JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Toyota allex na runx kwa muonekano zinafanana sana. Lakini ningependa kujua kwa wajuzi wa haya mambo, tofauti kubwa ya hizi gari ni nini hasa. Pili nipo interested kununua toyota runx 2WD, naomba...
4 Reactions
15 Replies
10K Views
Habar wakuu mbali mbali,naomba msaada kwa mafundi wa Air condition za magari. Jana wakati naendesha gar nilihisi kama ndani ya gari nnapowasha AC hakupatikan ubarid wa kutosha kama niliouzoea na...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wadau,habari.Naombeni ushauri juu ya gari hili 1.Upatikanaji wa Vipuri 2.Ulaji wa Mafuta
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kumekuwa na trends ya magari ya aina fulani kutamba katika kipindi fulani cha muda, ambalo kimsingi si jambo baya. Lakini hii inaweza kusababisha watu wengine kununua gari kwa kufuata mkumbo tu...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana jukwaa, moja kwa moja kwenye mada. Kuna aina hii ya magari yanaitwa TOYOTA FIELDER naona kwa hapa bongo ni machache sana na ukikaa barabarani kuyaonayanapita ni nadra sana. Shida ni...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Ee bwanaa eeh! Kampuni kongwe kam hii KILIMANJARO Express, DAR Express, TAHMEED Na SAULI naanza kuelewa kwa nini hawataki kubadili muonekano, muundo wala mfumo wao wa usafirishaji japo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu ebu njoo tuijadili hii gari ya mzungu upande wa ulaji wa mafuta,uimara na speed na comfortability yk ukiwa high speed kwa wanaoijua karibu
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari wana jf.Nimekuwa nikipita pita kupatana.Unakutana na gari linaonekana lipo order sana,ila bei yake ni ndogo sana.Kuna muda huwa napata mashaka huenda gari hizo zimeibiwa. Naombeni ushauri...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Wakuu heshima yenu, kuna garage nilipeleka gari kutengeneza Battery ikawa down kuna mwehu mmoja akaja ku boost gari kwa kutumia terminal za battery badala ya ile external knob iliyowekwa kwa...
5 Reactions
14 Replies
1K Views
Msaada nimeipenda hii pikipiki pichani nahitaji kuinunua nchi jirani ya Kenya nahitaji kujua ushuru wake unagharimu kiasi gani hadi usajiri,maana nimeingia kwenye app ya TRA haina option ya...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari za muda huu wadau Nataka kujua Gharama za kukatia bima ya Gari Comprehensive na Calculation zake zimeekaaje?
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari Naombeni infor ya hii gari ya crown Athlete Ya mwaka 2005 Yenye engine ya 4GR 2490cc Asanteni
3 Reactions
89 Replies
19K Views
Kwenye hizi gari ndogo za Mjapan ambazo nmefanikiwa kumiliki nimekuwa nikipenda kuwa na Gari ambazo ni Auto Manual- Binafsi mimi ni mpenzi sana wa Gari Manual. Ingawa kwa hizi ndogo ni nadra sana...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Ndugu zangu kama kichwa Cha habari kinavyo jieleza, kijana wenu nimerudi tena najua hapa jamiiforums ni junguu kuu lisiloisha ukoko, ambamo ndani yake Kuna watu wa Kariba na hali tofauti tofauti...
6 Reactions
22 Replies
2K Views
Ndugu zangu hivi inawezekana kusajili upya gari? Mfano kutoka Namba A to E?
0 Reactions
12 Replies
1K Views
CNG (Compressed Natural Gas) is a green fuel and emits fewer exhaust gases. It is also efficient compared to conventional fuels. CNG cars are becoming popular due to their low running cost. This...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Katika mfululizo wa makala za bandari, leo tunakuletea utaratibu unaotumika kuhudumia shehena ya magari hatua kwa hatua katika bandari za TPA, kuanzia meli inapoingia bandarini, gari...
27 Reactions
36 Replies
13K Views
Kwanza kabla sijaanza kueleza kisa changu naomba niongee kitu kimoja. Huwa nashangaa sana unakuta mtu ana IST old model, passo, harrier old, Noah Sr40/sr50, Noah voxy za mwanzoni, Harrier chogo...
14 Reactions
13 Replies
3K Views
Wadau hebu tusaidiane kutoana tongotongo. Wengi wetu tumesomea udereva lakini si kila kitu kuhusu gari na matumizi sahihi tunayafahamu. Basi Leo naomba tupeane hints hapa za jinsi ya kupark...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…