JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wakuu Nimejichanga sana mpaka kufikisha kiasi cha milion 4 kwa lengo la kununua gari ambayo haitanipa mzigo katka kulihudumia hapa jijini Kipato kwa mwezi hakipungui laki 6 hakizid laki 8, gari...
12 Reactions
212 Replies
28K Views
Waheshimiwa saaaana, heshima kwenu. Niende kwenye mada moja kwa moja, nimekuwa mtumiaji wa passo kwa miaka kama 5 hivi, nimeendesha passo 2 hadi sasa Baada ya corona kuingia nliacha kabisa...
1 Reactions
23 Replies
6K Views
Habari za asubuhi wakuu. Naomba kuuliza, ni chuo gani cha ufundi kinachosifika kwa kufundisha vizuri kozi za ufundi magari (hasa auto electricity). Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu...
2 Reactions
3 Replies
665 Views
Kuna IST mbili nimepata kuziona mtandaoni hivi karibuni. Zimekuwa pimped kibabe, kali sana. Moja ni number DPD na nyingine ni DNN. Zote za Grey hivi kama sio metalic black. Kama wahusika wanaona...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau napenda kujua kuhusu hii gari yangu cc 990 kuhusu fuel consuptiom nimeweka mafuta ya 20k nikatembea nayo kwa umbali wa km 55.1 mafuta yakakata kabisa. Ningependa kujua ni pia kuwa odometers...
3 Reactions
48 Replies
6K Views
Habari Wakuu...... Niko mbioni kuagiza Toyota Allex ila kabla ya kufanya maamuzi hayo ningependa kupata maoni ya wataalamu juu ya uzuri na ubaya wa hiyo gari.... Kuhusu labda ulaji wa mafuta...
1 Reactions
72 Replies
30K Views
Kwa wale waliobahatika kuwa na usafiri kama umebandika tinted kwenye taa za mbele na nyuma kuna msako wakukamata unafanywa na polisi --- Jeshi la Polisi kupitia Kitengo cha Usalama Barabarani...
9 Reactions
134 Replies
13K Views
Lost [emoji383]
4 Reactions
74 Replies
15K Views
Naweza pata lesseni kwa kujifunza Gari Automatic pekee bila kujifunza manual? Driving test watanikubalia?
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Hope wote mnaendelea vema na majukumu, Ebana eeh, kababy walker kangu kalizingua front wheel bearings nikiwa mkoani. Sasa jamaa wa garage akashauri tuagize kutoka Dar, kuuliza bei nikaambiwa kwa...
1 Reactions
9 Replies
785 Views
Wakuu ikiwa mtu ana uzoefu wa umiliki wa hii Nissan Patrol Y61 SUV naomba msaada wake kwenye mafuta na spea Tanzania. Wenu Mtiifu.
6 Reactions
34 Replies
4K Views
Mwenye 'floor carpet'za gari aina ya Volkswagen Golf aje chapu tufanye biashara. [emoji120]
1 Reactions
7 Replies
531 Views
Mimi ni kijana wa miaka 19, nipo Kigoma, nilimaliza kidato cha nne mwaka jana. Na nilipata div 4 ya point 33. Nilienda Veta nikasoma udereva na nina cheti pamoja na leseni daraja D, na tayari...
3 Reactions
21 Replies
4K Views
Habari za usiku huu? Nina kijana wangu nataka kumnunulia gari kwa ajili ya biashara. Gari yenyewe ni Toyota Coaster used hapa Tanzania. Au Nissan Civilian niagize kutoka Japan. Nataka kununua...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Wanajamvi, Naomba kufahamu zaidi kati ya Nissan X-Trail na Toyota Rush Kwa msela kama Mimi ninayeanza maisha ni ipi inafaa zaidi kimatumizi ya kila siku, usalama, uwezo wa kupita na uendeshaji...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wanajamvi, Jana nilikuwa naendesha gari, bahati mbaya kulikuwa na foleni sana taa ya tank la mafuta ikaanza kuwaka,mafuta yalikuwa yameisha sana. Nilipofika kituo cha mafuta mafuta...
0 Reactions
33 Replies
7K Views
Kuna mtu nlimpa Bajaj ya mzigo kwa mkataba na amekimbia nayo hajulikani alipo, nikipiga simu hapokei na muda mwingne haipatikani kabisa. Ntaweze kumpata mtu huyu? Mzamini wake ni mama yake mzazi...
6 Reactions
34 Replies
2K Views
Habari wakuu, kwa mwenye uelewa. 4WD ni nini? na AWD ni nini Ni ipi tofauti kati ya 4WD na AWD?
4 Reactions
11 Replies
3K Views
Habarini wakuu, Moja kwa moja niende kwenye mada, nina gari Carina Ti My Road. Hii gari ni mwaka wa 5 huu ninayo sasa changamoto kuipata hiyo Cabin filter ya ac ili tupulize vumbi au kuibadilisha...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Kama ilivyotabiriwa gari tajwa zimepotea kabisa barabaran na Sasa vijana Ni mwendo wa RUMION, SUBARU na CROWN. Kidumu Chama cha Mapinduzi Kwa Neema hii ya fursa Kwa wote. Vijana tupewe nini Tena?
14 Reactions
82 Replies
8K Views
Back
Top Bottom