JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Katika gari za Automatic kuna gia za L, 2, na 3. Watu wengi hawafahamu kiundani matumizi ya gia hizi hivyo mara nyingi hujikuta wanakosea wapi na namna ya kuzitumia. Katika maelezo haya hapa...
15 Reactions
25 Replies
4K Views
Kumekuwa na cases nyingi za watu kuibiwa vyombo vya moto na GPS trackers kuondolewa, mpaka kupelekea watu kuona kama kufunga GPS trackers hakuna umaana wowote. Hii thread sitazungumzia kabisa...
20 Reactions
44 Replies
3K Views
Marekani ina soko kubwa zaidi la magari duniani. Makumi ya maelfu ya magari yanatengenezwa kila siku. Mtengenezaji magari aliyefanikiwa na maarufu namba moja ni General Motors. Chrysler sio...
3 Reactions
26 Replies
7K Views
Hii thread ni maalumu kwa ajili ya results zote ambazo nitakuwa nazipata baada ya kufanya diagnosis kwenye magari. Nitakuwa napost screenshots za hizo codes pamoja na hatua mbalimbali...
10 Reactions
86 Replies
10K Views
HABARI ZA MUDA HUU NDUGU ZANGU ☆TUNATOA HUDUMA YA UCHIMBAJI WA VISIMA VYA KISASA NA BORA ☆Location:- Dar es Salaam ☆PIGA SIMU NO:- 0714246117 KARIBUNI..
0 Reactions
4 Replies
960 Views
Wakuu naombeni ushauri wa mawazo. Je kufunga engine ya kichina kwenye boxer 150 je itafanya kazi vizuri?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
kwa anaejua mtu anaerekebisha tank za piki na kunyoosha anipe location bas
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kulingana na Hali yetu ya jua na vumbi karibu kipindi chote cha mwaka. Kununua gari yenye Sunroof kwa Bongo ni mateso ya kujitakia.
4 Reactions
28 Replies
3K Views
Jana nilipost kuhusu hii engine kuchanganya maji na oil. Na hatimae leo nimemaliza kurekebisha na engine iko safi haichanganyi tena
0 Reactions
6 Replies
437 Views
Natafta air compressor ya angalau lita 50 inayotumia umeme.. Lengo ni kufanya kazi na pikipik na bajaji...ikipatikana popote sawa Ila ikiwa Arusha itapendeza zaidi.. Used au mpya... Ila isiwe...
1 Reactions
0 Replies
371 Views
KAMPUNI YA MARCOPOLO Kampuni ya #marcopolo ilianzishwa tarehe 6 Agosti 1949 huko Caxias do Sul kama Nicola & Cia Ltd. Wakati kampuni inaanzishwa ilikua na washirika 8 na wafanyikazi 15. Mnamo...
7 Reactions
11 Replies
2K Views
Na kenge, Hakuna biashara ngeni lakini unaweza kuifanya bila kuwa na mtaji mkubwa na bila taaluma kama IT au ufundi gereji kama wengi wanavyodhani. UTAFANYAJE? Wizi wa vyombo ni tatizo kote...
14 Reactions
10 Replies
3K Views
salam wanajamvi. kuna chuma flani kinakaa chini ya gari kwenye matairi kwaajili ya mneso kinaitwa stabilize link bar nina kitafuta kama anaweza kupata niunganishe.. nahitaji ya nyuma. gari ni...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari ya weekend wakuu Naomba mwenye kujua gharama za hawa jamaa kuhusu 1.Painting ya magari 2.Upholstery service Nimevutiwa na kazi zao kule page yao instagram ..nikaona niulize kama kuna watu...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Silii kwa ajili yangu, nalia kwa ajili ya the coming young stars , and the coming generation. Magari ya michezo ni bei kubwa sana na ushuru wake ni mkubwa, hawa chipukizi watawezaje? Sera za...
9 Reactions
25 Replies
2K Views
Wakuu ninafuatilia mtandaoni kuhusu uhusiano wa hii topic naishia kuchanganyikiwa tu. Pia nimesearch Jf bahati mbaya sijaona, ukiwa na gari ya cc1990 na ingine ya cc2700 bado the same amount of...
3 Reactions
121 Replies
72K Views
Ni wakati sahihi kwa watumiaji wa injini za boti kwa ajili ya uvuvi, utalii na matumizi binafsi kugeukia injini za kutoka China baada ya miaka mingi kutumia injini zenye brand kubwa kama Yamaha...
2 Reactions
24 Replies
8K Views
Hali imebadilika ata ile mikoa uliyokua na avon phonex sehewa kama pale tanga mjini sasaivi hali imebadilika ni king haujue TVS huoniao fekon toyo sasaivi namba ni e muda si mlefu gali zinapitwa
1 Reactions
8 Replies
714 Views
Hii ni special kwa wasio kuwa na uelewa wa kupaki gari lenye automatic transmission kwa usahihi. Hatua ni kama zifuatavyo: 1. Kikawaida gari likiwa kwenye drive au reverse ukiwa unajiandaa...
14 Reactions
59 Replies
6K Views
Habari wakuu, Mwenye nazo au anayeweza kunielekeza kwa mwenye hizi taa za nyuma za Toyota Ractis, msaada tafadhali. Ukisaidia na bei zake kwa mpya au used utakuwa umenisaidia sana
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…