx110 produces a loud clunk when I shift from parking to reverse and drive , I have changed all the rear bushing and CV cross joint but still the problem persist I need your...
0 Reactions
5 Replies
565 Views
Siku ikiwa imeanza na tukiendelea na ujengaji wa uchumi wetu na nchi kwa ujumla. Leo ningependa kuelezea kitu ambacho watu wengi huwa tunakumbana nacho na mara nyingi hiki kitu ubaya wake hutokea...
3 Reactions
2 Replies
4K Views
Naaomba mawazo yenu nahitaji kufunga mziki wa kawaida siyo mkubwa sana but wenye sauti ya kutosha, naomba ushauri nitumie vifaa gani vya gharama nafuu?
2 Reactions
39 Replies
14K Views
Wanajamvi nimeshangaa kusikia kumiliki kifaa kipya kama hiki ni almost 10millions. Kina maajabu gani zaidi?
8 Reactions
61 Replies
7K Views
Kwenu wataalam wa magari naomba msaada wa kubaini chanzo cha miguu ya mbele ya probox kutoa mvumo mkubwa kiasi ikifika speed 80 km/h hata redio huwezi kusikiliza. Tatizo lilianza mwaka mmoja...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari zenu wadau, Gari yangu baada ya kutoka kwa fundi maiko nimegundua kwamba nikipandisha kioo cha upande wa dereva kikifika juu hujishusha kama robo hivi. mpaka ufanye timing ya kupandisha...
0 Reactions
8 Replies
735 Views
Ni kwa ajili ya usafiri wa haraka sina budget ya gari nimependa hii kitu naipata wapi? Ongeza ushauri zaidi
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Ndugu wanajukwaa hasa mafundi wa magari,kuna gari ya anko wangu aina ya RV4 J,ukiweka reverse au kwenda mbele hukita mlio flani,hili tatizo halikuwepo kabla. Je, ni tatizo gani na linaweza...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Habarini, Mwenye spare au kuchinga gari hilo aje pm nahitaji naadhi ya spare zake.
2 Reactions
16 Replies
699 Views
Habari, Naomba kujua changamoto za IVECO STRALIS zilizotumika bongo maana ikishatumika bongo bei zake naona huwa chini sana kuashiria kama kuna kitu hakiko sawa.
3 Reactions
8 Replies
968 Views
Niko mbioni kununua gari Aina ya Subaru forester xt series au SH series Kwa wale wajuzi wa magari na wenye experience za magari ipi gari nzuri in terms of ÷ 1:ulaji mafuta 2: stability 3:ukubwa...
7 Reactions
85 Replies
15K Views
Naomba ushauri nataka kuchukua moja kati ya hizo sasa bado nafanya utafiti nikae wapi. Naombeni mwongozo wadau
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Experience yangu binafsi sio mara moja bali ni mara mbili niliazima gari kwa marafiki wawili tofauti, wa kwanza aligongesha bampa wa pili aligongesha karibu na mlango lakini hakuna alienijulisha...
5 Reactions
5 Replies
715 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…